Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC

Na Agness Francis, Globu ya JamiiRAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Benki ya taifa ya biashara NBC kwa kasi  na juhudi za kukuza  Uchumi wa Zanzibar.Akizungumza mkuu wa mkoa wa  mjini...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALINZI WA HIFADHI WATAKIWA KUWA MAKINI NA WADILIFU KUTOKANA NA WANYAMA...

WALINZI wa wanyamapori katika maeneo yanayozunguka Pori ya Akiba la Maswa yanayopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wametakiwa kuwa makini na waadilifu kutokana na kuongezeka kwa wanyama adimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANDEGE APONGEZA USIMAMIZI WA UJENZI WA VITUO VYA AFYA ARUSHA

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Josephat Kandege amepongeza usimamizi mzuri uliofanyika katika ukarabati na ujenziwa vituo vya afya katika Halmashauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeme wa Gridi kuokoa bilioni 30 kwa mwaka Njombe, Ruvuma

Na Greyson Mwase, RuvumaWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa mara baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa umeme utakaopelekea mikoa ya Njombe na Ruvuma kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAMU WA MADINI NCHINI WAJIFUNZA UZOEFU KUTOKA AUSTRALIA

Na Veronica Simba – DodomaWataalam mbalimbali kutoka sekta ya madini nchini wameshiriki warsha maalum iliyotolewa na wataalamu kutoka Australia, kwa lengo la kujifunza uzoefu kutoka nchi hiyo ambayo...

View Article


VIDEO: MADEREVA WASIO NA LESENI MKOA WA RUVUMA KUCHUKULIWA HATUA KALI ZA...

Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani mkoa wa RUVUMA kimejipanga kikamilifu katika kuhakikisha madereva wanaoendesha vyombo vya moto vyenye miguu miwili maarufu kama bodaboda wanafuata...

View Article

VIDEO: MAKAMU WA RAIS AZINDUA UKUTA WA FUKWE WA BAHARI- BARABARA YA BARACK...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MGHWIRA ATOA ONYO KALI KWA WANAOHARIBU MIUNDOMBINU YA TANESCO

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bi Anna Mghwira ametoa onyo kali kwa wakazi wa mkoa huo wanao jihusisha na uhabifu wa miundombinu ya Shirka la Umeme Tanzania (Tanesco) na kusema hatua kali zitachukuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma(Epicor 10.2) kuboresha usimamizi wa...

Daudi Manongi- MAELEZO, IringaMfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) utawajengea uwezo wahasibu na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ili kusimamia vyema mapato na matumizi ya fedha za umma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sekta ya Afya Rukwa yatakiwa kuja na mikakati ya kumaliza matatizo ya uzazi

Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa Benard Makali ameitaka sekta ya afya mkoani humo kuhakikisha wanaandaa mkakati wa kupunguza kama sio kumaliza kabisa tatizo la vifo vya watoto wachanga na akinamama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Kuwait nchini aanda iftar jijini Dar

 Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem akiongozana na Rais Mstaafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakati wakiwasili kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam kwa Iftar iliyoandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matumizi ya TEHAMA Kuboresha Huduma za Afya Katika Halmashauri

Mkuu wa Timu ya Mifumo ya Rasilimali Watu Dkt. Josephine Kimaro akisisitiza umuhimu wa matumizi ya mfumo unaotoa taarifa kuhusu uhitaji wa watumishi katika kituo cha kutolea huduma (WISIN) na Mfumo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAkamu wa Rais azindua ukuta wa ufukwe wa bahari uliojengwa kando ya barabara...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akisisitiza jambo kwa wananchi (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa ukuta wa ufukwe wa bahari uliojengwa kando ya barabara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI YAJIONEA JUHUDI ZA KUDHIBITI...

BODI ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko imefanya ziara ya kujionea shughuli za uhifadhi na juhudi za kudhibiti wa vitendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPACHA WALIOUNGANA MARIA NA CONCOSALATA KUZIKWA KATIKA KABURI MOJA

*Tayari maandalizi ya jeneza la kipekee na kaburi kubwa yakamilika, kaburi lao kuzungukwa na makaburi ya mapadre, masista Na Ripota Wetu,IringaTayari Maandalizi ya kuipumzisha Miili ya mapachaa hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGWANGALLA AAGIZA MSAKO MKALI KWA WALIOUA SIMBA TISA SERENGETI

Na Hamza Temba-DodomaWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza Kikosi Kazi Dhidi ya Ujangili cha Taifa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Serengeti kuwasaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UONGOZI SHULE YA ST FLORENCE WAMZUNGUMZIA MWALIMU ANAYETUHUMIWA KWA...

Na Ripota Wetu, Globu ya JamiiUONGOZI wa Shule ya St Florence Academy ya jijini Dar es Salaam umesema umesikitishwa na habari za mmoja wa walimu wake kutuhumiwa kuwadhalilisha wanafunzi wa kike...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halotel yazindua laini mpya za watu mashuhuri (VIP).

-Ni laini zenye gharama nafuu Zaidi, hazihitaji kujiunga kifurushiKampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua laini mpya za watu mashuhuri zilizopewa jina la VIP zitakazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AAR YAPANDA MITI SHULENI KUSAIDIA UTUNZAJI BORA WA MAZINGIRA

Kampuni ya bima ya afya nchini ya AAR imepanda miti katika Shule ya Msingi ya Ushindi iliyoko eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam, ikiwa ni hatua ya kuunga mkono kwa vitendo utunzaji wa...

View Article
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live


Latest Images