Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109984 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ANATARAJIWA MGENI RASMI KATIKA MASHINDANO YA KUHIFADHI KORAAN

Na Said Mwishehe,Blogu ya jamiiiWAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya Afrika Mashariki ya kuhifadhi Koraan yanayotarajia kufanyika Uwanja wa  Sabasaba jijini Dar...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halotel yazindua duka jipya na la kisasa kwa wateja wao Mikocheni Shoppers...

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Halotel Mhina Semwenda, akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Duka jipya na la kisasa la Halotel lililoko Kinondoni, Shoppers Plaza – Mikocheni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA KILIMO WOTE KIGOMA WATAKIWA KUHAMIA VIJIJINI KUWASAIDIA WAKULIMA

Na Rhoda Ezekiel Kigoma,WAKULIMA wa zao la pamba wilayani Kakonko mkoani Kigoma wametakiwa kuwaepuka wanunuzi ambao hawatambuliki kisheria ili kuepukana na usumbufu wakati wa kuuza pamba zao huku Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sethi apinga kuenguliwa IPTL,akanusha taarifa zinazosambazwa mtandaoni

Mkurugenzi na Mmilikiwa kampuni ya PAP/IPTL ,Harbinder Sing Sethi amekanusha taarifa zinazosambzwa mitandao kuwa amefutwa kuwa Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo.Hayo yameelezwa jana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOA

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini .  serikali mkoani Kilimanjaro imezindua kamati ya Maafa ya mkoa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sheria namba 7 ya mwaka 2015 kwa lengo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA...

 Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akizungumza katika kikao baina yake na kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAAC YA UGANDA ZIARANI DODOMA, YAFURAHIA MJI WA SERIKALI

Na Ramadhani JumaWAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa ya Bunge la Uganda wameishukuru Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kwa kuipatia Serikali ya Nchi hiyo kiwanja chenye ukubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya...

Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Uhandisi wa Ujenzi ya Nchini China ya Civil Engineering Construction Corporation 'CCECC' Bw. Zhuang  Shangbiao alisema hatua iliyochukua  Serikali ya Mapinduzi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAHIDI KESI MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA INAYOMKABILI TIDO MHANDO...

Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiUSHAHIDI dhidi ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando  utaendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO...

  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiongea kabla ya kukabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAENDESHA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WANAHISA WAKE, JIJINI ARUSHA LEO

Benki ya CRDB leo imeendesha semina ya siku moja kwa Wanahisa wake, ili kuwajengea uwezo katika maswala ya Usimamizi wa Uwekezaji katika Hisa, Usimamizi wa Miradhi pamoja na Mabadiliko ya Sekta ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hospitali ya Dodoma yapewa miezi 8 kujenga mtambo wa kuteketeza taka

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Lugola ameanza ziara ya kikazi ya siku saba katika Jiji la Dodoma kwa lengo la kukagua utekelezaji na uzingatiaji wa Sheria ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AQRB YATAKIWA KUJITANGAZA - MAJALIWA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amezungumzia juu ya umuhimu wa Wasanifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kutangaza huduma wanazotoa za ujenzi ili kuwawezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubalozi Kuwait wakabidhi kisima cha maji nambari 63 katika Chuo cha Ufundi...

 Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem hivi karibuni alizindua kisima cha maji safi na salama nambari 63 katika Chuo cha Ufundi cha Yombo kwa wanafunzi walemavu kilichopo Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA TIGO NYAKA NYAKA WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

 Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi simu janja aina ya TECNO R6 4G kwa Gladys Mtandila kutoka Makumbusho, Dar es Salaam aliyeibuka kama mojawapo ya washindi 1,080...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO MPAKA KATI YA MANYARA NA TANGA

Na Hassan Mabuye, Wizara ya ArdhiSerikali yamaliza mgogoro wa mpaka kati ya mkoa wa Manyara na Tanga katika wilaya za Kiteto na Kilindi uliodumu kwa zaidi ya miaka 20.Hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi,...

View Article

DC MJEMA AFUNGUA MAONESHO YA WAJASILIAMALI YA WANAWAKE NA VIJANA JIJINI DAR

View Article


WAHITIMU WA ELIMU YA JUU NA VYUO VYA UFUNDI KUNUFAIKA NA MWONGOZO WA SERA YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaandaa Mwongozo wa Kitaifa wa Mafunzo kwa vitendo kwa Wahitimu wa Vyuo

Na Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.Serikali imeandaa mwongozo wa Kitaifa wa mafunzo kwa vitendo kwa wahitimu wa vyuo ili kuondoa pengo la ujuzi linalohitajika katika soko la ajira hapa nchini.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI JUMA MWAPACHU ASHAURI MABADILIKO SEKTA YA ELIMU NCHINI

Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiMWANADIPLOMASIA wa siku nyingi nchini, Balozi Juma Mwapachu ameshauri mfumo wa elimu uliopo nchini ufanyiwe mabadiliko ikiwemo kuongeza vyuo vya ufundishaji walimu  kwa...

View Article
Browsing all 109984 articles
Browse latest View live




Latest Images