Waziri Kairuki afanya ziara ya kutembelea GST
Mtalaam wa upimaji miamba kwa njia ya umeme, Octivian Minja wa Taasisi ya jiolojia na utafiti madini (GST) mwenye shati jekundu akimuelezea Waziri wa Madini, Angella Kairuki juu ya upimaji wa miamba...
View ArticleDodoma Builders Expo 2018
On the 26th of April 2018 the residents of Dodoma had their breakfast in the Municipality of Dodoma and little did they know that they will enjoy their lunch in the City of Dodoma on the same day....
View ArticleMaria na Consolata Waruhusiwa Leo, Waishukuru Muhimbili
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imewaruhusu Maria na Consolata waliokuwa wamelezwa katika hispotali hiyo kwa zaidi ya miezi miwili kutokana na afya zao kuimarika.Pacha hao walikuwa wakipatiwa...
View ArticleWAHAMASISHWA KULIPA YA KODI YA ARDHI MTWARA
NA JOSEPH MPANGALA- MTWARA.Wamiliki wa Viwanja na mashamba waliopo kanda ya kusini,Mikoa ya Lindi Ruvuma na Mtwara wametakiwa kulipa Kodi ya Ardhi pamoja na malimbikizo ya Yamadeni kwa mwaka wa fedha...
View ArticleKatibu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Bw. Richard Mayongela (mwenye suti ya bluu kulia), leo akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali...
View ArticleBENKI YA TPB Pls YAWEKA REKODI KIUTENDAJI, SASA MTAJI WAKE WAFIKIA SHILINGI...
*Ofisa Mtendaji Moshingi aipongeza Serikali kwa uamuzi wa benki hiyo kuunganishwa na Twiga BancorpNa Said Mwishehe, Blogu ya JamiiBENKI ya TPB Pls imesema imeweka rekodi nzuri ya utendaji katika...
View ArticleKUTOKA BUNGENI DODOMA: WAZIRI MKUU AKEMEA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekemea uharibifu wa makusudi wa miundombinu ya barabara na majengo unaofanywa na baadhi ya wananchi na kuwataka waache tabia hiyo mara moja.Ametoa kauli hiyo leo asubuhi...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AZINDUA KITUO CHA UWEKEZAJI CHA JWTZ NA VIWANDA VYA MAJI NA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi...
View ArticleJumuia ya Kihindu Tanzania shilingi milioni 68 matibabu ya upasuaji wa moyo...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika picha ya pamoja na kaimu kiongozi wa Jumuia ya Kihindu Duniani (BAPS) Mtukufu Bhaktipriyadas Swami pamoja...
View ArticleWAZIRI DKT. MWAKYEMBE AZINDUA COPA UMISSETA MJINI BUKOBA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amezindua mashindano ya shule za sekondari ya Copa Umisseta mjini Bukoba. Akizindua mshindano hayo mwishoni mwa wiki...
View ArticleAZAM FC YATAMBA KUIFUNGA PRISON JUMAPILI
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, tayari imeianzia kambi Tanzania Prisons huku benchi la ufundi likijinasibu limejipanga kuendeleza ubabe dhidi ya maafande hao.Timu hizo zinatarajia...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AZINDUA KITUO CHA UWEKEZAJI CHA JWTZ NA VIWANDA VYA MAJI NA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance...
View ArticleWANANCHI WAFUNGUKA KUHUSU ELIMU BORA AU BORA ELIMU
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiSHIRIKA lisilo la kiserikali la Twaweza limetoa matokeo katika utafiti wao wa Elimu Bora au Bora elimu ambapo wananchi wamefunguka na kudai viwango vya elimu...
View ArticleDK. NDUGULILE AKABIDHI VITANDA,MAGODORO 14 HOSPITALI YA VIJIBWENI
Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiNAIBU Waziri wa Afya,Wazee,Jinsia na Watoto na Mbunge wa Manispaa ya Kigamboni jijini Dar es Salaam Dk.Faustine Ndugulile amekabidhi vitanda na magodoro 14 vinavyotarajiwa...
View ArticleSHEIKH WA MKOA DAR ASHAURI WALIOFUNGA NDOA KUELEKEA MWEZI WA RAMADHANI...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiSHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum amesema vijana wa Kiislamu ambao wamefunga ndoa wakati wa kuelekea mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wanatakiwa...
View Article
More Pages to Explore .....