COST KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SEKTA NUNUZI KUPIMA THAMANI YA FEDHA KATIKA...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiTaasisi ya Mkakati wa Uwajibikaji na Uwazi katika Sekta Ujenzi (COST) imesema kuwa itaendelea kushirikiana na taasisi nunuzi katika sekta ya ujenzi kuangalia...
View ArticleMKAZI DAR MBARONI KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA DAWA ZA BINADAMU ZILIZOISHA MUDA WAKE
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiJESHI la Polisi Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya kinamshikilia mkazi wa Tabata Segerea Chama jijini Dar es Salaam Joseph Jaumbe( 52) kwa tuhuma za kukutwa na dawa za...
View ArticleMtanzania Afundishaye ki-Swahili Marekani Akifurahia Kitabu Posted: 15 May...
Na Profesa Mbele Mimi kama mwandishi ninathamini maoni ya wasomaji juu ya maandishi yangu. Msomaji anapokuwa ametumia muda wake kusoma na kutafakari nilichoandika, halafu akatumia muda wake kuandika...
View ArticlePANGABOI ZA BOMBADIER ZINAPOPIGWA PICHA KWA KAMERA YA SIMU NA KAMERA YA KAWAIDA
Na AnkalUnapopiga picha ya ndege inayotumia pangaboi ni muhimu kuhakikisha kwamba kasi ya shata (shutter speed) ya kamera yako sio ya juu sana ama sivyo picha utayopata ni ya pangaboi kuonekana...
View ArticleBALOZI WA INDONESIA AAHIDI KUWAALIKA WAWEKEZAJI WA VIWANDA VYA NGUO, NGOZI NA...
Na Stella Kalinga, SimiyuBalozi wa Indonesia hapa nchini Prof.Dkt. Ratlan Pardede amewaahidi viongozi wa Mkoa wa Simiyu kuwa atawaalika wawekezaji wa Viwanda vya nguo, viwanda vya kuchakata ngozi na...
View ArticleMALEZI BORA NI MSINGI KATIKA UJENZI WA FAMILIA IMARA NA TAIFA IMARA
Malezi bora katika familia imesemeka ni ndio msingi wa malezi kwa watoto katika jamii yetu hivyo wazazi wanapaswa kuzingatia kutoa malezi bora kwa watoto ndani ya familia na jamii kwa ujumla ili kuwa...
View ArticleWatanzania wahimizwa kuchangamkia shindano la ujasiariamali la TBL
-Mshindi kujinyakulia kitita cha Dola 50,000/- Kampuni ya TBL Group, chini ya kampuni yake mama ya, ABIn Bev, Imewataka watanzania kuchangamkia kushiriki shindano lililozinduliwa karibuni la wazo la...
View ArticleRC NDIKILO AMEWAHAKIKISHIA WANANCHI KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA PWANI
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani,mhandisi Evarist Ndikilo(aliyeinama) wakati alipotembelea maduka ya bidhaa ya mafuta ya kupikia na sukari ,Loliondo ,Mailmoja ,Mjini Kibaha,(Wa...
View ArticleWateja 996 wajinyakulia simu janja za TECNO R6 na bonasi za data bure
Meneja Masoko wa Tigo, Mkoa wa Tanga Lilian Mwalongo (kulia) akimkabidhi Jeremiah Mwamlenga (kushoto) zawadi ya simu janja yenye uwezo wa 4G aina ya Tecno R6 baada ya kuibuka kama moja wa washindi wa...
View ArticleWAKUU WA MIKOA KANDA YA ZIWA VICTORIA WAKOSOA VIKALI TABIA YA WANASIASA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akihutubia hadhara ya kikosi kazi cha watu 260 alichokiunda kwa ajili ya operesheni Sangara 2018 na Wakuu wa Mikoa mitano inayozunguka Ziwa vicktoria wakati...
View ArticleDC SHINYANGA AZINDUA RASMI ZOEZI LA KUGAWA VITAMBULISHO VYA TAIFA KWA WANANCHI
Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatano Mei 16,2018 katika ukumbi wa Lewis Kalinjuna uliopo katika ofisi za Manispaa ya Shinyanga. Mkuu huyo wa wilaya amekabidhi vitambulisho 12,918 kwa maafisa watendaji...
View ArticleBoT YAAMUA KUZIUNGANISHA BENKI ZA TWIGA NA BENKI YA TPB
*Mali, madeni, wafanyakazi kuhamishiwa TPB, wateja waombwa kuwa watulivuNa Said Mwishehe, GlobuBENKI Kuu ya Tanzania(BoT) imesema Serikali ikiwa mmiliki mkubwa wa Twiga Bancorp imeamua kuimarisha...
View ArticleSANLAM, MAXCOM KUWAWEZESHA WATEJA WA BIMA KUFANYA MALIPO KWA NJIA YA SIMU ZA...
Na Emmanuel Masaka,Globu WATANZANIA watapata fursa ya kufanya malipo ya bima mbalimbali kwa njia rahisi zaidi kupitia simu zao za mikononi baada ya kampuni ya Bima ya Sanlam Life Insurance na Maxcom...
View ArticleJENGO LA BEIT EL AJAB KUFANYIWA MATENGENEZO MAKUBWA KUTOKA SEREKALI YA OMAN
JENGO la kihistoria la Beit el ajab liliopo Forodhani Mjini Zanzibar linalotarajiwa kufanyiwa matengenezo makubwa na Serekali ya Oman baada ya kubomoka baadhi ya sehemu zake miaka michache iliyopita....
View ArticleDK.SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA CRCC NA CCECC KUTIKA CHINA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Railway Construction Corporation (CRCC) kutoka Nchini China Bw.Zhuang Shangbiao...
View ArticleBENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA WANAHISA JIJINI ARUSHA
Na Pamela Mollel,ArushaBenki ya CRDB inatarajia kufanya mkutano wake wa ishirini na tatu(23)wa wanahisa wa benki hiyo katika ukumbi wa Kimataifa wa AICC ulipo jijini Arusha na kuhudhuriwa na watu zaidi...
View ArticleUPANDE WA UTETEZI KESI YA 'UCHOCHEZI' INAYOWAKABILI VIONGOZI CHADEMA WATOA...
Na Karama Kenyynko,Blogu ya jamiiUPANDE wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe, wameomba Mahakama kutupilia mbali...
View ArticleMO AKUBALI KUNUNUA ASILIMIA 49 YA HISA ZA KLABU YA SIMBA
Na , Humphrey Shao, Globu ya Jamii MFANYABIASHARA maarufu nchini Mohammed Dewji 'Mo' amekubali kununua asilimia 49 za hisa za Klabu ya Simba SC kulingana na maelekezo ya Serikali katika mchakato wa...
View Article
More Pages to Explore .....