KAMISHNA MKUU WA TRA ATEMBELEWA NA BALOZI WA SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA...
Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania Bw. Song Geum - Young (wa pili kushoto) akizungumza na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Kichere (kulia)...
View ArticleWIZARA YA AFYA YAMWAGA AJIRA 8,000 SEKTA YA AFYA NCHINI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO Serikali kupitia...
View ArticleBALOZI WA KUWAIT AZINDUA KISIMA CHA MAJI KATIKA SHULE YA IBNU JAZAR
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Jasem Al-Najem amezindua kisima cha maji safi na salama katika Shule ya Msingi na Sekondari ya Ibnu Jazar iliyopo Vikindu Mkoa wa Pwani. Katika hafla hiyo...
View ArticleMAPATO YA UTALII YAONGEZEKA KUTOKA DOLA BIL. 1.7 HADI KUFIKIA DOLA BIL. 2.2
Na Octavian KimarioMapato yanayotokana na utalii yameongezela kutoka Dola za Marekani Bil. 1.7 mwaka 2012 hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 2.2 mwaka 2017 ambapo ongezeko hilo limetokana na...
View ArticleMSHANA AILEZA MAHAKAMA ALIVYOSHTUKA ALIPOPOKEA TAARIFA YA BV1 ILIYODAI TBC...
*Ni katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa TBC Tido MhandoNa Karama Kenyunko, Globu ya jamiiALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana ameileza...
View ArticleOFISA MAUZO KAMPUNI YA AGGREY &CLIPFORD KORTINI KWA TUHUMA ZA TAARIFA ZA...
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii.OFISA Mauzo wa Kampuni ya Aggrey&Clipford, Razack Hamad (26) amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kijubu shtaka la kuchapisha taarifa za uchochezi kupitia...
View ArticleWaziri wa Nishati azindua Baraza la Kwanza la Wizara ya Nishati
Atoa maagizo mbalimbaliWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amezindua Baraza la Kwanza la Wizara ya Nishati na kutoa maagizo mbalimbali kwa Watendaji wa Wizara na Taasisi ili Sekta ya Nishati...
View ArticlePOLISI KANDA MAALUM DAR YAWASHIKILIA WATU 10 KWA TUHUMA ZA WIZI WA KUTUMIA...
Na Emmanuel Masaka, Globu ya jamiiKAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema hali ya usalama ya Jiji hilo ni shwari huku akielezea matukio kadhaa ambayo yametokea katika...
View ArticleBODI YA MIKOPO YAFAFANUA KUHUSU UMILIKI WA LESENI ZA BIASHARA KWA WAZAZI SIO...
Tunapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zisizo za kweli zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa waombaji wa mikopo ambao wazazi wao wanamiliki leseni za biashara hawatapata mikopo ya elimu ya juu...
View ArticleDC SOPHIA MJEMA AHIMIZA WATUMISHI ILALA KUCHAPA KAZI, AZINDUA KAMPENI YA...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiMKUU wa Wilaya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam Sophia Mjema amewahimiza watumishi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii huku...
View ArticleWizara ya Mambo ya Nje Kushiriki Maadhimisho ya siku ya Afrika
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Balozi Grace Mujuma amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa nchi za Afrika wanao wakilisha nchi zao hapa nchini,Mabalozi hao ni kutoka nchi za Namibia na Malawi,...
View ArticleRAIS MAGUFULI ANAWEKA HISTORIA KUBWA KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI - Jafo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amewaeleza wananchi wa wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera kwamba Rais Dk.John Pombe Magufuli anaweka historia...
View ArticleUFAFANUZI: UMILIKI WA LESENI ZA BIASHARA WA WAZAZI SIO SIFA KUKOSA MKOPO...
Abdul-Razaq Badru, Mkurugenzi MtendajiBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya JuuTunapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zisizo za kweli zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa waombaji wa mikopo...
View ArticleRC MNDEME AIFUTIA LESENI KAMPUNI YA ZUMA CARGO KWA UPOTEVU WA TANI 15 ZA KOROSHO
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme ameifutia leseni kampuni ya Zuma Cargo kwa upotevu wa tani 15 za korosho ambazo hazijulikani ziliko na kuiagizaTaasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa...
View ArticlePRECISION AIR YAPANDA MITI 1000 HIFADHI YA TAIFA YA MSITU YA MLIMA KILIMANJARO
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Shirika la Ndege linaloongoza Tanzania, Precision Air, limeshiriki katika jitihada za kuhifadhi mazingira katika maeneo ya hifadhi ya Mlima Kilimanjaro. Katika kutimiza...
View ArticleUMOJA WA ULAYA (EU) NA SERIKALI WATANGAZA USHIRIKIANO UFADHILI WA MASOMO YA...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako akiongea na wadau wa Elimu na Utafiti jijini Dar es Salaam leo Mei 11, 2018, wakati wa kutangaza ushirikiano kwenye masuala ya utafiti...
View Article
More Pages to Explore .....