DKT. MAHIGA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA ISRAEL MHE. BENJAMIN NETANYAHU JIJINI...
Waziri Mkuu wa Israel Mhe. Benjamin Netanyahu (kulia) akimkaribisha ofisini kwake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga kwa ajili ya kufanya mazungumzo...
View ArticleNINI UFANYE IKIWA MNUNUZI WA ARDHI YAKO AMESHINDWA KUMALIZIA MALIPO.
Na Bashir Yakub.Ume;muuzia mtu kiwanja au nyumba. Mmeandika mkataba na kuusaini tena mbele ya mwanasheria. Kwenye mkataba mmeweka vipengele vingi lakini kimojawapo kinahusu umaliziaji wa pesa ya...
View ArticleWatumishi MAELEZO Wakunwa na Huduma TTCL
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari - MAELEZO, Rodney Thadeus akifafanua jambo mbele ya watumishi wa Idara hiyo walipokutana na ujumbe kutoka Shirika la Simu Tanzania (TTCL) kwa ajili ya kujengewa...
View ArticleTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA UJUMBE WA EU
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage (katikati) akieleza jambo wakati alipokutana na ujumbe kutoka Ubalozi wa Jumuiya ya Ulaya kujadiliana Taarifa ya Utazamaji wa...
View ArticleBAGAMOYO YAFANYA TATHMINI YA MAFURIKO -LATU
Na Mwamvua Mwinyi,BagamoyoHalmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani inafanya tathmini ya mafuriko ya mvua yaliyotokea ili waweze kununua dawa kwa ajili ya kuua wadudu wanaoweza kuleta magonjwa...
View ArticleMkuu wa Mkoa Simiyu alishukuru shirika la Amref kwa kubabidhi "Ambulance".
Na BMGMkuu wa Mkoa Simiyu, Mhe.Antony Mtaka amelishukuru na kulipongeza shirika la Amref Health Africa kwa mchango wake mkubwa wa kuboresha huduma za afya katika mkoa huo.Mhe.Mtaka ametoa pongezi hizo...
View ArticleMADAKTARI WAZALENDO WAPATIWA MAFUNZO YA SIKU TATU UBONGO NA UTI WA MGONGO
Na Ramadhani Ali – Maelezo Zanzibar Waziri wa Afya wa Zanzibar Hamad Rashid Mohamed amesema kuwepo kwa Taasisi ya kutibu maradhi ya mishapa ya fahamu na uti wa mgongo (Neuro) hapa Zanzibar ni heshma...
View ArticleMAKAMISHNA WASTAAFU POLISI WAAGWA RASMI KWA GWARIDE MAALUM
Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve na Elice Mapunda wakiwaaga Maofisa na Askari Polisi huku wakisukumwa katika gari maalumu wakati wa Gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya kuwaaga...
View ArticleSUMAJKT KUINUA UCHUMI WA HANANG,MANYARA
Na Mahmoud Ahmad,Hanang.Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la KujengaTaifa(SUMAJKT) linakusudia kujenga hoteli kubwa ya kisasa yenye hadhi ya nyota tano na miradi mingine mikubwa ya kiuchumi wilayani...
View ArticleMWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI,RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA KATIKA OFISI NDOGO...
. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula katika Ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Mwenyekiti wa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akiongoza kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma. Mbunge wa Mtera Mhe.Livingstone...
View ArticleMAPATO YA UTALII YAONGEZEKA HAPA NCHINI
Na Mahmoud Ahmad DodomaImeelezwa kuwa Ukuaji wa sekta ya utalii hapa nchini, umedhihirika mapato yatokanayo na utalii kuongezaka kutoka Dola bilioni 1.7 mwaka 2012 hadi kufikia Dola bilioni 2.2 mwaka...
View ArticleABINBEV NA WASHIRIKA KULETA MAPINDUZI MAKUBWA KWA WAKULIMA WADOGO
Ni kutokana na matumizi ya teknolojia za kisasa Wataalamu mbalimbali walioudhuria kongamano la The East Africa (EA) Innovation Event la kampuni mama ya TBL Group ya ABInBev lenye lengo la kuleta...
View ArticleBAADHI YA WABUNGE WAWAKILISHI JUKWAA LA KIBUNGE NCHI ZA MAZIWA MAKUU KUTOKA...
Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Najma Giga (kushoto) akimsikiliza na mgeni wake Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba (kulia) alipomtembelea leo katika Ofisi ya...
View ArticleBALOZI SEIF ALI IDD AFUNGUA MKUTANO MKUU WA TAPSEA, ZANZIBAR LEO
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), unaofanyika kwenye...
View Article
More Pages to Explore .....