Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu
Kampuni ya ‘The Network’ ambayo ni kampuni mama inayoendesha mchezo wa namba wa Tatu Mzuka nchini Tanzania, leo imetangaza kuanza ushirikiano wa kibiashara na mrembo maarufu nchini Bi. Wema...
View ArticleBODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI WAPYA 40,000
*Maombi yote kupokelewa kwa njia ya mtandao, kurugenzi ataja vipaumbele *Wenye ulemavu, yatima kupewa kipaumbele, RITA nao kuhakiki cheti cha kuzaliwaNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiBODI ya Mikopo ya...
View ArticleSHAHIDI ADAI MKATABA ULIONGIWA NA MKURUGENZI WA ZAMANI TBC TIDO MHANDO NA BV...
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imeelezwa mkataba uliongiwa na Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando na Channel 2 Group Corporation...
View ArticleSPIKA DUGAI ALIPOKUTANA NA WALIOKUWA WANAFUNZI WENZAKE WAKATI ANASOMA SHULE...
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Anayesalimiana na Mhe....
View ArticleTAPSEA YAANZA MKUTANO WAKE ZANZIBAR
Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mhadhiri wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Charles George Magaya katika siku ya kwanza ya Mkutano...
View ArticleNAIBU WAZIRI JULIANA SHONZA MGENI RASMI FAINALI YA KUSAKA VIPAJI VYA WATANGAZAJI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika fainali ya kutafuta watangazaji watatu wenye vipaji kati ya 30...
View ArticleBARAZA LA WAFANYAKAZI TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZMA LAKUTANA, MWENYEKITI WAO...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiMWENYEKITI wa Baraza la Wafanyakazi wa Tasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dk.Kassim Nihuka amesema pamoja na mafanikio ambayo imeyapata taasisi hiyo bado wangepata mafaniko...
View ArticleAZAM WAKATA TAMAA KUTWAA UBINGWA MSIMU HUU, WAAHIDI KULINDA HESHIMA
Na Agness Francis, Blogu ya JamiiKLABU Bingwa Afrika Mashariki na Kati Azam FC imepoteza matumaini yake ya kunyakuwa kombe la Ligi Kuu vodacom Tanzania bara msimu huu.Kwa sasa Azam FC ana michezo 3...
View ArticleSERIKALI YATANGAZA NAFASI ZAIDI YA 6, 000 KATIKA SEKTA YA AFYA
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii SERIKALI imetangaza nafasi za ajira katika sekta ya afya 6,180 katika kuhakikisha kuwa upungufu wa watumishi wa kada ya afya inatatuliwa na kuimarika katika...
View ArticleSH. BILIONI 50/- ZATOLEWA KUANZA UJENZI WA STENDI MPYA YA MABASI INAYOJENGWA...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amezungumza na viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya watendaji hadi wakurugenzi wa Manispaa kuhusu miradi mbalimbali ya...
View ArticleSERIKALI YAKUSUDIA KUTAFUTA MBIA MWINGINE MRADI WA UDART
*Yasema maitosita kumuondoa mwendeshaji wa sasa SERIKALI imesema inakusudia kuongeza mtoa huduma mwingine katika uendeshaji wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) ambayeataingiza mabasi yake na...
View ArticleWAFANYABIASHARA SOKO LA MAGOMENI WASINYANYASWE-JAFO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni kukamilisha ndani ya muda ujenzi wa soko Jipya la Kinondoni na...
View ArticleBENKI YA EXIM YA INDIA YAIPATIA SERIKALI YA TANZANIA MKOPO WA MASHARTI NAFUU
Serikali ya India kupitia Benki ya Exim imeipatia Serikali ya Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani milioni 500, sawa na shilingi Trilioni 1.14 za Tanzania, kwa ajili ya utekelezaji...
View ArticleTASAF stakeholders meet with Deputy Permanent Secretary Ministry of Finance...
TASAF stakeholders from World Bank, WFP, DFID, UNICEF, USAID and Government of Tanzania met with the Deputy Permanent Secretary of Ministry of Finance Mr. Khatibu Kazungu yesterday. The main agenda...
View ArticleTanzania Establishes 3,306 Industries by March 2018
Minister of Industries, Trade and Investment, Mr. Charles Mwijage By Fatma Salum - MAELEZOA total of 3,306 industries have been constructed by March 2018 following President Dr. John Pombe Magufuli’s...
View ArticleSPIKA DUGAI ALIPOKUTANA NA WALIOKUWA WANAFUNZI WENZAKE WAKATI ANASOMA SHULE...
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Anayesalimiana na Mhe....
View Article
More Pages to Explore .....