RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI,AFUNGUA DARAJA KUBWA MTO KILOMBERO...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuashiria ufunguzi wa Daraja kubwa...
View ArticleMBEYA PRESS CLUB WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI KWA MJADALA...
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw. Paul Ntinika akizungumza wakati akifungua mkutano wa Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Mbeya (Mbeya Press Club) unaofanyika leo kwenye ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya ikiwa...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MICHEZO AZINDUA MASHINDANO YA AWESO CUP,MURO NA MANARA WANOGESHA
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akikagua wachezaji wa timu ya Mashabiki wa Yanga muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Aweso Cup...
View ArticleTIRA IKISHIRIKIANA NA TAASISI YA BIMA NCHINI IIT YAZINDUA MFUMO WA TIIP
Kamishna wa Bima nchini, Dkt. Baghayo A. Saqware akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo mara baada ya kuzindua mfumo wa kieletroniki ujulikanayo kama Tanzania Imports Insurance Portal(TIIP)utakao...
View ArticleRAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA...
Rapper maarufu wa nchini Cameroon, Atanga Schneider Ngomah maarufu kama Ngoma, ameachia video ya wimbo wake mpya, All Les Day. All Les Day ina maana ya ‘Kila Siku.’ Ukitayarishwa na producer wake wa...
View ArticleKampuni ya utafiti wa madini ya CANACO yapewa siku saba kuwasilisha mkataba...
Na Greyson Mwase, TangaNaibu Waziri wa Madini, Doto Biteko ameipa siku saba kampuni inayojishughulisha na utafiti wa madini ya dhahabu katika eneo la Magambasi wilayani Handeni ya CANACO Tanzania...
View ArticleKOMBE LA IGP SIRRO KUWAKUTANISHA VIJANA KIBITI.
Maandalizi kwa ajili ya uzinduzi wa michezo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (Sirro CUP Kibiti 2018) hatua ya 16 bora yamekamilika kwa asilimia tisini na yanatarajiwa kuzinduliwa siku ya Jumatatu na...
View ArticleSERIKALI KUTUMIA BILIONI 131.47 KUTEKELELEZA MIRADI YA KIMKAKATI
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi, Serikali imezindua Mkakati wa kuziwezesha Mamlaka za Serikali za Mitaa kutekeleza miradi yenye kuchochea upatikanaji wa...
View ArticleSIR ALEX FERGUSON AFANYIWA UPASUAJI KATIKA UBONGO WAKE, AWEKWA CHINI YA...
Na Bakari Madjeshi, Globu ya JamiiAliyekuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Sir Alex Ferguson imebainika amefanyiwa Upasuaji katika Ubongo wake baada ya hapo awali kuripotiwa kuumwa ghafla.Manchester...
View ArticleMAADHIMISHO YA SIKU YA WAKUNGA DUNIANI YAFANA ZANZIBAR
Baadhi ya Wauguzi wa Zanzibar walioshirki maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani wakiwa katika maandamano kuelekea Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni ambako maadhimisho hayo...
View ArticleWAZIRI KAIRUKI AKABIDHI VIFAA VYA DOLA 350,000 KWA OFISI ZA MADINI ZA KANDA
Na Veronica Simba – DodomaWaziri wa Madini Angellah Kairuki amekabidhi vitendea kazi mbalimbali vyenye thamani ya jumla ya Dola za Marekani 350,000 kwa Ofisi za Madini za Kanda mbalimbali...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AZINDUA JENGO LA HUDUMA ZA MATUNZO NA TIBA KWA WATU WANAOISHI...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa...
View ArticleINAKUPONGEZA KWA KULA NONDOZ (MASTERS IN INTERNATIONAL BUSINESS COMMUNICATION...
Catherine Cornel Nyoni (Mama Gerson Msigwa) ala Nondoz (Masters in International Business Communication, Asia Pacific University Kuala Lumpur Malaysia. Hongera sana.
View ArticleBARAZA LA MITIHANI LATANGAZA KUANZA MITIHANI KIDATO CHA SITA,UALIMU
*Watakaofanya udanganyifu wa aina yoyote kukiona cha motoNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiBARAZA la Mitihani la Tanzania(Necta) limetoa onyo kali kwa wamiliki wa shule,walimu na wananchi kutojihusisha na...
View ArticleWAZIRI UMMY MWALIMU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA DAWA CHA...
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wapili kulia), akishirikiana na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (watatu kulia) Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleMAKAMU MWENYEKITI JUMUIYA YA WAZAZI CCM TAIFA AWAONGOZA WANANCHI KATIKA...
NA ELISA SHUNDA, MUHORO-RUFIJIWANANCHI na Wadau mbalimbali waombwa kushikamana kwa pamoja na kuondoa tofauti ya itikadi za kivyama na kushiriki kwa pamoja kuisaidia serikali katika ukuzaji wa maendeleo...
View ArticleWATU 200 WANAAMBUKIZWA VVU KWA SIKU/50 VIJANA -MABOKO
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani.ASILIMIA 48 ya wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) hawajapima kujua afya zao ambapo asilimia 52 pekee walio na virusi hivyo ndio wanaodaiwa kupima kubaini hali zao.Aidha...
View ArticleTULIA AWASHUKURU WADHAMINI KUFANIKISHA MBIO ZA 'MBEYA TULIA MARATHON 2018'.
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dk. Tulia Ackson akizungumza mara baada ya kukamilika kwa mbio za Mbeya Tulia Marathon 2018 zilizofanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya leo, Mbio...
View Article
More Pages to Explore .....