SHULE YA KIMATAIFA TANGANYIKA ILIYOPO UPANGA DAR YAWAKUMBUKA WALIOKUMBWA NA...
Na Heri ShaabanSHULE ya Kimataifa Tanganyika iliyopo Upanga wilayani Ilala jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa nguo kusaidia wananchi waliokumbwa na mafuriko.Msaada huo ulitolewa na Mwasisi wa...
View ArticleESRF yaratibu ziara ya wataalamu wa uchumi kutembelea shughuli za...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii. (ESRF), Dkt. Tausi Kida (kushoto) na Profesa Kaushik Basu (katikati), wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni inayojishughulisha na...
View ArticleAccreditation of H.E. George Kahema Madafa as High Commissioner of the United...
The High Commissioner of the United Republic of Tanzania H.E. George Kahema Madafa presented the Letters of Credence to Her Excellency, Marie-Louise Coleiro Preca, President of Malta, on 10/04/2018....
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na viongozi wengine akipatiwa maelezo kutoka kwa msimamizi wa ukandarasi wa TBA juu ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kilolo...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAZEE WA IRINGA, VIONGOZI WA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwakaribisha wazee wa Kihehe kwenye hafla ya chakula cha jioni aliyowaandalia wao pamoja na viongozi wa dini, siasa na wa TUCTA...
View ArticleMkongwe Ndimara ataka serikali kutopewa sababu ya ‘kubana’ waandishi wa habari
Na Mwandishi wetu, DodomaWAANDISHI wa habari wanapaswa kuandika na kutangaza habari zao kwa weledi na kuzingatia maadili ili kuepuka kuandika habari zinazoipa serikali sababu ya kufungia vyombo...
View ArticleRAIS MAGUFULI,MBUNGE MAVUNDE NA DC NDEJEMBI WATIMIZA AHADI YAO YA KUCHANGIA...
Rais Dk.John Pombe Joseph Magufuli jana amewasilisha mchango wake wa 10,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi Veyula iliyopo Jijini Dodoma ikiwa ni ahadi aliyoitoa kwa wananchi...
View ArticleNEW PROPERTY AVAILABLE FOR IMMEDIATE LEASE
New Property available for immediate lease at UDOE HOUSE is a spacious new building located on plot no 30 block 61 at UDOE Street, Kariakoo, Ilala - Dar es Salaam. UDOE House is a brand new property...
View ArticleDC KIGAMBONI AWAONDOLEA TAHARUKI WANANCHI WA KIBADA KUBOLEWA NYUMBA ZAO
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mh.Hashim Mgandilwa ameondoa hali ya taharuki iliyokuwa imetanda miongoni mwa wananchi wa Kata ya Kibada waliowekewa alama ya kubomoa majengo yao na wakala wa barabara...
View ArticleGGM na TACAIDS kuzindua Kilimanjaro Challenge 2018
Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inatarajia kuzindua zoezi la upandaji wa mlima Kilimanjaro (Kilimanjaro Challenge 2018), na kuendesha...
View ArticleWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UJERUMANI KUWASILI NCHINI LEO
Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Mhe. Heiko Maas anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini tarehe 03 na 04 Mei, 2018. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha...
View ArticleTRA ZANZIBAR YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI
Afisa Elimu na Huduma kwa walipa kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Afisi ya Zanzibar Abdallah Seif akiwasilisha mada ya Sheria za Kodi zinazoisimamiwa na Mamlaka hiyo katika mafunzo ya...
View ArticleKALEMANI, MGALU WAONGOZA KIKAO CHA MAJADILIANO YA MAENDELEO MRADI WA LNG
Na Veronica Simba – DodomaWaziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani na Naibu Waziri Subira Mgalu wameongoza kikao kilichojadili maendeleo ya Mradi wa Gesi ya Kusindikwa (LNG).Kikao hicho kilifanyika...
View ArticleWADAU WA MASUALA YA JINSIA WAENDELEZA MAJADILIANO KATIKA UANDAAJI WA KITINI...
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Mboni Mgaza akifafanua jambo kuhusu masuala ya kijinsia kwa wataalam na...
View ArticleWANAHABARI KIGOMA WAHIMIZWA KUZINGATIA WELEDI, KUONGEZA UBUNIFU ILI KUCHOCHEA...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma.WANAHABARI mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuongeza ubunifu katika kazi zao ili kuchochea maendeleo ya mkoa huo.Rai hiyo ilitolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleUPELELEZI KESI KIGOGO WA TPA ANAYEDAIWA KUJILIMBIKIZA MALI ZA BILIONI 1.4/-...
Na Karama Kenyunko,Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ,imeelezwa upelelezi wa kesi ya kujilimbikizia mali zenye thamani ya Sh.bilioni 1.4 zisizolingana na kipato chake halali inayomkabili...
View Article