Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110028 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUWAFUATA WAARABU MEI 03, YAJIPANGA KWA USHINDI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa Yanga wanatarajiwa kuondoka nchini Mei 03 kwa ajili ya mchezo wao wa kwanza wa kombe la Shirikisho Barani Afrika...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akiwasilisha  hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha  kwa Wizara hiyo kwa mwaka 2018/19  Bungeni mjini Dodoma mapema leo. Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MADINI AAGIZA RIPOTI YA TEITI IPELEKWE KWA CAG KWA AJILI YA UCHUNGUZI

*Ni baada ya kubainika kwa tofauti ya zaidi ya Shilingi bilioni 30 ambayo ni pungufu ya fedha ambayo Serikali imekiri kupokea.Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiWAZIRI wa Madini Angella Kairuki amezindua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHINDI DHIDI YA YANGA, MANARA AWASHUKURU MASHABIKI

 Assalaam Aleikum.Salaam zangu za Mei MosiKwanza sote tumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma anaendelea kutupa uhai na uzima hadi siku ya leo.Hakika pumzi hii ndio inatufanya tufurahi na kuhuzunika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI NDUGULILE AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI WA HOSPITALI ZA WATU BINAFSI

Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile  akizindua Mwongozo wa viwango vya Msingi kwa vituo vya kutolea huduma za Afya katika ukumbi wa LAPF leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SIRRO AFANYA UKAGUZI WILAYANI MUFINDI

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, mhe. Jamhuri William (kushoto) wakati alipofanya ziara ya kikazi na kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA ULIVYADHIMISHA SIKU YA MUUNGANO

Mhe. Baraka Luvanda (kulia), Balozi wa Tanzania nchini India akimpokea Mhe. Shri Vijay Goel, Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Taifa ya Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KIGWANGALLA ATOA OFA YA MAPUMZIKO YA FUNGATE YA ALI KIBA KATIKA HIFADHI...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa ofa maalum kwa Mwanamuziki, Ally Kiba, mke wake na wasaidizi wake ambao ni mdogo wake Abdu Kiba na mkewe kupumzika katika Hifadhi ya Taifa...

View Article


Coclyin Usibadilike - (Official Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUFAIDIKA NA MRADI MAENDELEO YA KIJAMII KUTOKA KOREA KUSINI

 Na Mwandishi Wetu- DodomaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inategemea kunufaika na mradi maalum kutoka Shirika la ‘International Youth Fellowship’ lenye makazi yake nchini Korea ya Kusini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAKI TANO ZA KIRAIA WAPONGEZA RIPOTI YA NANE YA TEITI, WASHAURI FEDHA ZA...

 Na Said Mwishehe, Blog ya jamiiAZAKI tano kwenye Kamati ya Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na uwajibikaji katika rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia nchini Tanzania(TEITI) zimpongeza Ripoti ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Exim yaendelea kushika nafasi ya tano

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Exim Bank Tanzania, Selemani Ponda akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu matokeo ya benki ya mwaka 2017. Kushoto kwake ni Kaimu Afisa wa operation David Lusala na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bring a friend to DICOTA convention

DICOTA understands the importance of friendship for attendees participating in it's convention. Because of that, this year DICOTA offers discounted convention rates, so that everyone can bring a friend...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA NDUGAI ATEMBELEA KIWANDA CHA ASASI KILICHOPO MKOANI IRINGA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akiendelea na ziara yake kiwandani hapo.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akimsikiliza Bw. Fuad Abri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESRF, Ubalozi wa Sweden na UDSM waandaa Mdahalo wa Uchumi Jumuishi

TANZANIA itahitaji kutengeneza mkakati mpya wa maendeleo na kuachana na falsafa za zamani kama itataka kufikia ustawi na kuwa nchi yenye kipato cha Kati.Mkakati huo katika; masoko, rasilimali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAMOJA NA MVUA KUBWA KUNYESHA WANANCHI WAENDELEA KUJITOKEZA KUSAJILIWA...

Usajili wa Vitambulisho vya Taifa mkoani Morogoro umeendelea kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kusajili pamoja na changamoto kubwa ya mvua ambayo imeharibu miundombinu na kufanya baadhi ya maeneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAO NA USAID TANZANIA WAIPIGA TAFU SERIKALI KUKINGA KICHAA CHA MBWA

Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (wa tatu kushoto) akizungumza jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) Fred Kafeero (katikati) na Mwakilishi Shirika la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAHAMASISHWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KUPATIWA CHANJO YA SARATANI YA...

Na Rhoda Ezekiel Kigoma.SERIKALI mkoani Kigoma imewataka viongozi mbalimbali kuwa mfano katika zoezi la kuhamasisha wananchi kuleta watoto wao wenye umri chini ya miaka 14 kwenye chanjo ya saratani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahusiano mazuri kati ya mwajiri na mfanyakazi kunaleta tija –Mwalwis

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMahusiano mazuri kati ya wafanyakazi na waajiri ndio kunafanya kazi kufanyika na nchi kuweza kukua kiuchumi kutokana na uzalishaji unaofanyika.Hayo aliyasema Mkurugenzi...

View Article
Browsing all 110028 articles
Browse latest View live




Latest Images