MHE SAMIA SULUHU AHUDHURIA MKUTANO WA SADC TROIKA EXTRA JIJINI LUANDA, ANGOLA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amemuwakilisha Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa Asasi ya...
View ArticleTPDC KUWANUFAISHA WANANCHI KWA GESI ASILIA MAJUMBANI
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekabidhi mradi wa uunganishaji wa gesi asilia kutoka katika bomba kubwa la gesi asilia linalomilikiwa na TPDC...
View ArticleTLS NI CHAMA CHA UMMA KIFANYE KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA - JAJI MKUU
Na Lydia Churi, Magreth Kinabo-MahakamaJaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS) ni taasisi ya Umma na siyo binafsi hivyo amekitaka...
View ArticleMSANII DIAMOND KUTOA BURUDANI KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI
Msanii nyota wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Diamond Platnumz, kwa kushirikiana na kampuni ya Coca-Cola ametangaza kuwa ameshiriki kuimba wimbo utakaosherehesha Kombe la Dunia 2018 uitwao Colours....
View ArticleSPIKA NDUGAI ATEMBELEWA NA WAKURUGENZI WATENDAJI WA CLOUDS MEDIA GROUP,...
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na wageni wake Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Ndg. Joseph Kusaga (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji, Multichoice Tanzania Ndg. Maharage...
View ArticleBENKI YA CBA YAKUTANA NA WATEJA WAKE JIJINI ARUSHA
Na Pamela Mollel,ArushaUKATA wa fedha katika uwekezaji na kukuza biashara ya utalii mkoani hapa umepata tiba baada ya Commerial Bank of Africa, kusema itashirikiana na wafanyabiashara kuwapa mikopo...
View ArticleHow nuclear technologies helped Zanzibar to improve rice quality
Though economic development in Zanzibar has been associated with tourism, agriculture contributes greatly to the Islands' economy and food security. In Zanzibar agriculture is the main source of income...
View ArticleRAIS DKT.MAGUFULI ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO UHURU WA HABARI...
Na Agness Francis, Blogu ya JamiiRAIS wa Serikali ya Awamu ya Tano Dk. John Mgufuli kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya uhuru wa habari Nchini ambayo kitaifa yatafanyika Mkoani Dodoma Mei 2 hadi...
View ArticleBENKI YA ACCESS YATOA MSAADA KOMPYUTA 10, MEZA PAMOJA NA VITI SHULE YA...
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akikabidhi moja ya kompyuta 10 kwa Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam...
View ArticleBENKI YA ACCESS YATOA MSAADA WA KOMPYUTA 10 MEZA PAMOJA NA VITI KWA SHULE YA...
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akikabidhi moja ya kompyuta 10 kwa Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam...
View ArticleKUMBUKUMBU
DR. FRANCIS MW. MSELLEMU 1941- 1996 Baba, Ni Miaka 22 sasa tangu uondoke hata bila ya kutuambia neno la KWAHERI! Maisha yetu hayajawahi kuwa rahisi bila uwepo wako, Baba. Japo watu wanatuona tukicheka...
View ArticleRais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika kufanya ziara nchini
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Ayodeji Adesina atafanya ziara ya siku nne (4) nchini kuanzia tarehe 25 hadi 28 Aprili, 2018 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleKITENGO CHA MAGONJWA YA DHARURA MUHAS WAZINDUA KITABU KWA AJILI YA KUFUNDISHIA
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Andrea Barnabas Pembe akizindua kitabu kwa ajili ya kuwafundishia wanafunzi wanaosoma mwaka wa nne katika fani ya...
View ArticleMWENYEKITI HALMASHAURI YA MOROGRO ATAJA MBINU KUTUA MIGOGORO YA ARDHI
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii IMEELEZWA watu pekee wanaoweza kumaliza migogoro ya ardhi nchini ni pande mbili ambazo zipo kwenye mgogoro na si vinginevyo na hata watalaam wanapokwenda basi ni kwa...
View ArticleMABINTI WATAKIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA AJILI YA MANUFAA YA BAADAE
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu , Dkt Ave Maria Semakafu akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Tehama kwa watoto wa kike Duniani ambapo alitumia muda huo kuwaasa mabinti kutumia...
View ArticleMWANTIKA AANZA MAZOEZI MEPESI, YAKUBU MOHAMED KWENDA AFRIKA KUSINI KWA...
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.BEKI wa timu ya Azam Fc David Mwantika, ameanza rasmi mazoezi ya wenzake wiki hii ikiwa baada ya kuugua ghafla uwanjani wiki tatu zilizopita.Mwantika alipata hitilafu...
View Article
More Pages to Explore .....