OBC yatoa magari 15 kwa wizara ya maliasili
KAMPUNI ya uwindaji ya Otterlo Business Corporation Limited (OBC) imekabidhi magari 15 kwa wizara ya maliasili na Utalii kwa ajili ya kusaidia kulinda rasilimali ya wanyamapori nchini.Magari hayo aina...
View ArticlePOLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI
Na Mwamvua Mwinyi, KisaraweWATU wanne wanatuhumiwa kuwa majambazi wamefariki dunia baada ya kujibizana risasi na askari polisi ,wakati wakijaribu kufanya tukio la ujambazi katika nyumba ya Juliana...
View ArticleVETA MOSHI WAJIVUNIA AJIRA ZA MOJA KWA MOJA WANAZOPATA WANAOSOMA KATIKA...
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii, MOSHICHUO cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Moshi kimeaanzisha na kuendeleza mafunzo ya kozi ya Uzalishaji mvuke yenye fursa kubwa katika soko pamoja na kozi ya...
View ArticleMATUKIO KATIKA PICHA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA AMTEMBELEA SPIKA...
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania Mheshimiwa Roberto Mengoni wakati Balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Spika wa Bunge...
View ArticleUCHIMBAJI WA MCHANGA KWENYE MITO DAR ES SALAAM WAPIGWA MARUFUKU.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe Selemani Jafo (Mb) amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga unaoendelea katika mito mbalimbali Jijini Dar es...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AWAAPISHA MAJAJI 10, Naibu MWanasheria Mkuu, Wakili Mkuu wa...
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULUJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIASimu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425OFISI YA RAIS,...
View ArticleRC TABORA: VIONGOZI WA DINI TUASAIDIENI KUWAHIMIZA WATOTO WAKIKE WAJE KWENYE...
NA TIGANYA VINCENT,RS TABORASERIKALI ya Mkoa wa Tabora imewaomba viongozi wa dini mbalimbali kusaidia kuwaelimisha waumini wao juu ya umuhimu wa watoto wenye umri wa miaka 14 kupatiwa chanjo ya...
View ArticleTUCTA MEI MOSI 2018 IRINGA ; HII NI HESHIMA KUBWA KWA MKOA WA IRINGA RC MASENZA
WAKATI maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani kwa nchini Tanzania yaliyoandaliwa na shirikisho la vyama huru vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) yakitaraji kufanyika mkoani Iringa kitaifa mkuu wa mkoa...
View ArticleDC SHINYANGA AKUTANA NA WANANCHI KIJIJI CHA NYAMBUI KUTATUA MGOGORO UJENZI WA...
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amekutana na wakazi wa kijiji cha Nyambui kilichopo katika kata ya Tinde halmashauri ya wilaya ya Shinyanga kwa ajili ya kutatua mgogoro wa eneo la ujenzi...
View ArticleCCM Z’BAR YAWATAKA WANANCHI KUFUATA MAELEKEZO YA SMZ
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR. CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimewataka wananchi kufuata maelekezo na ushauri wa Serikali juu ya kujikinga na maafa yanayotokana na mvua za masika. Rai hiyo imetolewa na Katibu...
View ArticleKIONGOZI MBIO ZA MWENGE AIPONGEZA BUHIGWE KWA KUJENGA MAJENGO YENYE UBORA KWA...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma.KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru jitaifa charles Kabeho ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, kwa kuzingatia na kujenga majengo yenye ubora kwa kutumia...
View ArticleMkuu wa Mkoa wa Simiyu akutana na uongozi wa juu wa NBC jijini Dar
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (kulia), wakati alipotembelea ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi...
View ArticleBUNGE LAPITISHA BILLIONI 898 BAJETI YA WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII,...
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy MwalimuNa Mwandishi Wetu DodomaBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia na kupitisha jumla ya Shillingi Billioni 898 kwa...
View ArticleKampuni ya Uber imesaini mkataba na Msanii Idris Sultan kuwa Balozi wake...
Kampuni ya Uber imemtangaza msanii Idris Sultan kuwa balozi wake mpya nchini Tanzania mwaka 2018. Idris anakuwa msanii wa kwanza nchini Tanzania kuwa balozi wa Uber, programu ya usafiri yenye umaarufu...
View Article
More Pages to Explore .....