KAMPUNI YA VODACOM KUWAWEKA PAMOJA WATEJA WAKE KUPITIA HUDUMA YA IFLIX
Na Agness Francis, Blogu ya JamiiKAMPUNI ya Simu za mkononi ya Vodacom imeamua kuwaweka pamoja wateja wake zaidi ya milioni 12 kupitia huduma ya Iflix.Ambapo Vodacom imeingia mkataba na kampuni ya...
View ArticleRC MAKONDA AZINDUA HOSPITALI YA MAMA NA MTOTO CHANIKA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiRAIS wa Shirika la Misaada la Korea Kusini (KOICA), Lee Mi Kyung amezindua Hospital ya Mama na Mtoto Chanika iliyojengwa kwa jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam...
View ArticleUFUNGUZI SHEREHE ZA MAONESHO WIKI YA UTAFITI WA SAYANSI YA BAHARI WAFANYIKA...
Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Aida Juma akitoa hotuba ya ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya...
View ArticleSERIKALI YASISITIZA HAKUNA UPOTEVU WA SHILINGI TRILIONI 1.5
Serikali leo imelithibitishia Bunge na umma kwa ujumla kuwa kufuatia maneno ya baadhi ya watu yaliyosheheni upotofu, siasa na yenye nia ya kuchafua taswira ya nchi kwamba kuna Shilingi trilioni 1.5...
View ArticleWIZARA YAAMSHA ARI YA WANANCHI KUSHIRIKI SHUGHULI ZA MAENDELEO
Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imedhamiria kuendelea na kampeni ya kuamsha ari ya Wananchi kushiriki katika Miradi ya Maendeleo na katika kipindi cha Julai 2017 hadi Machi...
View ArticleWaziri Ummy Mwalimu kuzindua maadhimisho siku ya Malaria Duniani ,Kasulu...
Tanzania inatarajia kuungana na nchi zingine duniani kwenye kuadhimisha siku ya Malaria Duniani ambayo ufanyika April 25 kila mwaka. Maadhimisho hayo ya kitaifa yatafanyika wilaya ya Kasulu mkoani...
View ArticleWasanii Nchini Waaswa Kuenzi Busara za Wazee
Na Mwandishi WetuWasanii wa filamu nchi washauri kuheshimu na kutahmini mawazo na busara za wazee pindi wanapopata wasaa wa kukutana nao.Rai hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji...
View ArticleUONGOZI WA IFM WAKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO MKUU WA MKOA WA DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (kushoto) akifanya mazungumzo na Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Prof.Tadeo Satta(kulia) ofisini kwake Dodoma katikati ni Dkt. Kadida Masha
View ArticleBALOZI SEIF AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA FAWE
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Taasisi za Kiraia katika kuona malengo na dhamira zilizojipangia katika...
View ArticleMAFURIKO JANGWANI KUPATIWA UFUMBUZI
Na. WFM- Washington D.CBenki ya Dunia (WB) imekubali kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na athari za mafuriko zinazosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha kila mwaka katika Jiji la...
View ArticleBENKI YA KILIMO TANZANIA KUFUNGUA OFISI ZA KIKANDA KWA AWAMU
Benny Mwaipaja, WFM, DodomaSerikali imeeleza kuwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inatekeleza Mpango wa Miaka Mitano (2017- 2021), wa kusogeza huduma karibu na wateja kwa kuanzisha ofisi...
View ArticleHATUA NANE BORA LIGI KUU WANAWAKE KUENDELEA WIKIENDI HII
Agness francis,Blogu ya jamiiLIGI ya Wanawake ya Serengeti Premium Lite inatarajia kuendelea wikiendi hii katika hatua ya nane bora huku wadhamini wa ligi hiyo wamekabidhi jezi rasmi kwa timi hizo kwa...
View ArticleMADAKTARI BINGWA WABAINI WAGONJWA ZAIDI YA 460 WA MOYO SONGWE
Wagonjwa 467 wenye matatizo ya moyo wamebainishwa na kupatiwa huduma ya ushauri na matibabu kutoka kwa madaktari bingwa waliotoa huduma kwenye kambi maalumu ya siku 4 katika hospitali ya Vwawa-Mbozi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AHUDHURIA UFUNGUZI WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehudhuria ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Serikali wa Jumuiya ya Madola (CHOGM) ambapo anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAGENI KUTOKA UMOJA NA AFRIKA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Kamishna wa Amani na Usalama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Balozi Smail Chergui Ikulu jijini Dar es...
View ArticleKIWANDA CHA MAFUTA CHA MURZAH CHATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM
Sehemu ya Kiwanda cha Mafuta cha MURZAH kikiteketea kwa moto huku baadhi ya ya Magari ya Askari wa kikosi cha Zima Moto wakijitahidi kuzima moto huo ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana....
View ArticleSIDO YAKABIDHI VYETI VYA KUTAMBUA VIWANDA VIDOGO NA VYA KATI 300 DAR
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiSHIRIKA la kuhudumia Viwanda Vidogo vidogo(SIDO),limetoa vyeti vya kutambua viwanda vidogo vidogo na vya kati kwa wamiliki na wajasiriamali zaidi ya 300 kwa Mkoa wa Dar...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa China nchini Tanzania, Bi. Wang Ke, ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma Aprili 20, 2018.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa...
View ArticleNEWZ ALERT AGNESS MASOGANGE AFARIKI DUNIA
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiHATUNAYE TENA!Hiyo ndio kauli unayowez kuielezea baada ya kuwepo kwa taarifa za kufariki dunia kwa video queen hot zaidi nchini na muigizaji wa filamu Agnes Gerald maarufu...
View Article
More Pages to Explore .....