Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amvisha cheo Luteni...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) akimvisha cheo Luteni Jenerali Paul Massao baada ya kupandishwa cheo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt....
View ArticleVETA SHINYANGA YAFUNGUA FURSA KWA KUENDELEZA MAFUNZO SEKTA YA MADINI,...
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii, ShinyangaCHUO cha Ufundi Stadi (VETA)Mkoa wa Shinyanga kimeanzisha na kuendeleza mafunzo ya kozi yenye kulenga kuzalisha nguvukazi yenye ujuzi wa kusaidia sekta za...
View ArticleMITI YA ASILI IPANDWE NA KUTUNZWA KWA FAIDA YA VIZAZI VIJAVYO-LUAMBA
Na Mwamvua Mwinyi,KibahaJAMII imehimizwa kupanda miti hasa ya asili ambayo ipo hatarini kutoweka pamoja na kulinda mazingira kwa faida na manufaa ya kizazi kijacho.Aidha wananchi wameaswa kuacha kukata...
View ArticleSERIKALI IMEFANIKIWA KUDHIBITI MATUKIO YA UVUVI HARAMU NCHINI
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba amesema serikali imefanikiwa kudhibiti matukio ya uvuvi haramu kwa zaidi ya asilimia 80 katika maeneo ya bahari na maziwa...
View ArticleMBUNGE COSATO CHUMI AKABIDHI MSAADA WA VITANDA KWA KITUO CHA AFYA
NA FREDY MGUNDA, MUFINDIMBUNGE wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi ametoa msaada wa vitanda kumi kwa kituo cha afya cha Ihongole kilichokuwa kinakabiliwa na upungufu wa vitanda katika wodi ya wazazi....
View ArticleMATUKIO YA OFISI YA RAIS TAMISEMI WAKATI WA KUHITIMISHA BAJETI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akijibu hoja za Wabunge wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR- TAMISEMI.Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Josephat Sinkamba...
View ArticleCyber Security Awareness Session 2018
Cyber Security Awareness Session 2018 is a training session that aims to advocate cyber security and cybercrime related matters occurring in Tanzania. This session in particular will highlight...
View ArticleDIAMOND, NANDY MIKONONI MWA POLISI KWA KUSAMBAZA PICHA CHAFU MTANDAONI
*Dk.Mwakyembe awaambia wabunge kwa sasa wanahojiwa,kisha mahakamaniNa Ripota Wetu,DodommaMSANII nyota katika muziki wa kizazi kipya maarufu Bongo Fleva nchini Nassib Abdul a.k.a Diamond amejikuta akiwa...
View ArticleMAUAJI YA KUTISHA – MARUKU, KAGERA
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Respicius DIOCLESS mkazi wa kijiji Bulambizi Kata KANYANGEREKO, Halmashauri ya Bukoba Mkoani Kagera, Anadaiwa kuwaua watoto wake...
View ArticleMzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation
Na Mwandishi WetuZabron Mbwaga ambaye ni Mzalishaji mbegu, aliyepo Viwanja vya NaneNane, Njiro mkoani Arusha ametwaa tuzo ya mshindi wa jumla wa tuzo za Ujasiriamali ya Citi Foundation. Tuzo hiyo...
View ArticleWATIA MIMBA,WATETEZI WA WATIAMIMBA,KUCHUKULIWA HATUA KALI ZA KISHERIA
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma CHRISTINA MNDEME amewaagiza viongozi wote wa halimashauri katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanawachukulia hutua wale wote wanaohusika kuwapa mimba watoto wa shule. Hayo...
View ArticleLEO NI SIKU YA MATEKA WA KIPALESTINA, 17 APRIL
April 17 kila mwaka inakwenda sambamba na Siku ya Mateka wa Kipalestina, ambapo zaidi ya mateka elfu sita (6,000) wa kipalestina wapo katika magereza ya kivamizi ya Israeli.Taasisi inayoshughulikia...
View ArticleWatoro 1,957 wapewa siku saba kurudi shuleni
Na Bathromeo C. ChilwaAfisa Habari Halmashauri ya wilaya GeitaMkuu wa Mkoa Geita Mhandisi Robert Gabriel ametoa siku saba kwa wazazi wa wanafunzi 1,957 wa shule za sekondari thelathini katika...
View ArticleMIILI YA MAPADRE WATATU WALIOFARIKI KWA KUPISHANA SIKU MOJA MOJA YAAGWA LEO...
Majeneza yenye miili ya Mapadri watatu wa kanisa katoliki jimbo la Same ambao vifo vyao vilipishana kwa siku moja moja, yakiwa katika Seminari ya Chanjare wilayani Mwanga kwa ibada ya Mazishi. Mapadri...
View ArticleASKOFU LAISE: WATANZANIA MSIKUBALI KUGAWANYWA NA MATAIFA YA NJE
NA TIGANYA VINCENT-RS TABORAASKOFU Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dayosisi ya Magharibi Tabora Isaac Laise amesewma Watanzania wanatakiwa kutoruhusu mataifa ya nje yawagawanye...
View ArticleWAZIRI WA HABARI MAHMOUD THABIT KOMBO ATEMBELEA SHIRIKA LA ZBC NA IDARA YA...
Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Mahmoud Thabit Kombo kulia akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu wa ZBC Ali Aboud wakati akitembelea sehemu ya mitambo ya ZBC Redio katika Ziara maalum ya...
View Article
More Pages to Explore .....