WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUTUMIA BANDARI YA TANGA
MENEJA wa Bandari ya Tanga Privical Salama amewataka wafanyabiashara nchini kuendelea kutumia bandari ya Tanga kwa sababu ina uwezo mkubwa wa kuhudumia shehena kwa haraka kutokana na maboresha makubwa...
View ArticleMWENYEKITI BAVICHA MANISPAA YA IRINGA AIPONGEZA FAMILIA YA ASAS KUBORESHA...
Wahenga wanasema hujafa hujaumbika. Na ule msemo usemao kwamba maendeleo hayana vyama ni hakika na bayana. Mwezi January mwaka huu nilikamatwa na jeshi la polisi na kuwekwa mahabusu kwa siku 8 kesi ya...
View ArticleWaziri Mahiga ahimiza wadhamini kujitokeza Wiki ya Tanzania nchini Kenya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya...
View ArticleSERIKALI YA POLAND YAFUNGUA RASMI OFISI ZA UBALOZI NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Augustine Mahiga kwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland, Mhe. Jacek Czaputowicz wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Ofisi...
View ArticleTEWW KUENDELEA KUWA KITOVU CHA KUTOA ELIMU BORA
Taasisi ya Elimu ya Watu wazima yaendelea Kujizatiti katika kutoa elimu bora kwa wale waliokosa elimu katika mfumo rasmi ili waweze kuchangia katika kujenga uchumi wa Viwanda.Kaimu Mkurugenzi wa TEWW...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AUPONGEZA UONGOZI WA KANISA LA BAPTIST KWA KUENDELEA KUIOMBEA...
Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama ameupongeza uongozi wa Kanisa la Baptist nchini kwa kuendela kuliombea Taifa ili...
View ArticleTigo Pesa Yapata Uthibitisho wa Huduma za Kifedha Kutoka Shirika la Kimataifa...
Tigo Pesa, huduma ya kifedha kwa simu za mkononi inayoongoza nchini, imepokea uthibitisho wa kimataifa ujulikanao kama ‘GSMA Mobile Money Certification’. Uthibitisho huu unatambua uwezo mkubwa wa Tigo...
View ArticleSekta binafsi Zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya...
Waziri Wa Viwanda, Biashara na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Amina Salum akizungumza katika ufunguzi wa mkutano na Wafanyabishara wa Zanzibar uliofanyika katika Ofisi za Wizara...
View ArticleMKURUGENZI HUDUMA ZA UFUNDI SEKTA YA UJENZI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI TEMESA
Mtendaji mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA, Dkt. Mussa Mgwatu akisoma taarifa kwa mgeni rasmi, wajumbe na watendaji hawapo pichani wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wakala huo...
View ArticleUZINDUZI WA PROGRAM YA MAFUNZO YA KUJIAJIRI NA KUONDOA UMASKINI WAFANYIKA
Mkurugenzi wa Ajira Ali Suleiman Ameir akitoa maelezo kuhusiana na Ajira katika Uzinduzi wa Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market) katika Ukumbi wa...
View ArticleShirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania (TAFCA) lamlilia Joyce Hagu
Na Sixmund J. BegasheRais wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania (TAFCA) Bw Adrian Nyangamale ameungana na wasanii wote, wapenda sanaa, Serikali ya Tanzani, na watanzania wote katika kuomboleza kifo...
View ArticleADC AMA "MPAMBE" WA RAIS NI NANI?
Kufuatia kupandishwa cheo kwa aliyekuwa Msaidizi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Tanzania (JWTZ) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli,...
View ArticleJUMIA FIX MY HOUSE
It's time to turn your House to a HOME!!A house can be any basic unit of dwelling, whether its an apartment, a super modern glass box or anything else in between. The form of the house never matters as...
View ArticleNUSU FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA HAPATOSHI
Na Bakari Madjeshi, Globu ya JamiiHATIMAYE yametimia, Droo ya Nusu Fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imemalizika kupangwa mchana huu, kwa miamba ya soka barani humo kukutana uso kwa...
View ArticleHALMASHAURI MANISPAA KIGAMBONI YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA ILANI...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa Bi. Kate Kamba ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kwa utekelezaji wa Ilani wa chama cha Mapinduzi na kusema kuwa ameiona thamani ya fedha katika miradi yote...
View ArticleTPA YAWAKUTANISHA WA WADAU KWA LENGO LA KUFANYA TATHIMINI JUU YA KAZI ZAO
Naibu Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Uchukuzi na Mawasiliano), Atashasta Nditiye akizungumza kuhusu Serikali ilivyojipanga kuhakikisha inachukua masoko ya kibandari katika...
View Article
More Pages to Explore .....