TUWAKUMBUKE NAKUWASHUKURU MASHUJAA WETU WANGALI HAI - GRACA MACHEL
Na Leah Mushi( Afrika Kusini)“Embu jiulize ni namna gani shujaa wa taifa angejisikia pale ambapo amekaa mbele ya watu wa rika tofauti jinsia tofauti wenye mirengo tofauti ya kisiasa wote wakimsifia na...
View ArticleIan Ferrao concludes term as Vodacom Tanzania Managing Director
Vodacom Tanzania PLC (Vodacom) has today announced that Ian Ferrao, the Company’s Managing Director will be stepping down in June 2018. Ferrao has reached the end of his 3-year tenure at Vodacom and...
View ArticleMKOPO WA DOLA MILIONI 65 WA KAGERA SUGAR WAWEKEZWA NCHINI
Na Benny Mwaipaja Serikali imeeleza kuwa kiasi chote cha dola za Marekani milioni 65 zilizokopwa na Kiwanda cha Sukari cha Kagera kutoka Benki ya CRDB kwa udhamini wa Serikali mwaka 2004 kimewekezwa...
View ArticleWashindi Zaidi wa Nyaka Nyaka Bonus Wazawadiwa
Meneja Mawasiliano wa Tigo Tanzania, Woinde Shisael (kushoto) akikabidhi zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 kwa Yusra Ali Ramadhani (kulia) aliyeibuka kama mojawapo ya washindi 83 wa wiki hii katika...
View ArticleA Letter to Comrade Martin Thembisile (Chris) Hani
Comrade Chris,To an ordinary mortal it would seem odd that I should communicate with you, us being worlds apart. To a Christian, such as I am, and to you, born a Catholic, being a committed member of...
View ArticleSERIKALI YAPONGEZA UTENDAJI WA TANESCO
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa matumizi ya umeme wa Gridi ya Taifa wilayani Ngara, Aprili 8 mwaka huu.Na Veronica Simba - NgaraSerikali imelipongeza...
View ArticleMkutano wa Kimataifa wa Nane wa Wiki ya Kijani
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (Mb.) akihutubia kwenye Mkutano wa Nane wa Wiki ya Kijani, unaowakutanisha wadau mbalimbali wanao simamia na kutengeneza vifaa na...
View ArticleMuhimbili Yapokea Msaada wa Vifaa Tiba
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wenye thamani ya shilingi milioni kumi. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bi. Nuru...
View ArticleWAISLAMU DHEHEBU LA SHIA ITHNA ASHERI IMAMIA MWANZA WASHIRIKI IBADA KANISANI
Mwenyekiti wa The Desk & Chair Foundation Sibtain Meghjee ambaye pia ni Mwenyekiti wa The Bilal Muslim Mission of Tanzania Kanda ya Ziwa akisisitiza jambo katika ibada iliyofanyika katika Kanisa la...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZINDUA CHANJO YA KUKINGA SARATANI YA KIZAZI JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu (katikati), Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu pamoja na wadau wengine wa Afya...
View ArticleMZEE MWINYI, KIKWETE WAONGOZA MAMIA YA WAKAZI DAR KUAGA MWILI WA MTOPA
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiVIONGOZI wa ngazi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali wakiongozwa na Rais mstaafu Mzee Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete...
View ArticleNGORONGORO HEROES TUNACHOHITAJI NI USHINDI TU - NINJE
Na Zainab Nyamka,Globu ya jamiiKOCHA Mkuu wa Ngorongoro Heroes Ammy Conrad Ninje amesema wao hawataangalia ni waamuzi gani watakaochezesha mchezo huo ingawa Shirikisho la soka barani Afrika limetoa...
View ArticleTRA YAKUSANYA TRILIONI 11.78/- NDANI YA MIEZI TISA
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii MAMLAKA ya Mapato Tanzania(TRA) imesema katika kipindi cha miezi 9 ya mwaka wa fedha 2017/2018 kuanzia Julai 2017 hadi Machi mwaka huu wamekusanya Sh.Trilioni 11.78....
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu akiongoza kikao cha bunge mjini Dodoma Aprili 10, 2018.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,...
View ArticleMPINA AFUFUA KIWANDA CHA NYAMA SHINGANYA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina ametoa siku saba kwa wawekezaji wa kiwanda cha nyama Shinyanga cha Kampuni ya Triple S Beef Limited na Agri Vision kuwasilisha hati zote za umiliki hati ya eneo...
View ArticleDC ATOA ONYO KWA WATUMISHI WA SERIKALI WATAKAOSHINDWA KUSHIRIKI MICHANGO YA...
Na Shushu Joel, Busega.MKUU wa wilaya ya Busega mkoani Simiyu, Tano Mwera ametoa onyo kali kwa watumishi wa serikali watakaoshindwa kutoa michango ya maendeleo kwenye sehemu wanazoishi kwa kisingizio...
View Article"BQ CONTRACTOR" YANYAKUA TUZO YA UBORA YA KIMATAIFA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ukandarasi ya BQ, Injinia John Bura (wa pili kutoka Kulia) akiwa amenyanyua Tuzo ya Ubora ya Kimataifa (ISO 9001:2015) Baada ya Kampuni yake kukidhi viwango vya...
View ArticleTAARIFA YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI KWA UMMA-KUFUATIA TUKIO LA MOTO...
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linapenda kutoa taarifa kwa umma kufuatia tukio la moto kwenye ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililotokea mnamo tarehe 09 Aprili, 2018 majira ya saa...
View ArticleWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA POLAND KUZURU NCHINI
ZIARA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA POLAND NCHINI 11-13 APRILI 2018Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Poland, Mhe. Prof. Jacek Craputowicz atafanya ziara ya kikazi nchini Tanzania kuanzia tarehe 11...
View ArticleWAFANYAKAZI TPA WATUMIA MAADHIMISHO YAO KWA KUCHANGIA DAMU KUSAIDIA WENYE...
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania(TPA), wameshiriki kuchangia damu kwa lengo la kusaidia wenye uhitaji wa damu nchini ili kunusuru maisha yao.Tukio...
View Article
More Pages to Explore .....