YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA LEO APRIL 6, 2018
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha kumi na moja cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Mjini Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Rais...
View ArticleBREAKING NEWS: KAMATI YA RUFAA TFF YARIDHIA WAMBURA KUFUNGIWA MAISHA...
Na Bakari Majeshi, Globu ya jamiiKAMATI ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) imeridhia uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Shirikisho hilo kumfungia maisha, aliyekuwa Makamu wa Rais wa...
View ArticleRAIS DK. SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA MADAKTARI KUTOKA CHINA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi wa Nanjing Drum Tower Hospital Bw.Han Guangshu wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo...
View ArticleMAHAKAMA YAUTAKA UPELELEZI KESI VIGOGO WA SIX TELECOMS
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka ifikapo Aprili 20 mwaka huu upeleke taarifa nzuri ya upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili...
View ArticleTCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM
Na Ropota Wetu,Globu ya jamiiKAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),imetoa hukumu kwa vituo viwili vya radio vya Times FM na Clouds FM kwa makosa ya ukiukwaji wa kanuni za...
View ArticleSZIFF YAMPA DILI WEMA SEPETU
Zainabu Nyamka,Globu ya jamiiMWIGIZAJI bora wa kike katika tasnia ya filamu nchini Tanzania Wema Sepetu amesaini mkataba mnono na Kampuni ya Auguster kwa ajili ya usambazaji wa filamu yake ya Heaven...
View ArticleWATOTO MAYATIMA WAFANYA ZIARA YA KIMASOMO KIWANDA CHA MAZIWA CHA BAKHRESA...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Muzdalifa Maalim Abdalla Hadhar akitoa Elimu kwa Wanafunzi na Watoto mayatima baada ya kuwasili katika Kiwanda cha Maziwa Cha Bakhresa Fumba kwa ziara maalum ya kimasomo...
View ArticleBenki ya CRDB yakabidhi msaada wa Madarasa na Madawati kwa ajili ya wanafunzi...
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta pamoja na Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa, wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo la madarasa...
View ArticleMakamu wa Rais aendelea na ziara yake Mkoa wa Kusini Unguja
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki ujenzi wa Tawi la CCM Mtende Mndo, Makunduchi mkoa wa Kusini Unguja. (Picha...
View ArticleZUMA KORTINI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiALIYEKUWA Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma (75)amefikishwa katika Mahakama ya Durban nchini South Afrika kujibu tuhuma za rushwa zinazomkabili ikiwemo mpango wa...
View ArticleHOSPITALI WILAYANI MKURANGA YAKOSA MASHINE YA X-RAY
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiHOSPITALI ya Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani imekosa mashine ya X-RAY ,hali inayosababisha matumizi makubwa ya fedha kwa kufuata huduma hiyo katika hospitali ya Taifa...
View ArticleKATIBU MKUU NISHATI, AFANYA ZIARA KATIKA KAMPUNI YA TIPPER
Na Rhoda James, Dar es Salaam Tarehe 5 Aprili, 2018 Katibu Mkuu wa Nishati Dkt. Hamisi Mwinyimvua alifanya ziara katika kampuni ya kuhifadhi mafuta ya TIPPER iliyopo Kigamboni Jijini Dar e Salaam....
View ArticleSerikali kuwashughulikia wanaovamia vyanzo vya maji
Na Robert Hokororo, Ofisi ya MkurugenziSerikali mkoani Shinyanga imesema itawashughulikia wanaovamia kufanya shughuli za kilimo na kunywesha mifugo kwenye vyanzo vya maji na kusababisha ongezeko la...
View ArticleMABALOZI WAJITAMBULISHA NA KUMUAGA RAIS DK.SHEIN
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Meja Jenerali Mstaafu Simon Marco Mumwi Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Urusi...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AZINDUA UKUTA UNAOZUNGUKA ENEO LA MGODI WA TANZANITE...
Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya shukrani Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo baada ya jeshi hilo kukamilishi mbele ya wakati ujenzi wa ukuta wenye...
View ArticleWAZIRI MKUU AHUDHURIA IBADA YA IJUMAA KATIKA MSIKITI WA GADAFFI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na waumin wa Kiislam wakisikiliza mawaidha kutoka kwa Sheikh Sharif Badawi Ahmed, kutoka Mombasa nchini Kenya wakati alipohudhuria ibada ya Ijumaa, katika msikiti wa...
View ArticleBALOZI WILBROAD SLAA AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Wilbroad Slaa leo amewasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden.
View Article
More Pages to Explore .....