Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110170 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI VYUO VIKUU WASHAURIWA KUTUMIA VYEMA MAWAZO YAO

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiBENKI ya dunia kupitia mradi wake wa kuinua uchumi wa nchi mbalimbali Afrika April 4 umewatangaza washindi wake katika shindano la Blog4Dev2017 lililofanyika mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL MONEY YAGAWA BILIONI 14 KWA WATEJA WAKE HADI SASA, YATANGAZA GAWIO JIPWA

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu gawiwo la bilioni 1.8 la robo ya mwaka kwa wateja wa Airtel Money. katikati ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar yazindua ugawaji endelevu vyandarua vyenye...

Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe Hamad Rashid leo amezindua ugawaji endelevu wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu kwa jamii hapa Zanzibar. ‘Leo kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEKUWA RAIS BRAZIL JELA MIAKA 12

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiALIYEKUWA  Rais   wa Brazil  Luiz Inancio Lula da Silva maarufu kama Lula ametakiwa kuanza kutumikia kifungo chake cha miaka 12 gerezani kwa tuhuma za rushwa ya Euro...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC SHINYANGA AWATAHADHALISHA WAHARIBIFU WA MISITU

Na Lusungu Helela-ShinyangaMkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telak amewatahadhalisha wananchi kuwa yeyote atakayeharibu misitu kwa kukata au kuingiza mifugo kwenye  misitu atachukuliwa hatua za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URAFIKI WA TANZANIA,CHINA NI WA DAMU,LAZIMA UDUMISHWE NA KULINDWA-BALOZI MAHIGA

*Balozi wa Wang Ke aongoza Jumuiya ya marafiki wa China ,Tanzania kuwakumbuka waliopoteza maisha wakati wa ujenzi wa reli ya TazaraNa Said Mwishehe,Globu ya jamii SERIKALI ya Tanzania imeungana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MJASILIAMALI ANAEUZA KAZI YA SANAA ZA MIKONO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimasikiliza  mjasiriamali Robinson Mungule anayeuza kazi za sanaa ya mikono katika ufukwe za Nungwi mkoa wa Kaskazini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu 28 kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18

Timu 28 zinatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2017/18 inayotarajia kuanza Mei 1,2018 mpaka Mei 16,2018 kwenye vituo vinne. Vituo vitakavyotumika ni Geita, Singida, Rukwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WAPATIWA ELIMU JUU YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

 Mkuu wa Chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi, Yussuf Haji Makame akitoa elimu kwa waandishi wa habari ( hawapo pichani) namna saratani hiyo inavyoathiri katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAINGIA MKATABA POSTA MLANGONI NA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA

Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwang'ombe, akizungumza wakati wa hafla ya kusaini mkataba kati ya Posta na Mahakama ya Tanzania wa huduma ya Posta Mlangoni inayotolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZAZI CCM PWANI WATOA DAMU,WACHANGIA UJENZI SHULE YA MSINGI AMANI

Na Elisa Shunda, BagamoyoJUMUIYA ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani imeadhimisha siku ya wazazi kwa mkoa huo kwa kuchangia kutoa damu chupa 120 na kutoa mifuko 50 ya simenti,mabati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano ya mchezo wa kujihami kufanyika Tanzania Mei

TANZANIA imechaguliwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya mchezo wa kujihami Tae kwo-ndo kwa nchi za Afrika Mashariki yanayofanyika Mei mwaka huu.Rais wa Tae kwo-ndo kwa nchi za Afrika Mashariki, Kennedy...

View Article


Wosia wa Dkt. Salmin Amour

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEDHA ZA UPANUZI WA VITUO VYA AFYA ZIFANYE ZAIDI YA KAZI ILIYOTARAJIWA - RC...

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akizungumza na mafundi wanaojenga katika kituo cha Afya Isansa Wilaya ya Mbozi, kituo hicho cha Afya kimepokea shilingi milioni 500 kwa ajili ya upanuzi wa kituo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA WADAU KATI YA SERIKALI, WAAJIRI, PAMOJA NA SEKTA BINAFSI KUHUSU...

Ofisi ya Waziri Mkuu, kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) pamoja na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), wanautaarifu Umma kuwa wameandaa Mkutano wa Wadau utakaojadili na kupokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFDA YAWAPA WADAU MIONGOZO YA USAJILI WA VIWANDA

 Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imekutana  na wadau wenye nia ya kuwekeza katika viwanda vya dawa kwa ajili ya kupata miongozo ya kufanya kiwanda kiweze kujengwa  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA UKUTA MIGODI YA TANZANITE MERERANI YAKAMILIKA

Waziri wa Madini Mhe. Anjellah Kairuki akifurahia jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Venance Mabeyo kabla ya kikao cha majumuisho kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa ukuta kuzunguka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. SHEIN AZINDUA KONGAMANO LA KUMBUKUMBU YA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akizungumza jambo wakati akizindua kongamano la Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

View Article
Browsing all 110170 articles
Browse latest View live




Latest Images