KAMISHNA WA OPERESHENI WA ZIMAMOTO AZINDUA MAFUNZO YA UZAMIAJI MAJINI KINA...
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (CF) Billy Mwakatage (kushoto), akiwa ameambatana na mwenyeji wake mmiliki wa Yatch Club Bw. Brian Fernandes (kulia), baada ya kuwasili ofisi za...
View ArticleMAASKOFU,WACHUNGAJI KANDA YA ZIWA WABARIKI TAMASHA LA PASAKA 2018,WAMPONGEZA...
MKurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akifafanua jambo mbele ya Maaskofu na Wachungaji wa mkoa wa jiji la Mwanza mapema leo jijini humo kuhusu upokeo na maandalizi ya tamasha la...
View ArticleNJENJE WAIBUKA UPYA SALENDER BRIDGE CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUANZIA LEO
Baada ya kupata baraka zote toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda mabingwa wa muziki wa starehe nchini The Kilimanjaro band Wana Njenje wamerudi upya pale pale Salender Club jijini...
View ArticleTAARIFA YA DC HAPI KUMTEMBELEA MSANII MAN DOJO ALIYEBOMOLEWA NYUMBA YAKE
Leo asubuhi nimefika alipokua akiishi msanii Man Dojo.Taarifa ya awali inaonesha kuwa eneo alilojenga kuna viwanja vitatu ambavyo vina hati na kuna watu walipewa mwaka 2003.Mwaka 2013 viwanja hivyo...
View ArticleTANZIA: MTANZANIA LEYLA MTUMWA AUWAWA LONDON, UINGEREZA
Ndugu wapendwa watanzania na marafiki wa Tanzania wote, tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu Leyla Mtumwa kilichotokea tarehe 30 March 2018 mjini London. Inasadikiwa mauti yalimkuta baada ya...
View ArticleWaziri Mkuu Kassim Majaliwa afungua mkutano mkuu wa BAKWATA mjini Dodoma leo.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaomba viongozi wa dini popote walipo wahakikishe wanaipigania na kuilinda amani kwa kila hali ikiwa ni pamoja na kupambana na viashiria vya uvunjifu wa amani. Waziri...
View ArticleRais Magufuli aungana na Wakristo kuadhimisha misa ya Pasaka Kanisa la Mt....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakilakiwa kwa furaha na Paroko Msaidizi Venance Tegete walipojumuika na waumini wengine katika...
View ArticleTATIZO SUGU LA MIMBA ZA UTOTONI KWA WILAYA YA TUNDURU
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Ruvuma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jacqueline Ngonyani Msongozi, amewata wazazi kuwafichua watu wanaowapa mimba wanafunzi pamoja watoto waliochini ya umri wa miaka...
View ArticleDEATH ANNOUNCEMENT IN LONDON,UK
By Ayoub MzeeON behalf of the family with deep sorrow we regret to announce the untimely death of our beloved sister Laila Mtumwa which happened in London on the 30.3.2018 in the Kirkstall...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AELEKEA GEITA KATIKA SHEREHE ZA KUWASHA MWENGE WA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza, Aprili 1, 2018 akiwa njiani kuelekea Geita ambako Aprili 2, 2018...
View ArticleWANAMABADILIKO WASAIDIA KUPUNGUZA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI TARIME
"Shemeji zangu walikuwa sita walinipiga sana kwa kweli kwa sababu ya kutaka kumiliki Mali za Mume wangu ambaye ni Marehemu" , ni mmoja ya wanawake wa Tarime akisimlia kwa masikitiko kutokana na ukatili...
View ArticleNHIF yasheherekea Pasaka kwa kuwahudumia Wanageita
Na Grace Michael, GeitaMfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umesherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa kutoa huduma za upimaji wa Afya bure pamoja na kukabidhi kadi za matibabu kwa watoto chini ya umri wa...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI GEITA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mwenge wa Uhuru kiongozi wa vijana sita watakaokimbiza Mwenge huo, Charles Kabeho wakati alipozindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye uwanja wa Magogo mjini...
View ArticleWAZIRI MWIGULU AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUTEMBEA KOTE NCHINI KUIHUBIRI DINI...
Waziri Wa mambo ya ndani Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amewasihi viongozi mbalimbali wa dini nchini wakiwemo Maaskofu na Mashekh kutumia muda wao mwingi kwa kutembelea mikoa mbalimbali nchini...
View ArticleBAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE...
Nahodha wa timu ya Bakoba Fc akiwa amebeba Kombe la Ubingwa leo hii jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba mara baada ya kuibuka Kidedea kwa kuifunga Timu ya Ijuganyondo bao 3-0. Katika Mchezo huo Kipindi cha...
View ArticleWINNIE MANDELA AFARIKI DUNIA
Winnie Mandela, mke wa zamani wa Nelson Mandela, ambaye pia alipigana dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi Afrika Kusini amefariki dunia akiwa na miaka 81.Habari za kifo chake zimethibitishwa na...
View Article