KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ZANZIBAR,UBALOZI WA SWEDEN WASAINI MAKUBALIANO YA...
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar (kushoto) akitiliana saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden Ulf Kallstig (kulia) kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa...
View ArticleMAHAKAMA YAAMURU MMILIKI IPTL AKATIBIWE HOSPITALI YA MUHIMBILI
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habinder Sethi, kupelekwa kutibiwa katika Hospitali ya Taifa ya...
View ArticleWATAALAM UPIMAJI ARDHI WAANZA UHAKIKI MIPAKA TANZANIA,NCHI JIRANI
Na Rehema Isango, MaraTIMU ya watalaamu wa upimaji ardhi kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini na Taasisi za Usimamizi wa ardhi Kenya zimekutana wilayani Tarime mkoani Mara kwa...
View ArticleRC TABORA: WAKANDARASI WA KITANZANIA HAKIKISHENI MIRADI YENU INAKUWA YA...
Na Tiganya VincentWAKANDARASI Kitanzania wametakiwa kuzingatia ubora, viwango vya kazi zao ili waweze kuaminika kwa Serikali na hivyo kupata fursa kubwa ya kupewa miradi mipya inayotarajiwa kujengwa...
View ArticleMilioni 260 za Tatumzuka kunyakuliwa katika ‘Jackpot’ ya Pasaka
Tatu Mzuka, mchezo wa namba unaongoza hapa nchini unawapa fursa Watanzania kushinda kitita cha Shilingi milioni 260 katika droo itakayofanyika jumapili ya pasaka na kuonyeshwa moja kwa moja saa 3:30...
View ArticleWAZIRI MKUU AREJEA DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Kasulu Mjini , Daniel Nsanzugwako kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma wakati aliporejea akitoka Dar es salaam Machi 28, 2018. Wapili kulia ni Waziri...
View ArticleMABALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA NA URUSI WAMUAGA MAKAMU WA RAIS TAYARI KWA...
Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda Mhe.Ernest Mangu na Meja Jenerali Mstaafu Simon Marco Mumwi wa Urusi leo wamekutana na kuzungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA UONGOZI YAKUTANA LEO MJINI DODOMA
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa, Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilicholenga Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za...
View ArticleBancABC YATEKELEZA SERA YA FEDHA YA BoT
BENKI ya BancABC imesema imetekeleza Sera ya fedha ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) kwa kutangaza kutoa punguzo kwa wateja wake wapya kuwezesha kukopa kuanzia Aprili 1 mwaka huu.Akizungumza leo...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA KUTIKISA KANDA YA ZIWA,KUANZIA CCM KIRUMBA APRILI MOSI...
Ni siku nne zimebaki kengele ya Tamasha la Pasaka zinahesabika. Ni Aprili Mosi, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.Mara nyingi Tamasha la Pasaka limekuwa likifanyika jijini Dar es Salaam...
View ArticlePOLISI WAIMARISHA ULINZI KUELEKEA PASAKA, LASEMA HALI YA USALAMA WA NCHINI...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiJESHI la Polisi nchini limesema hali ya usalama nchini ni shwari na matukio makubwa ya uhalifu wa kutumia silaha yamepungua kwa kiasia kikubwa huku likieleza kipindi hiki...
View ArticleKIGWANGALLA APOKEA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA
Kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali kutafuta wawekezaji wa Kimataifa kwa ajili ya kuwekeza katika sekta utalii hapa nchini, Kampuni ya Kimataifa ya Tibet Dexin Financia Leasing kutoka...
View ArticleKAMPUNI YAJITOSA KUSAKA WABUNIFU WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
Na Said Mwishehe, Globu ya Jamii.KAMPUNI ya Carrer Times Ltd inayoshighulisha na teknolojia imeandaa Africa Technology Awards yenye lengo la kusaka na kuibua wabunifu katika mambo yanayohusu...
View ArticleDC HAPI AAGIZA WATENDAJI KUTOA FEDHA BIL 2.3/- KWA WAJASIRIAMALI KINONDONI
Na Agness Francis Blogu ya JamiiMKUU wa Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam Ally Hapi amewaagiza watendaji wake kuhakikisha hadi ifikapo Juni mwaka huu wawe tayari wametoa fedha za mkopo Sh.bilioni 2.3...
View ArticleUMOJA WA RUDISHA UZALENDO WAANDAA MAANDAMANO KUPONGEZA JUHUDI ZA RAIS
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiWAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam kupitia Umoja wa Rudisha uzalendo Tanzania (RUTA) umepongeza juhudi za Rais Dk.John Magufuli na watendaji kazi wake katika kusukuma...
View ArticleTAVITA YALAANI UCHOCHEZI UNAOFANYWA NA BAADHI YA WANASIASA
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiTAASISI ya Taasisi ya Taswira ya Vijana Tanzania (TAVITA) imelaani vikali uchochezi unaofanywa na baadhi ya wanasiasa kupitia mitandao ya kijamii dhidi ya Serikali ya...
View Article