Rais Magufuli apokea ripoti ya hesabu za Serikali ya 2016/17 kutoka kwa CAG
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri...
View ArticleMBOWE NA VIONGOZI WENGINE WATANO WA CHADEMA WAFIKISHWA MAHAKAMANI
*Mahakama yaamua kuwanyima dhamana kwa usalama wao*Hatma yao kujulikana Ijumaa iwapo watatoka mahabusu au laNa Karama Kenyunko,Globu ya jamiiMWENYEKITI wa Chadema Freeman Mbowe na viongozi wengine wa...
View ArticleDC SOPHIA MJEMA AZINDUA UPANDAJI MITI, APIGA MARUFUKU WANAOPIKA BARABARANI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akipanda mti kuashiria uzinduzi wa wiki ya upandaji Miti katika wiaya hiyo.Na Heri ShaabanWILAYA ya Ilala jijini Dar es Salaam wazindua wiki ya upandaji miti katika...
View ArticleRC Wangabo azigeukia NGOs na CSOs kuhamasisha uanzishwaji wa viwanda...
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezitaka asasi za kiraia na mashirika yasiyo ya kiserikali kuchukulia juhudi za uanziswaji wa viwanda nchini unaofanywa na serikali kama suala mtambuka na...
View ArticleKINARA WA UDHALILISHAJI WANAWAKE MKOANI MOROGORO AKAMATWA.
Na John Nditi, MorogoroPOLISI mkoani Morogoro imefanikiwa kumnasa mtuhumiwa sugu ajulikanaye kwa jina la Mabula Mabula ( 28), maarufu ‘SIX ‘ mkazi wa Kata ya Mji Mpya , ,Manispaa ya Morogoro ,...
View ArticleMAONESHO YA YST KUFANYIKA MAPEMA AGOSTI
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamii.Taasisi ya Young Scientist Tanzania (YST) inapenda kuwaalika wanafunzi wa shule za sekondari pamoja na walimu kushiriki katika maonesho ya YST 2018 yatakayofanyika...
View ArticleBUBU ANAPOKUWA SHAHIDI MAHAKAMANI.
Na Bashir Yakub.Bubu yaani mtu asiyeweza kuongea anaweza kuwa shahidi mahakamani iwapo ameshuhudia tukio. Kutokuwa na uwezo wa kuongea hakumwondolei sifa ya kushuhudisha kile ambacho amekishuhudia....
View ArticleTANESCO KUTUMIA MFUMO MPYA WA MALIPO YA SERIKALI KUUZA UMEME,PIA KAMPUNI ZA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiSHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema wateja wake wote wanaotumia mita za malipo ya kabla yaani (LUKU) kuwa, kuanzia April 2, mwaka huu shirika hilo itahamia rasmi...
View ArticleJe! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa...
Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa kutumia mtandao wa simu? Tazama na ujifunze jinsi wengine wanavyofanya.
View ArticleMWAKYEMBE AKUTANA NA MSANII DIAMOND,WAMALIZA TOFAUTI ZILIZOJITOKEZA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zilizochukuliwa na wizara kwa kufungia baadhi ya...
View ArticleKENYA NA TANZANIA WAHAKIKI MPAKA WA KIMATAIFA
Na Rehema Isango, Tarime, MaraTimu za watalaamu wa upimaji ardhi kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Tanzania na taasisi za usimamizi wa Ardhi nchini Kenya zimekutana wilayani Tarime...
View ArticleRAIS DK. SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni kushika nyadhifa mbali mbali katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar....
View ArticleMILIONI 400/= KUJENGA MAJENGO MANNE YA KISASA
Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma imepokea fedha kutoka Ofisi ya Raisi TAMISEMI kwa ajili ya kuongeza majengo katika kituo cha afya Namtumbo.Ofisa Habari wa Halmashauri ya wilaya ya...
View ArticleMGALU AWATAADHARISHA WAKANDARASI/WATUMISHI WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
Na Mwamvua Mwinyi, KibahaSERIKALI imetoa tahadhari kwa watumishi ,wakandarasi na wadau wa sekta ya Nishati wanao husika na miradi wasitikise kiberiti kwa kuhamasisha maandamano kupitia shida za...
View Article
More Pages to Explore .....