TAIFA STARS, CONGO KUKIPIGA KESHO UWANJA WA TAIFA
Na Agness Francis Blogu ya JamiiBAADA ya Taifa Stars kuchapwa mabao 4-1 dhidi ya Algeri wakiwa ugenini sasa wanawakaribisha nyumbani kikosi cha timu ya Taifa ya Jamuhuri kidemokrasia ya Congo kwenye...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAENDELEA NA VIKAO VYAKE MJINI DODOMA
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Albert Ntabaliba akizungumza wakati wa kupitia na kujadili Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 katika kikao kilichofanyika leo ukumbi wa...
View ArticleMKURUGENZI MKUU MSD AMTAJIA RAIS MAGUFULI CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI
Na Said Mwishehe, Globu ya JamiiMKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Lauraean Bwanakunu pamoja na mafanikio ambayo wameyapata katika kutekeleza majukumu yao ya kununua, kusambaza, kutunza na...
View ArticleDC MATIRO APIGISHA KURA ZA SIRI KUBAINI WAUAJI WA WANAWAKE SHINYANGA VIJIJINI
Na Kadama Malunde - Malunde1 blog.Kufuatia kuibuka kwa taarifa za kuwepo kwa mauaji ya wanawake yanayoambatana na imani za kishirikina katika kata ya Salawe wilaya ya Shinyanga, mkuu wa wilaya hiyo...
View ArticleMWALIM MKUU KAKONKO AJINYONGA AKIWA OFISINI KWAKE,AANDIKA UJUMBE MZITO
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma MKUU wa Shule ya Sekondari Kakonko wilayani Kakonko mkoani Kigoma,Peter Rubonya amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kamba ofisini kwake mapema leo asubuhi.Akielezea tukio...
View ArticleMAVUNDE AIPONGEZA OSHA KUBORESHA UTENDAJI WAKE
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Mh. Antony Mavunde, ameupongeza Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa jitihada unazozichukua katika...
View ArticleDKT KALEMANI ATOA MAAGIZO WAKANDARASI WA REA NCHINI
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani amewaagiza wakala wa nishati vijijini (REA) nchini kuhakikisha wanaunganisha umeme kwenye vijiji vitatu kila wiki ili kutoa fursa ya wananchi kufikiwa na huduma...
View ArticleFUATILIA HAPA MOJA KWA MOJA: CAG AKIWASILISHA RIPOTI YAKE KWA RAIS DKT. MAGUFULI
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja muda huu ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) anawasilisha ripoti yake kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
View ArticleTAARIFA YA KIKAO CHA KAMATI YA UTENDAJI YA DRFA
Kamati ya Utendaji ya Chama cha Soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) iliketi Machi 25, 2018 katika kikao cha kawaida kinachofanyika kila baada ya miezi mitatu kujadili masuala mbalimbali ya...
View ArticleRAIS MAGUFULI:OLE WAO WATAKAOCHELEWESHA DAWA ,VIFAA TIBA BANDARINI
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiRAIS Dk.John Magufuli amesema mtumishi yoyote wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto atakayecheleweshwa dawa na vifaa tiba kutoka bandarini...
View ArticleTANZIA
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, ndugu Nyakimura M. Muhoji anasikitika kutangaza kifo cha Bibi, Hafsa Anzerani Mrisho aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, “DAHRM” Tume...
View Article
More Pages to Explore .....