KAMPUNI YA IVORI IRINGA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI UFUMBUZI WA TATIZO LA SUKARI...
Na Fredy Mgunda,Iringa. KAMPUNI ya Iringa Food and Beverage na Ivori Ltd ya mjini Iringa imempongeza Rais Dk John Magufuli kwa namna alivyolipatia ufumbuzi suala la sukari ya viwandani ikisema...
View ArticleMBUNGE ROSE TWEVE KUWAWEZESHA WANAWAKE WA UWT MKOA WA IRINGA
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Rose tweve akiwa na Naibu Katibu Mkuu bara wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi (UWT) Taifa, Eva Kihwele pamoja na katibu...
View ArticleBonanza la Castle Africa 5s lafanyika Mwembe Yanga jijini Dar
Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (kushoto) akizungumza na wachezaji (hawapo pichani) wakati wa Bonanza la Castle Africa 5s(5- aside) lililofanyika Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...
View ArticleRekodi kibao za kuogelea za Taifa zavunjwa
Mashindano ya kuogelea ya kutafuta bingwa wa Taifa yameanza kwa vishindo na waogeleaji mbalimbali wameonyesha uwezo wao mkubwa katika kusaka medali kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimaitaifa ya...
View ArticleTPDC YAIMARISHA SEKTA YA AFYA KIDUNDAI, LUSHOTO
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kidundai, Ndg. Waziri Mdoe (Kushoto) akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni nne kutoka kwa mwakilishi wa TPDC, Ndg. Asiad Mrutu (Kulia). Makabidhiano hayo yalifanyika...
View ArticleWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR ATEMBELEA VITENGO MBALIMBALI HOSPITAL YA MNAZI MMOJA
Mkuu wa wodi ya watoto Hospital ya Mnazi mmoja Fatma Ali Moh’d akimpatia maelezo Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed mwenye Kaunda suti wakati Waziri huyo alipofanya ziara za Vitengo vya Hosptal hiyo....
View ArticleVIDEO – FAHAMU KWA UNDANI FAIDA YA KULA TUNDA LA PAPAI
Ni wazi kuwa papai ni tunda lililosheheni kila aina ya utajiri wa vitamin kuliko matunda mengine, kwani lina vitamin A, B, C, D na E. Ebufatilia video hii upate elimu zaidi juu ya faida ya tunda la...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFUNGA MAFUNZO KWA WAHITIMU WA JESHI USU...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga amewaagiza wahifadhi wote nchini kuhakikisha kuwa hakuna misitu inayoendelea kuharibiwa ikiwa ni pamoja na kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi...
View ArticleSerikali, Wadau Kuendelea Kuzuia Maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi.
Frank Mvungi- MAELEZO, DodomaSerikali imesema itaendeleza mapambano ya Vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa kuongeza kasi katika kuzuia maambukizi mapya ikiwemo kutoa elimu kwa umma.Akizungumza mjini...
View ArticleWaandishi wa habari watembelea kituo cha Data Centre cha Kampuni ya Vodacom...
Meneja wa kituo cha Data Centre cha kampuni ya Vodacom Tanzania, Imani Alimanya (kulia) akitoa maelezo kuhusu kituo hicho kinvyofanya kazi mbele ya waandishi wa habari waliotembelea kituo hicho....
View ArticleTAMASHA LA WALI NAZI KUFANYIKA RAMADA RESORT HOTELI JIJINI DAR ES SALAAM
Mkurugenzi Mshirika wa Taasisi hiyo, Salum Kihemba akizungumza na waandishi wa habar jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Tamasha la Wali nazi Food Festival litakalofanyika Aprili 2 mwaka huu katika...
View ArticleRais Magufuli azindua magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua ghala ya dawa kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26,...
View ArticleKUWAFUNGIA NDANI WATOTO WENYE USONJI NI KUWANYIMA HAKI YA KUPATA ELIMU-DK...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNAIBU Spika , Dk. Tulia Ackson amesema wazazi wasiwafungie watoto wao majumbani kutokana na maumbile yao kufanya hivyo ni kuwakosessha haki ya kupata elimu.Dk. Tulia...
View ArticleTAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU RAIA WA TANZANIA NCHINI OMAN
Kuna kipande cha video kinasambaa mitandaoni kikiwa na maelezo kuwa raia wa Tanzania wanaoishi nchini Oman wamekusanyika ofisi ya Ubalozi kushinikiza kurejeshwa nyumbani kutokana na mateso na adhabu...
View ArticleRC Dodoma akagua Utendaji Kazi Uhamiaji
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa, Dkt. Binilith Mahenge akiwasili Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Dodoma akiwa katika ziara ya kukagua utendaji kazi Idara ya...
View Article
More Pages to Explore .....