Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110078 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumo wa kujitegemea wa usajili wa vizazi kwa watoto wa chini ya umri miaka...

Waziri wa Haki na Katiba, Prof Palamaganda Kabudi akionesha kitabu cha vyeti vya kuzaliwa pamoja na simu ya kisasa alipozindua zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMKIA KAZI ZA BARABARA

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imesema itahakikisha wanawake walio katika Sekta ya Uhandisi na Ukandarasi wanapata fursa za kusimamia na kutekeleza miradi mbalimbali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 26 wamefariki dunia na wengine kumi kujeruhiwa ajali iliyotokea Mkuranga...

Na Mwamvua Mwinyi,MkurangaAjali hiyo imehusisha gari ndogo ya abiria aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajili T.676 DGK inayofanya safari zake Kimanzichana - Mbagala Rangi na gari nyingine aina ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MALIASILI YAZIJENGEA UELEWA KAMATI MBILI ZA BUNGE KUHUSU MRADI WA SECO

Na Hamza Temba, DodomaWizara ya Maliasili na Utalii imeendesha warsha ya siku moja ya kuwajengea uelewa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Ardhi, Maliasili na Utalii na Viwanda, Biashara na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 26 ajali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Pennyroyal, Internalional Volunteers Oman wakabidhi Viti na Meza...

Pennyroyal Limited kupitia kitengo chake cha huduma kwa jamii Best of Zanzibar wakishirikiana na International Volunteers kutoka Oman wametoa msaada wa madawati 200 yenye thamani ya Tsh 18,000,000/- (...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARAMI WAPINGANA NA WARAKA WA MAASKOFU WA KKKT NCHINI

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiWATETEZI wa Rasilimali wasio na Mipaka-WARAMI wameupinga waraka wa Ujumbe wa pasaka kutoka kwa baraza la maaskofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA UCHUMI WA KATI, BAOBAB WAFUNGUA KIWANDA CHA UTENGENEZAJI MITA ZA LUKU

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiWAZIRI wa nishati mh. Menard Kalemani leo Machi 24 ametembelea kiwanda kipya cha utengenezaji wa mita za luku cha Baobab Energy System Tanzania (BEST) kilichopo Goba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOKETI 'ATUMBULIWA' NAFASI YA KATIBU UHAMASISHAJI UVCCM

Na Said Mwishehe, Globu ya JamiiKAMATI ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Chama Cha Mapanduzi(UVCCM) imemtema Jokate Mwegelo kwenye nafasi ya Katibu wa Chipukizi na Uhamasishaji wa jumuia hiyo uanzia...

View Article


DJ Luke Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV 2018

Matokeo ya Uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Lucas Mukami (DJ Luke) ameibuka mshindi wa Urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV kwa kura 315, dhidi ya Liberatus Mwang'ombe, aliepata kura 262....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI BUKOBA WADAI VITAMBULISHO VYA TAIFA VITAWASAIDIA KUONDOKANA KERO ZA...

Wananchi mkoani Kagera wameeleza kero kubwa wanayoipata, ukiwemo usumbufu mkubwa wanapokuwa kwenye shughuli zao nje ya mkoa hasa maeneo ya mpakani kwa kukosa Vitambulisho vya Uraia.Hayo wameeleza...

View Article

HASSAN BICHUKA ATOA BURUDANI, ATHIBITISHA KUWEPO DAR CCM FAMILY DAY APRIL 21,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA BIASHARA LA TCCIA LAFANA

Kongamano la biashara lililoandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) limefanyika jijini Dar es salaam na kuzungumzia mambo kadha wa kadha hususani fursa katika bomba la mafuta la Tanga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY AMTAKA DED TANGA KUTENGA ENEO KWA AJILI YA TAASISI YA GIFT OF HOPE

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kutenga eneo la hekari 10 kwa ajili ya Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Gift of Hope Foundation ambayo inasimamia kituo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WILAYA YA MKINGA KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI SAFI

Shirika la Kimataifa linalojishughulisha na kusambaza huduma za maji la Water Missions International Tanzania, mwishoni mwa wiki limezindua mradi mkubwa utakaonufaisha vijiji 7 vya wilaya ya Mkinga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MARCH 26,2018

KUSOMA MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa...

Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa kutumia mtandao wa simu? Tazama na ujifunze jinsi wengine wanavyofanya.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA SOKO TUNGWI-SONGANI MANISPAA YA KIGAMBONI WAZINDULIWA,WANANCHII...

Wananchi wa mtaa wa Tungwi-Songani Kata ya Pembamnazi Manispaa ya Kigamboni wametakiwa kutunza miundombinu ya soko ili soko liweze kudumu kwa muda mrefu na kunufaisha wananchi wote kwa ujumla. Rai hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESRF wapongezwa kupitia SIDP

TAASISI ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), imepongezwa kwa kazi zake inazofanya za utafiti na kutoa mwelekeo sahihi wa uanazuoni kwenye masuala mazito yanayotakiwa kutekelezwa na wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

17 WATAMBULIWA KATI YA 26 WALIOFARIKI AJALI MKURANGA

Na Mwamvua Mwinyi,Mkuranga  WATU 17 kati ya 26 waliofariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Mkuranga Mkoani Pwani ,wametambuliwa majina yao ambapo hatua inayoendelea ni kuwakabidhi kwa ndugu...

View Article
Browsing all 110078 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>