MAADHIMISHO YA SIKU YA USONJI KUFANYIKA KESHO
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWazazi wanapaswa kuwapa nguvu, moyo na kupata haki ya elimu kwani wao pia wanauwezo wa kufanya kazi mbalimbali katika jamii hivyo katika matembezi hayo yatasaidia...
View ArticleUBALOZI WA KUWAIT NA TAASISI YA DORIS MOLLEL WATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA...
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jaseem Al Najem (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Benjamini Mkapa, Dkt. Alphonce Chandika, sehemu ya vifaa tiba kwa ajili ya Watoto Njiti,...
View ArticleWAGONJWA 55 WA AKILI WALIOKUWA NA MAKOSA MBALIMBALI WAACHIWA
Na Mwandishi MaalumJumla wa wagonjwa wa akili 55 waliokuwa wametenda makosa mbalimbali yakiwamo ya jinai wakiwa na ugonjwa wa akili, wameachiwa huru baada ya mahakama kutowatia hatiani.Hayo...
View ArticleTCCIA NA AZANIA BANK ZAWAKUTANISHA WAFANYABIASHARA DAR ES SALAAM
Meneja Mwandamizi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Azania, Jackson Lohay, akitoa mada katika mkutano huo. Wadau. Kaimu Meneja Huduma na Uwezeshaji Brella, Bosco Gadi, akitoa mada katika mkutano...
View ArticleWAZIRI MKUU AWATAKA VIJANA WAFANYE KAZI KWA BIDII NA MAARIFA
*Asisitiza kwamba kazi ndiyo msingi wa maendeleo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wafanye kazi kwa bidii na maarifa kwa sababu kazi ndiyo msingi wa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.Pia...
View ArticleTUKUTANE COVENTRY JUMAMOSI TAREHE 05/05/2018, MKUTANO MKUU WA PILI (AGM –...
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania UK na Northern Ireland inapenda kuwatangazia Wanachama wake na Watanzania wote wanaoishi nchini Uingereza, Wales, Scotland na Ireland ya Kaskazini (Ireland)kuwa Mkutano...
View ArticleMkurugenzi SBL afanya mazungumzo na maofisa Idara ya Uhamiaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Helene Weesie, jana alifanya mazungumzo na maofisa kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ikiwa ni sehemu ya uboreshaji zaidi wa maslahi na mazingira...
View ArticleWANANCHI DODOMA WAAMKA VITAMBULISHO VYA TAIFA
Wananchi mkoani Dodoma wameendelea kufurika kwenye vituo vya Usajili mkoani humo kushiriki zoezi la Usajili wa Vitambulisho vya Taifa linaloendeshwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa- NIDA.Zoezi...
View ArticleKUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA KIFUA KIKUU WAZIRI HAMAD ATOA WITO...
Na Faki Mjaka-Maelezo ZanzibarJamii imetakiwa kulifahamu vyema tatizo la kifua kikuu na kushirikiana na Wizara ya afya kupitia Kitengo shirikishi cha UKIMWI, Homa Ya Inni, Kifua kikuu na Ukoma ili...
View ArticleWANAWAKE WA ARUSHA WAPEWA MKOPO WA MILIONI 120
Na Alice Mapunda, Arusha.Wanawake wa Arusha watakiwa kutumia vizuri mikopo yao kwa kuwekeza kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo na zitakazo zalisha kwa wingi na kuwaletea mapato yakutosha katika...
View ArticleSerikali kutoa uamuzi kuhusu uingizaji wa mita za umeme nchini baada ya miezi...
Na Teresia MhagamaWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, amesema kuwa, baada ya miezi mitatu Serikali itatoa uamuzi kama nchi iendelee kutumia mita za umeme zinazotengenezwa nje ya nchi au kupiga...
View ArticleJUMUIYA YA WAZAZI ILALA WAAMUA KUWA WALEZI SHULE YA MSINGI MCHIKICHINI
JUMUIYA ya Wazazi Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam imechukua jukumu la kuwa mlezi wa Shule ya Msingi Mchikichini ili kupunguza changamoto zinazoikabili shule hiyo.Hayo yamesemwa Dar es Salaam na...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MATAWI KANISA LA MTAKATIFU...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya...
View ArticleWAZIRI MKUU AKAGAUA MRADI WA UJENZI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA RUANGWA
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Ruangwa Mkoa wa Lindi (DED) Bwana Andrea Chezue wakati akiangalia mchoro wa Uwanja wa Michezo wa kisasa...
View ArticleKINANA AZINDUA SEMINA ELEKEZI KWA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA LEO...
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akifungua semina elekezi kwa wajumbe wa Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa leo katika Ukumbi wa NEC katika Jengo la Ofisi ya Makao Makuu ya CCM mjini...
View ArticleFEMINA HIP YAKABIDHI TUZO KWA WANAFUNZI KUMI WA WA SHULE ZA SEKONDARI...
Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na masuala ya vijana, Femina Hip limetoa tuzo kwa washindi kumi wa shindano la uandishi wa insha kuhusu hedhi, lililoshirikisha wanafunzi wa shule za...
View Article
More Pages to Explore .....