Kifo cha Mwalimu Mponda wa TaSUBa chaigusa Serikali
Na Anitha Jonas – WHUSMSerikali imetoa pole kwa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kwa kumpoteza Mwalimu mahiri John Mponda aliyekuwa balozi wa tasnia ya Sanaa nchini. Kauli hiyo imetolewa leo na...
View ArticleWAKAZI DAR KUPATA MAJI YA UHAKIKA IFIKAPO 2020
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiMKUU wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Kisare Makori amehitimisha maadhimisho ya Wiki ya maji jijini yenye kauli mbiu ya Hifadhi Maji na Mifumo ya Ekolojia kwa...
View ArticleTANESCO YAWATOA HOFU WATEJA WAO, YASEMA HAKUNA TATIZO KATIKA LUKU
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiSHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco)limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayodai kutakuwa na tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU kuanzia Machi...
View ArticleMkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan...
Katibu wa Asasi ya Wazalendo na Maendeleo Tanzania (AWAMATA) Merinah Millensasha (kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan...
View ArticleRAIS MAGUFULI, WAZIRI WA ULINZI WA ISRAEL WAFANYA MAZUNGUMZO IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Ulinzi wa Israel Avigdor Lieberman mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya mazungumzo. Rais wa...
View ArticleCancer Case in Tanzania: Room for Development
Today Tanzania is facing a cancer crisis with as many as 35,000 new cases expected to be diagnosed a year. In spite of the emergence of cancer as a serious national problem, there are only two...
View ArticleWATOTO WA WAFUGAJI WAGUSWA NA SOKO LA KIMKAKATI LA MIFUGO LONGIDO
Katika kijiji cha EWORENDEKE, kata ya KIMOKOUWA, Wilayani LONGIDO mkoani ARUSHA, kijiji hicho kipo takriban kilomita 4 kutoka Namanga, mpaka wa Tanzania na Kenya.Hapo kuna Soko la Kimkakati la mifugo...
View ArticleJESHI LA POLISI TABORA LAMKAMATA MGANGA WA JADI ANAEPIGA RAMLI CHONGANISHI...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limefanikiwa kumkamata mganga wa Jadi mwenye kupiga ramli chonganishi na kusababisha Mauaji ya mama mmoja aliyefahamika kwa jina la NDILU MBOGOSHI, Miaka 65, Msukuma,...
View ArticleJe! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa...
Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa kutumia mtandao wa simu? Tazama na ujifunze jinsi wengine wanavyofanya.
View ArticleKIKAO CHA RAIS MAGUFULI,WAFANYABISHARA KIWE CHACHU YA MAENDELEO KATIKA NCHINI
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiKWA Ujinga wangu naomba niseme mapema tu, mimi si mfanyabiashara ila nimekuwa karibu kwasababu nanunua bidhaa za wafanyabishara.Nanunua bidhaa za wafanyabishara kulingana...
View ArticleHOSPITALI DAR ZABAINIKA KUWA NA WAGONJWA WENGI WALIOKUFA KWA VIFO VYA...
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG. HOSPITALI za Mkoa wa Dar es Salaam zimebainika zilikuwa na wagonjwa wengi ambao walikufa kutokana na malaria, Ukimwi , ajali, maambukizi ya bakteria kwenye damu,...
View ArticleMBUNGE NYAMAGANA AWEKA MIKAKATI YA KUIBUA,KUENDELEZA MPIRA WA WAVU
Na Zainabu Nyamka,Globu ya jamiiMBUNGE wa Jimbo la Nyamagana Stanlaus Mabula ameweka mkakati wa kuibua, kukuza na kuendeleza mpira wa wavu ili uwe ajira. Mabula amebainisha haya leo kwenye uzinduzi...
View ArticleMAKONDA AWAITA OFISINI KWAKE WANAWAKE WALIOTELEKEZWA NA WAUME ZAO
RC Paul MakondaNa Emmanuel Masaka,Globu ya jamiiMKUU wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amewataka wanawake wote waliotelekezwa na waume zao na hawapatiwi fedha za matunzo ya mtoto wafike ofisini...
View ArticleMATUKIO KATIKA PICHA KAMATI YA LAAC NA PAC MKOANI SINGIDA
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada kuhusu Mtazamo wa kikaguzi kutoka kwa Mkaguzi wa Ofisi ya Taifa ya...
View Article