Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MTWARA AKAGUA ENEO LA CHUO CHA KILIMO MATI LILILOVAMIWA NA WANANCHI

 Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda jana machi 21/2018 ametembelea eneo la Chuo cha Kilimo MATI mkoani Mtwara ili kujionea uvamizi uliofanywa...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAHIDI WA DAKTARI KUHUSU SABABU ZA KIFO .

Na Bashir Yakub.Unaweza kuwa wewe, ndugu yako,rafiki au  jamaa yako ameunganishwa katika kesi ya mauaji. Aghalabu, daktari anasubiriwa kutoa ushahidi mahakamani kuhusu sababu za kifo cha marehemu. Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUCHIKA ATAKA POLISI KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA RUSHWA

Aipongeza Taasisi ya Uongozi kuwaandaa watumishi wa Serikali kuwa uongozi wazuri Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATEKELEZA MAOMBI 5 YA WAFANYABIASHARA WA MIFUGO WILAYANI LONGIDO

Serikali kupitia, Programu ya Miundo mbinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini (MIVARF), imetekeleza maombi 5 ambayo yanawasaidia wafugaji hao  kuongeza thamani ya mifugo yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEI ZA BIDHAA MATUNDA NA MBOGABOGA SOKO LA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM.

Mboga aina ya Spinach fungu sh. 500, Tembele sh 500Mkungu wa ndizi katika soko la Kinondoni unauzwa kati ya sh 25,000 hadi sh 30,000.Bei za mchele katika soko la Kinondoni kama inavyoneshwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MGODI WA BUHEMBA NA CATA MINING

Na Veronica Simba – MaraKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea na kukagua Mgodi wa Buhemba na ule wa CATA Mining Ltd iliyopo mkoani Mara ikiwa katika ziara ya kazi Machi 15 mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO AL-HAMIS MARCH 22,2018

KUSOMA ZAIDI MAGAZETI YA LEO BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINYWAJI KIPYA CHA MOËT & CHANDON CHA TAMBULISHWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Balozi wa kinywaji cha Moët & Chandon Pierre-Louis Araud akionesha kinywaji cha Moet & Chandon ambacho kimetambulishwa jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Kinywaji cha Moët &...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHIMBAJI WASUBIRIA HATMA YA MAOMBI YA LESENI MIAKA MINNE SASA BILA MAJIBU...

Pichani ni Eneo lililotengwa kwa ajili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kata ya Changaaa ambalo mmiliki wa Kampuni ya Kidee mining alilowapora wachimbaji wadogo baada ya kupewa leseni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UAMUZI MAOMBI YA DHAMANA KESI YA KUHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MFANYAKAZI...

Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema uamuzi wa maombi ya dhamana katika kesi  ya kuhujumu uchumi inayomkabili mfanyakazi mstaafu wa Shirika la Mafuta Tanzania na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COCA COLA YAJA NA PROMOSHENI YA 'MZUKA WA SOKA NA COKA'

 Maofisa wa kampuni ya Coca-Cola mkoani Mwanza, kutoka kushoto Meneja Mauzo Mkoa , Mnyamuhanga Gavana,Meneja Mauzo na Masoko Samuel Makenge na Meneja Mauzo Mwandamizi Deus Kadico, wakionyesha mfano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA UTAKATISHAJI FEDHA INAYOMKABILI RAIS WA SIMBA EVANS AVEVA NA MAKAMU...

Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiUPELELEZI katika kesi ya utakatishaji fedha, dola za Marekani 300,000 inayomkabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake Godfrey Nyange, maarufu kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WCF YAWAELIMISHA MAAFISA WAAJIRI MISINGI KULINDA USALAMA NA AFYA ZA...

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), Bw. Anselim Peter, (aliyesimama), akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina juu ya masuala ya msingi ya kulinda usalama na afya mahala pa kazi...

View Article


UNZIP TANZANIA: Heavenly Magoroto

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA...

Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiMEYA wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amezitaka halmashauri zote katika jiji hilp kuajiri watumishi ambao watakuwa wanazika miili ya watu ambao watabainika kutokuwa...

View Article


MICHUZI TV: WAZIRI MKUU MAJALIWA ASAINI MKATABA WA UANZISHWAJI WA SOKO LA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMILIKI MTANDAO WA FACEBOOK AWAOMBA RADHI WATEJ A WAKE

ZUCKERBERG AFUNGUKA SAKATA  LA FACEBOOK.Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiMWANZILISHI  na mmiliki wa mtandao wa Facebook  Mark Zuckerberg ameibuka na kuomba msamaha kwa wateja wake baada ya sakata la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI DAR WAHOJI KUHUSU FEDHA ZINAZOTOLEWA NA KARIAKOO

Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiBARAZA la Madiwani wa Jiji la  Dar es Salaam limeomba kufahamu kiasi cha fedha kinachopatikana katika Soko la Kariakoo maana wamechoshwa na kauli ya kwamba soko hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiWANAFUNZI wa kike 110  waliotekwa February 19 katika shule ya bweni Dapchi nchini Nigeria  wamerejeshwa nyumbani kutoka kwenye mikono ya waasi.Waziri wa habari nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA UTAKATISHAJI FEDHA INAYOMKABILI AVEVA,KABURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 5

 Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiUPELELEZI katika kesi ya utakatishaji fedha, dola za Marekani 300,000 inayomkabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake Godfrey Nyange, maarufu kama...

View Article
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live




Latest Images