MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MOCU) AZINDUA NA KUONGOZA...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini .CHUO kikuu cha Ushirika ,Moshi (MoCU) kimezundua zoezi la upimaji wa Homa ya Ini kwa Watumishi ,Wategemezi wao pamoja na majirani wa cuo hicho...
View ArticleWAZIRI MKUU AMUWAKLISHA RAISI JOHN MAGUFULI KATIKA MKUTANO WA AU, RWANDA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisaini mkataba wa Makubaliano ya kulifanya Bara la Afrika kuwa eneo huru la Biashara, kwaniaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Machi 21, 2018, jijini Kigali, Rwanda....
View ArticleRAIS MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI WAWILI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali mstaafu Simon Marco Mumwi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini...
View ArticleATUMIA MIEZI SABA KUSAFIRI KWA PIKIPIKI KUTOKA OMAN HADI TANZANIA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akiteta jambo na Maher Al Barwani kutoka nchi ya Oman mwenye asili ya Tanzania ambaye amesafiri kwa muda wa miezi saba kupitia mataifa mbalimbali...
View ArticleGavana wa mji wa imo nchini Nigeria awazawadia wanafunzi jijini Dar
Gavana wa mji wa imo nchini Nigeria, Rochas Okorocha, akimpongeza mwanafunzi wa darasa la Sita, Anati Mujib wa Shule ya Msingi Makumbusho, anayefanya vizuri katika masomo yake darasani, wakati Gavana...
View ArticleMEYA MANISPAA ILALA AONGOZA MAZISHI YA MAMA YAKE KUMBILAMOTO
Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko akitoa salamu za pole za Manispaa ya Ilala kwa wafiwa wakati wa msiba wa Mama yake Naibu Meya Omary Kumbilamoto.Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WAKUU WA KAMPUNI YA TIGO, FERROSTAAL IKULU...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mauricio Ramos Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Millicom International Service LLC (wanne kutoka...
View ArticleUongozi wa Singida United wakanusha kufungiwa kwa Lyanga.
Na Agness Francis, Globu ya jamiiUONGOZI wa Singida United umekana kufungiwa kwa mchezaji wa timu yao Danny Lyanga kwa kosa la kusaini mikataba timu mbili.Taarifa zilizoenekana kupitia kwa vyombo...
View ArticleWaziri wa ulinzi wa Israel atembelea JKCI
Waziri wa ulinzi wa Israel, Mhe. Avigdor Liberman akimpa zawadi mtoto aliyefanyiwa upasuaji wa moyo nchini Israel alipotembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) leo huku Waziri wa Afya, Maendeleo...
View ArticleTTCL,TIGO WAINGIA MAKUBALIANO YA KIBIASHARA KURAHISHA HUDUMA ZA KIFEDHA KWA...
Na Karama Kenyunko,Globu ya jamiiSHIRIKA la Mawasiliano Tanzania(TTCL), limeingia makubaliano ya kibiashara na Kampuni ya Simu za mkononi TIGO yatakayowawezesha wateja wa taasisi hizo mbili kutumia...
View ArticleNAPE AISHAURI SERIKALI KUIMARISHA MIPAKA YA NCHI HARAKA
Mkazi wa kata ya Kakonyo, Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera ambaye ni Katibu Mwenezi wa CCM Bwana Faraja Kaijage akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi Maliasili na Utalii jinsi...
View ArticleWIZARA YA AFYA YATHIBITISHA UWEPO WA HOMA YA DANGUE, YAWATOA HOFU WANANCHI
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiWIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa kumebainika uwepo wa virusi vya homa ya Dangue nchini huku ikiwata hofu wananchi na tayari...
View ArticleKatibu Mkuu Nyamhanga azindua Baraza la wafanyakazi wizara ya Ujenzi,Uchukuzi...
Na Daudi Manongi,MAELEZO. Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi ) mhandisi Joseph Nyamhanga amewataka wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa Wizara hiyo na watumishi wote...
View ArticleDC MJEMA AWEKA JIWE LA MSINGI KISIMA CHA MAJI KISUKULU
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema,akikata utepe na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wa Kata ya Kisukulu wakati wa kuweka jiwe la smingi wa kisima kirefu cha maji cha kata ya Kisukuru. Mkuu wa...
View ArticleMvua yakata mawasiliano ya barabara ya Itigi hadi Tabora
Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo katika eneo la Nyahua wilayani Uyui Mkoani Tabora imesababisha kukatika kwa barabara kuu ya Tabora kupitia Itigi hadi Dodoma na kusababisha magari ya abiria...
View ArticleWANAOAGIZA NYAMA, MAZIWA NA SAMAKI KUTOKA NJE YA NCHI SIKU ZAO ZINAHESABIKA -...
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega, amesema kuwa siku za wanaoagiza nyama, maziwa na samaki kutoka nje ya nchi, zinahesabika kutokana na nchi kuwa na mifigo ya kutosha kama vile Ngombe,...
View ArticleKamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica
KAMATI ya kitaifa inayoendesha mradi wa pamoja kati ya mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa (UNESCO, UN Women na UNFPA) na serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na...
View ArticleJe! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa...
Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa kutumia mtandao wa simu? Tazama na ujifunze jinsi wengine wanavyofanya.
View Article
More Pages to Explore .....