AWESO-SIPO TAYARI KUONA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZINATUMIKA VIBAYA
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso amesema hatakuwa tayari kuona fedha za miradi ya maendeleo zinatumika vibaya huku akimtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Sabasi Chambasi kuwa makini...
View ArticleMWENYEKITI APPT-MAENDELEO PETER KUGA MZIRAY AFARIKI DUNIA DAR, KUZIKWA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiMWENYEKITI wa Chama cha APPT-Maendeleo Peter Kuga Mziray amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rabincia iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam.Mwanasiasa huyo mkongwe...
View ArticleJe! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa...
Je! Unajua unaweza kupata bei bora za soko kwa shamba lako la kuzalisha kwa kutumia mtandao wa simu? Tazama na ujifunze jinsi wengine wanavyofanya.
View ArticleKAMATI YA LAAC NA PAC ZAPEWA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad akijibu hoja za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),...
View ArticleWANAFUNZI MVOMERO WATAKIWA KUJIKITA ZAIDI KATIKA MASOMO YA SAYANSI ILI WAWE...
Na Dotto Mwaibale, Mvomero-Morogoro.WANAFUNZI wa Shule ya Msingi ya Mvomero mkoani Morogoro wametakiwa kujikita zaidi katika masomo ya Sayansi ili waweze kulisaidia taifa katika nyanja mbalimbali...
View ArticleJAJI KIONGOZI AWAFUNDA MAHAKIMU WAPYA
Na Mary Gwera, MahakamaMAHAKIMU wapya wanaotarajia kuanza kazi rasmi ndani ya Mhimili wa Mahakama wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za Mhimili huo.Akizungumza na baadhi ya...
View ArticleSERIKALI YAZINDUA MPANGO WA WATAIFA UBORESHAJI HUDUMA YA UPASUAJI
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii SERIKALI ya kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imezindua mpango wa taifa wa kuboresha huduma upasuaji ambayo kila mtu anaweza kumudu...
View ArticleWAZIRI KABUDI AWATAKA WASAJILI VYETI VYA KUZALIWA MIKOA YA SIMIYU, MARA...
Na Stella Kalinga, SimiyuWaziri wa Katiba na Sheria Mhe.Prof. Palamagamba Kabudi amewataka wasajili wa vyeti vya kuzaliwa kupitia mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa...
View ArticleWAZIRI MWIGULU AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA JIJINI DAR
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na balozi wa Italia nchini Tanzania Roberto Mengoni masuala mbalimbali ya uushirikiano baina ya Itali na Wizara ya mambo ya...
View ArticleRais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya NHC na kuivunja
Alieyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
View ArticleDRAW YA PLAY-OFF YA CAF CONFEDERATION CUP
-Draw ya mechi za Play-Off za Caf Confederation Cup kufanyika leo makao makuu ya CAF, Cairo Misri majira ya Saa 8:30 Mchana -Draw hiyo inahusisha timu 32 timu 16 ambazo zilitolewa kwenye klabu bingwa...
View ArticleKamati ya kitaifa ya UN na Serikali yakutana kupanga kazi za mradi wa Koica
KAMATI ya kitaifa inayoendesha mradi wa pamoja kati ya mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa (UNESCO, UN Women na UNFPA) na serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na...
View ArticleSERIKALI: MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI
MAAFISA Habari na Mawasiliano katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kuacha kufungia katika makabati na makabrasha taarifa chanya za utekelezaji wa mikakati, miradi na programu...
View ArticleBEKI WA AZAM FC KUELEKEA AFRIKA KUSINI KWA MATIBABU
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.BEKI wa kati wa Azam FC, Daniel Amoah, anatarajia kwenda jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu ya goti Jumatatu ijayo.Amoah ameshindwa kupona majeraha...
View ArticlePUMA ENERGY YAENDELEZA UFADHILI WAKE MPANGO WA USALAMA BARABARANI KWA...
Waziri wa Kazi, Ajira, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu, Jenista Mhagama akikata utepe kuashiria uzinduzi wa miundombinu ya usalama barabarani katika shule za Msingi Mikumi na Mzimuni ikiwa ni...
View ArticleMAHAKIMU WAPYA WAFUNDWA
Na Mary Gwera, MahakamaMAHAKIMU wapya wanaotarajia kuanza kazi rasmi ndani ya Mhimili wa Mahakama wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za Mhimili huo.Akizungumza na baadhi ya...
View ArticleVIJIJI VITATU VYAWASHIWA UMEME
Na Veronica Simba Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepewa heshima ya kuwasha umeme katika vijiji vitatu ambavyo huduma ya kupeleka umeme imekamilika.Zoezi hilo lilifanyika kwa nyakati...
View Article
More Pages to Explore .....