WAZIRI MKUU ATAKA SULUHISHO LA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Mawaziri wa Afya kutoka nchi tisa za Afrika kutoa mapendekezo ya namna ya kutokomeza magonjwa yasiyo ambukiza kwa wakuu wa nchi hizo ili yafanyiwe kazi.Aliyasema...
View ArticleMuhimbili Yapokea Msaada wa Vitanda na Magodoro
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imepokea msaada wa vitanda 14, magodoro 12 pamoja na drip stands kutoka Australia Tanzania Society ambavyo vitasaida kuimarisha utoaji wa huduma hospitalini...
View ArticleMFANYABIASHARA APANDISHWA MAHAKAMA YA KISUTU KWA KUSAFIRISHA GRAMU 214 DAWA...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mfanyabiashara, Hariri Mohammed Hariri (45), mkazi wa Kinondoni, amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu Tuhuma za kusafirisha zaidi...
View ArticleDC KIBAHA AZINDUA CHUO CHA VETA KUWASAIDIA VIJANA WA VIJIJINI
KATIKA kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli katika kuwa na uchumi wa viwanda hatimaye kanisa la Mission to Unreached Area Church (MUAC) lililopo Mlandizi Wilayani...
View ArticleWATUHUMIWA WIWILI WA UJAMBAZI WAUAWA WAKIJIBIZANA RISASI NA POLISI
Na Rhoda Ezekiel Kigoma.JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma limesema watu wawili wanaotuhumiwa ni majambazi wameuawa wakati wakijibizana kwa risasi na Polisi.Pia limesema limekamata silaha mbili AK 47 zenye...
View ArticleWAUZA DAWA ZA KULEVYA KUNYONGWA MAREKANI
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamii.RAIS wa Marekani Donald Trump ameeleza mpango wake wa kupambana na wauzaji wa dawa za kulevya chini humo.Akihutubia huko Manchester, Trump amesema kuwa dawa za...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI WA UJENZI WA NYUMBA 36 ZA JESHI LA POLISI...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba za polisi 36 Mfikiwa Chake Chake Pemba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)Makamu wa Rais wa...
View ArticleSERIKALI YAZINDUA MPANGO WA WATAIFA WA UBORESHAJI WA HUDUMA YA UPASUAJI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiSERIKALI ya kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imezindua mpango wa taifa wa kuboresha huduma upasuaji ambayo kila mtu anaweza kumudu...
View ArticleBODABODA KUANZA KUTUMIKA KUSAFIRISHA MAKOZI YA TB
*Ummy Mwalimu azindua dawa ya TB kwa watoto,aagiza wanafunzi nao kupimwa ugonjwa huo Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema wapo...
View ArticleNEWS ALERT:WAWILI WAPOTEZA MAISHA,MKURUGENZI TBC ANUSURIKA KIFO KUFUATIA...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma, Watu wawili wamefariki Dunia wilayani Kasulu mkoani Kigoma kufuatia ajali ya gari la Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Dkt. Ayub Rioba, lililokuwa likitokea...
View ArticleDUNIA YAMPOTEZA FARU MWEUPE ALIYESALIA
Na Leandra Gabriel,Globu ya jamiiFARU dume mweupe maarufu kama Sudan amefariki akiwa na umri wa miaka 45.Imeelezwa kuwa kifo chake kilisababishwa na matatizo ya kiafya hasa umri wake ambapo...
View ArticleWAZIRI MKUU AMKABIDHI MSAADA BIBI TACLA HAMIDU (MLEMAVU)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemkabidhi Bibi Tecla Hamidu ambaye ni mlemavu wa miguu sh. milioni tano ili aweze kuongezea katika mtaji wake.Ametoa fedha hizo leo (Jumanne, Machi 20, 2018) ikiwa ni...
View ArticleMIKOA YATEKELEZA ASILIMIA 49.4 YA UJENZI WA VIWANDA.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema kuwa jumla ya viwanda 1,285 kati ya 2,600 vimejengwa katika mikoa mbalimbali ikiwa ni miezi mitatu...
View ArticleSERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI TANO KWA AJILI YA KUNUNUA MASHINE NYINGINE...
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imetenga shilingi bilioni 5 kwa ajili ya kununua mashine za kupima vipimo vya ugonjwa wa kifua kikuu katika zahanati na vituo vya afya nchini. Hayo yamezungumzwa na...
View Article
More Pages to Explore .....