POLEPOLE AENDELEA KUVUNA WANACHAMA WAPYA MKOANI KIGOMA
Na Rhoda Ezekiel Kigoma, JUMLA ya wanachama 27 kutoka Chama cha NCCR-Mageuzi akiwemo aliewahi kuwa Diwani Kupitia Chama hicho Kata ya Kitagata wilayani Kasulu mkoani Kigoma wamejiunga CCM.Miongoni...
View ArticleRAIS MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA SIGARA MANSOOR INDUSTRIES LTD KILICHOPO...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage mara baada ya kufungua kiwanda cha Sigara cha Mansoor...
View ArticleIGP SIRRO AKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA POLISI DODOMA
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa maendeleo wa Makao Makuu ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika mkoa wa Dodoma, leo mradi ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. Mkuu wa...
View ArticleTPSF, WADAU WAKUTANA KUJADILI MAFANIKIO YA KUONDOLEWA VIKWAZO VYA KIBIASHARA
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTAASISI ya Sekta Binafsi Nchini (TPSF), imesema vikwanzo vilivyokuwa katika biashara kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki vimepungua na hivyo kuongezeka kwa fursa za...
View ArticleRC Shinyanga akagua upanuzi wa kituo cha afya wilayani Kishapu
Na Robert Hokororo, Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack amekagua maendeleo ya mradi wa upanuzi wa miundombinu ya kituo cha afya Songwa pamoja zahanati ya Maganzo katika...
View ArticleMAKONDA APOKEA TANI 120 ZA SARUJI KUTOKA VYAMA VYA USHIRIKA 27 VYA MKOA WA DAR
Na Emmanuel Masaka,Globu ya jamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amepokea tani 120 za saruji ambazo ni sawa na mifuko 2,400 ya saruji kutoka kwa Vyama vya ushirika 27 vya Mkoa huo...
View ArticleBODI YA WADHAMINI HOSPITALI YA MUHIMBILI YAZINDUA KAMATI MBILI, YAJIWEKEA...
BODI ya wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Menejimenti yake imejiwekea mikakati mbalimbali katika mpango mkakati wake wa miaka mitano kuanzia mwaka 2017 hadi mwaka 2022 unaolenga...
View ArticleKAMATI YA MAADILI YAMFUNGIA MAISHA MICHAEL WAMBURA
Kamati ya Maadili ilikutana tarehe 14/3/2018 kupitia shauri linalomhusu Ndugu Michael Richard Wambura, Makamu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ambaye anashtakiwa na Sekretarieti ya TFF kwa...
View ArticleKAMISHNA UHAMIAJI, DKT MWIGULU WAMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA BILILIONI...
Na Ripota Wetu, Blogu ya jamiiKAMISHNA wa Uhamajia nchini, Dk.Anna Makakala na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk.Mwigulu Nchemva wamemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kuwapa fedha Sh.bilioni 10 kwa...
View ArticleMobile Week to Offer Brand New Smartphones at Throw Away Prices
Tigo's Corporate Communications Manager, Woinde Shisael (centre) briefs journalists on the Mobile Week that will happen on March 24 - 30 via the Jumia online shopping network www,jumia.co.tz , and give...
View Articlembinu sahihi zatakiwa kutumika ili kuimarisha afya kinywa na meno
Daktari bingwa wa meno kutoka Chuo kikuu cha AJMANI cha Falme za kiaarabu, Zaid Mohammed Hassan akimfanyia uchunguzi wa meno mwanafunzi wa skuli ya Mwanakwerekwe H Juma Hassan katika zoezi la kutoa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS KUONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA MUHEZA
Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Mhandisi Mwanasha Tumbo (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu maandalizi ya Harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya...
View ArticleBALOZI WA KUWAIT NCHINI AKABIDHI MASHINE ZA WATOTO NJITI KWA TAASISI YA DORIS...
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim (kushoto) akikabidhi mashine maalum za kuwasaidia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), kwa Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa...
View ArticleWANANCHI WA ARUMERU WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI
Wananchi wilayani Arumeru Mkoani Arusha wamempongeza Rais John Magufuli kwa wema wake katika kuwajali wananchi. Pongezi hizo zimetolewa mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,TAMISEMI Mhe. Selemani...
View Article
More Pages to Explore .....