Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWEDEN YATOA BILIONI 66 KUKARABATI KITUO CHA KUZALISHIA UMEME HALE HYDRO...

SERIKALI ya Sweden imetoa kiasi cha fedha Bilioni 66 za kitanzania sawa na dola za Marekani milioni 30 ambazo zitatumika katika kukarabati mitambo katika Kituo cha Kuzalishia Umeme cha Hale Hydro...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MWANRI: KUANZIA SASA KILA ZAO NI LAZIMA LILIME KITAAALAMU

SERIKALI  ya Mkoani Tabora imesema kuanzia msimu ujao mazao yote ni lazima yalimwe kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora kinachosisitiza matumizi ya mbolea na ujazaji wa mazao kitaaalamu ili kuhakikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO wafunda ujasirimali Walimu kufundisha wanafunzi kujitambua

Walimu wanaopatiwa mafunzo ya siku nne ya ujasiriamali yanayotolewa na Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa(UNESCO) chini ya ufadhili wa program ya Malala wametakiwa kuhakikisha...

View Article

MKUU WA WILAYA YA KIBAHA MHE. ASSUMPTER MSHAMA ALONGA NA KINAMAMA

View Article

HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI AUFUNGUA KIWANDA CHA MOUNT MERU OIL...

View Article


KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINA:TBS ICHUNGUZE KEMIKALI BANDIA WANAZOUZIWA WACHIMBAJI WADOGO

Na Joel Maduka,GeitaSerikali kupitia Shirika la Viwango nchini, TBS limetakiwa kuchunguza kemikali bandia zinazouzwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kwa wachimbaji wadogo wa madini hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REPOA YATOA UTAFITI WAKE,YAKIRI WANANCHI WENGI WAMERIDHISHWA NA UKUAJI WA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti ya REPOA, Dr. Donald Mmari akizungumza kuhusu matokeo ya utafiti wa Afro Barometer kuwa hali ya uchumi nchini ambapo matokeo yake yameonesha kuwa Wananchi wengi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yajipanga kupokea mradi wa Global Learning XPRIZE

Serikali imesema inajiandaa kuupokea mradi wa ‘Global Learning XPRIZE’ unaowawezesha watoto walio nje ya mfumo rasmi kujifunza stadi za msingi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kupitia Michezo...

View Article


KAULI YA RAIS MAGUFULI ALIPOWEKA JIWE LA MSINGI KIPANDE CHA PILI RELI YA KISASA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NURU YA AFYA

Ungana pamoja nasi katika usiku wa kipekee tukila, kunywa na kuburudika katika 2018 Nuru Ya Afya Fundraising Masquerade Ball inayoletwa kwenu na TAHMEF (Tanzania Health and Medical Education...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA JINSI SIMU YA MKONONI INAVYOBADILISHA MAISHA YA MAELFU NCHINI TANZANIA.

Je wajua yakuwa unaweza baadilisha maisha na mtandao wa simu? Hebu angalia video hii kujua wengine wamefanyaje?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA MWANYAMALA YANUFAIKA NA MSAADA WA EXIM BENKI

 Mkuu wa Matawi ya Benki ya Exim Tanzania, Agnes Kaganda akikabidhi Msaada wa Vitanda 4o na Magodoro 40 kwa Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala, Dk. Khadija Shebe kwaajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawakala wa Tigo Pesa Wajinyakulia Mamilioni

Kampuni inayoongoza kwa huduma za fedha kwa njia ya mtandao, Tigo Tanzania kupitia huduma yake ya Tigo Pesa leo imewazawadia wakala wake mamilioni ya pesa kwa utendaji wao mzuri. Wakala RBB RBB ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA: MAAFISA MAWASILIANO NINYI NI MABALOZI WA KUELIMISHA WANANCHI KUHUSU KODI

Na: Veronica KazimotoMaafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wameombwa kuwa mabalozi wazuri katika sehemu zao za kazi na katika jamii wanayoishi kwa kuwaelimisha wananchi masuala mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFANDE SELE AJIUNGA CCM RASMI MBELE YA RAIS DKT JOHN MAGUFULI

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiMSANII maarufu nchini katika muziki wa kizazi kipya Selemen Msindia a.k.a Afande Sele amesema amefurahishwa na utendaji kazi wa Rais John Magufuli na kwamba amekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI AZINDUA VITUO MWENDO SITA VYA POLISI,AWAASA WANANCHI KUJIKITA KWENYE...

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akisikiliza maelezo ya Kituo Mwendo cha polisi kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Jumanne Muliro (katikati), baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI HARAMBEE YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI...

*Kufanyika kesho jijini Dar es Salaam, Mhandisi Tumbo aomba wananchi kuchangia ili kufanikisha ujenzi huoNa Said Mwishehe, Globu ya jamiiMKUU wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Mhandisi Mwanasha Tumbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMBURA AWAJIBU TFF,ASUBIRI BARUA YA MAAMUZI KAMATI YA MAADILI

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiMAKAMU Mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Michael Wambura ameeleza suala Kamati ya Maadili ya shirikisho ni la kimkakati zaidi na si la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA DODOMA KUBORESHWA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, ametoa miezi miwili kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuhakikisha linakamilisha uboreshaji wa jengo la abiria lililopo katika...

View Article
Browsing all 109996 articles
Browse latest View live




Latest Images