WIZARA KUANGALIA NJIA SAHIHI YA UBORESHAJI UTOAJI HUDUMA ZA MAJI SAFI NA...
Na John Nditi, MorogoroWIZARA ya Maji na Umwagiliaji imesema ili kuleta ufanisi mkubwa katika usimamizi wa miradi ya maji safi na salama vijijini, ipo haja ya kuwa na chombo cha kusimamia huduma za...
View ArticleMGOGORO MWAKITOLYO KUPATIWA UFUMBUI
WANANCHI wa Kitongoji cha Mahiga, Kijiji cha Mwakitolyo, Tarafa ya Nindo Wilayani Shinyanga wametakiwa kufanya subira wakati mgogoro wao wa fidia na mwekezaji ambaye ni Kampuni ya uchimbaji madini ya...
View ArticleFUATILIA LIVE RAIS DKT MAGUFULI AKIWEKA JIWE LA MSINGI WA RELI YA KISASA...
Pichani chini ni sehemu ya eneo ambalo Rais Dkt John Pome Magufuli leo anatarajia kuweka jiwe la Msingi sehemu ya pili ya Ujenzi wa Reli ya kisasa (Standard Gauge ) kuanzia Morogoro hadi Makutopora...
View ArticleZanzibar yeteketeza Nyama kutoka Afrika Kusini kuepuka Maradhi ya LISTERIA
Na Faki Mjaka-Maelezo ZanzibarWakala wa Chakula na Dawa Zanzibar ZFDA umeteketeza kwa moto kilo 48 za Nyama kutoka Afrika Kusini ambazo ziliingizwa nchini kinyume na sheria.Nyama hizo zilizokuwa mali...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU GEITA
Mkuu wa mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Luhumbi Akizungumza na wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa REA baada ya kufika kwenye ofisi yake . Baadhi ya wajumbe wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Geita.Mwenyekiti...
View ArticleRC MNDEME AMEMWAGIZA MKUU WA WILAYA YA NYASA KUMATAWA WALIOVAMIA MILIMA YA...
Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME amendesha zoezi la upandaji miti aina ya mitiki katika wilaya ya nyasa na mkumwagiza mkuu wa wilaya ya nyasa ISABELLAH CHILUMBA pamoja nakamati yake ya ulinzi na...
View ArticleYARA TANZANIA YAPUNGUZA BEI YA MBOLEA YA YARAMILA OTESHA
Meneja Masoko wa Kampuni ya Uzalishaji Mbolea ya Yara , Linda Byaba akizungumza na waandishi habari kuhusiana na punguzo bei ya mbolea ya YaraMila Otesha leo jijini Dar es Salaam.Meneja Masoko wa...
View ArticleOIF yaelezea fursa zilizopo kwa Watanzania wanaojua Kifaransa
Shirika la Kimataifa la La Francophonioe (OIF) ambalo linajumuisha nchi 84 ambazo zinazungumza lugha ya Kifaransa limesema kwamba ni muhimu kwa Watanzania kujifunza lugha ya Kifaransa kwa sababu kuna...
View ArticleMENEJA MPYA PARK HYATT ZANZIBAR KUSHIRIKI KUINUA VIPAJI VYA VIJANA
Meneja mpya wa Park Hyatt Zanzibar Nicolas Cedro akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutambulishwa na akielezea mikakati yake ya kuinua vipaji vya vijana katika masuala ya upishi na hoteli...
View ArticleDC TEMEKE AHIMIZA WAUMINI DINI YA KIISLAMU KUDUMISHA UMOJA NA AMANI
Mkuu wa wilaya Temeke Felix LyanivaWalimu wa Madrassa waliohudhuria kikao hichoNa Zainab Nyamka,Globu ya jamiiMKUU wa Wilaya ya Ilala Dar es Salaam Felix Lyaniva amewashauri waumini wa dini ya...
View ArticleAZAM KUANZA MAZOEZI WAKIMSUBIRI MTIBWA SUGAR
Na Agness Francis Globu ya jamii.KLABU Bingwa Afrika Mashariki na kati Azam FC kesho wanatarajia kuanza rasmi mazoezi ili kujiandaa zaidi na michuano ya kuwania Kombe la Shirikisho (ASFC) ambapo...
View ArticleUSAJILI WA WATAALAM WA MAFUTA,GESI WAENDELEA KUFANYWA NA TaESA
*Ni kwa ajili ya kupata kazi kwenye mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta Tanzania-UgandaNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiWAKALA wa Huduma za Ajira Tanzania(TaESA) umetangaza kuanza kwa mchakato wa utambuzi...
View ArticleWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI ATENGULIWA
Aliye kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Marekani Tillerson Rex Na Ripota WetuRAIS wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi Waziri wa Mambo ya Nje nchini humo Tillerson Rex na nafasi yake kuchukuliwa na...
View ArticlePOLEPOLE AWASHAURI WARATIBU TASAF KUSHIRIKISHA WATALAAM WA ARDHI ILI KUWA NA...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma,KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amewashauri Wasimamizi na waratibu wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini( TASAF) kushirikiana na...
View ArticleMWANAJESHI ANAYETUHUMIWA KUUMUA MWANAJESHI MWENZAKE AFIKISHWA MAHAKAMA YA...
Mwanajeshi MT Private Ramadhan Mlaku (28) akiwa kwenye kitanda cha wagonjwa amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kujibu tuhuma za mauaji ya askari mwenzake MT...
View ArticleRAIS MHE. DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA RELI YA KISASA...
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA RELI YA KISASA ITAKAYOTUMIA UMEME SGR-KUTOKA MOROGORO HADI MAKUTUPORA- DODOMA KM 422 KATIKA ENEO LA IHUMWA NJE KIDOGO YA MJI WA DODOMA Rais wa...
View ArticleSEKRETARIETI YA TFF YAMPELEKA MICHAEL WAMBURA KAMATI YA MAADILI
KAMATI ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF inakutana leo Jumatano Machi 14,2018 pamoja na mambo mengine kamati hiyo itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Richard Wambura...
View ArticleWATU NANE WANASHIKILIWA NA POLISI KWA KOSA LA KUFANYA MKUSANYIKO WA KISIASA...
KWAMBA TAREHE 13.03.2018 MAJIRA YA SAA 16:30HRS JIONI KATIKA MTAA WA MABATINI KUSINI KATA YA MABATINI WILAYA YA NYAMAGANA JIJI NA MKOA WA MWANZA, WATU NANE WALIOFAHAMIKA KWA MAJINA YA 1.DEUS LUCAS,...
View ArticleKILIMANJARO SAR LTD YAINGIA MAKUBALIANO NA HOSPTALI YA ST JOSEPH KUTOA HUDUMA...
NA Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini .SEKTA ya Utalii nchini imepata suluhu ya Changamoto ya muda mrefu ya utoaji wa msaada wa kitabibu, utafutaji na uokoaji wa wageni wanaopata...
View ArticleVILABU LIGI KUU VYASHAURIWA KUWEKEZA KWA KUWA NA TIMU ZA WACHEZAJI WA UNDER 20
Na Agnes Francis,Globu ya jamiiVILABU vya soka vinavyoshiriki katika Ligi Kuu Tanzania Bara vimeshauriwa kuhakikisha wanawekeza kwenye timu za wachezaji wenye umri chini ya miaka 20 (Under 20). Kwani...
View Article
More Pages to Explore .....