MTI WA MBUYU ULIOISHI KWA ZAIDI YA MIAKA 100 WAANGUKA MAENEO YA OCEAN ROAD...
Na Chalila Kibuda,Globu ya jamiiKISHINDO kikubwa kimesikika katika maeneo ya barabara ya Chimala karibu na Hospitali ya Ocean Road jijini Dar es salaam baada ya mti wa mbuyu uliopo ndani ya uzio wa...
View ArticleKumbilamoto afunga michezo ya mpira wa pete ya mkoa wa Dar es Salaam
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akikagua Timu ya Mpira wa pete ya Vingunguti ambayo imeingia fainali katika michezo ya mpira wa pete ya mkoa wa Dar es Salaam iliyoratibiwa na...
View ArticleWAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA...
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na ya Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2018/2019...
View ArticleUN YAJITOSA KUWASAIDIA MAAFISA HABARI WA SERIKALI
Na.Vero.Ignatus Arusha.Umoja wa mataifa umekubali kuingia makubaliano na Serikali ya Tanzania kupitia chama cha maafisa habari na mawasiliano na wa Serikali na uhusiani TAGCO katika sekta ya habari...
View ArticleMALIKIA WA NYIMBO ZA INJILI ROSE MUHANDO ATHIBITISHA KUZINDUA ALBAMU YAKE...
Malkia wa nyimbo za Injili hapa nchini,Rose Muhando ametihitisha kushiriki tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Aprili 1 na Aprili 2 kwenye uwanja wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA BALOZI WA UFARANSA NA MKURUGENZI MKAZI WFP
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Balozi mpya wa Ufaransa nchini Mhe. Frederic Clavier ambaye aliongozana na Mwakilishi Mkazi wa...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MRADI WA UMEME VIJIJINI AWAMU YA TATU GEITA
Na Joel Maduka,GeitaMkoa wa Geita unatarajia kunufaika na mradi kabambe wa usambazaji umeme vijijini REA awamu ya Tatu kwa kuongeza shughuli za kiuchumi kwa wananchi kutokana na vitongoji 220, vijiji...
View ArticleBarclays Tanzania marks the International Women's Day
Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (right), addresses some of the bank’s female staff during the function to mark the International Women’s Day in Dar es Salaam over the weekend....
View ArticleKAMISHNA MKUU WA MAMLAKA WA MAPATO TANZANIA AKUTANA NA MAKAMU KAMISHNA WA...
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kichere akisisitiza jambo wakati alipokutana na Makamu Kamishna wa Idara ya Huduma za Forodha Korea, Roh Suk-Hwan (kushoto) pamoja na ujumbe...
View ArticleDC SINYAMULE AAGIZA MTENDAJI KATA YA BOMBO AWEKWE NDANI SAA NANE
Na Ripota wetu, SameMkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Sinyamule ameagiza wa Kata ya Bombo awekwe ndani chini ya ulinzi mkali kwa saa 8 kutokana na kushindwa kusimamia ujenzi wa bweni la shule ya...
View ArticleTAZAMA JINSI SIMU YA MKONONI INAVYOBADILISHA MAISHA YA MAELFU NCHINI TANZANIA.
Je wajua yakuwa unaweza baadilisha maisha na mtandao wa simu? Hebu angalia video hii kujua wengine wamefanyaje?
View ArticleKIWANDA CHA CHUMVI KUNUFAISHA HANANG
Wananchi wanaozunguka mgodi wa madini ya chumvi ya Gendabi Wilayani Hanang' wanatarajia kunufaika na rasilimali hiyo, baada ya Serikali kupata mwekezaji atakayejenga kiwanda cha chumvi eneo hilo.Mkuu...
View ArticleDKT . HASSAN ABASS AZINDUA TOVUTI YA MISA TANZANIA, JIJINI ARUSHA
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas(wa kwanza Kulia) na Mwenyekiti wa MISA Tanzania Bi. Salome Kitomari(wa kwanza kushoto) wakizindua rasmi Tovuti ya MISA Tanzania inayopatikana hapa...
View ArticleUN waingia makubaliano na serikali kutangaza mpango wa maendeleo
UMOJA wa Mataifa umeingia makubaliano ya kuimarisha upatikanaji na usambazaji wa habari za maendeleo na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini...
View ArticleIDARA KUU YA MAENDELEO YA JAMII YAJIPANGA KIMKAKATI KUFANIKISHA MALENGO YA...
Na mwandishi wetu - WAMJJW, Dodoma Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya jamii) imeendesha Mafunzo ya siku mbili kwa ajili ya kuimarisha utendaji na...
View ArticleMADAKTARI WA CHAMA CHA MADAKTARI WA AFYA KINYWA,MENO WATOA HUDUMA YA AFYA...
Mganga Mkuu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Dr, Rashid Mfaume (wa tatu kushoto) akifungua shughuli za uchunguzi wa Afya ya Kinywa na Meno kwa watoto waliopo katika kituo cha watoto wenye...
View Article
More Pages to Explore .....