Meli za TPA kuongeza biashara kati ya Tanzania, Malawi
Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Balozi Benedicto Mashiba akizungumza wakati akipokea kwa mara ya kwanza ujio wa meli nyingine ya TPA, MV Ruvuma katika bandari ya Monkey Bay nchini Malawi.Na Mwandishi...
View ArticleDK.SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI MAKATIBU WAKUU NA NAIBU KATIBU WAKUU
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw.Shaaban Seif .Balozi Mohammed kuwa Katibu Mkuu katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika hafla...
View ArticleMEYA WA MANISAA YA ILALA AFUNGA MASHINDANO YA MPIRA WA PETE YA MKOA WA DAR ES...
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akikagua Timu ya Mpira wa pete ya Vingunguti ambayo imeingia fainali katika michezo ya mpira wa pete ya mkoa wa Dar es Salaam iliyoratibiwa na...
View ArticleKUMBUKUMBU YA KIFO CHA NDUGU IBRAHIM WEREMA JOHN
Ni miaka mitano sasa toka ndugu yetu kipenzi Ibrahim Werema John ututoke tarehe 13. march 2013. Imekua ngumu kukusahau kwani Upendo, Ucheshi, Wema na Fadhila zako kwetu bado vinaishi nasi....
View ArticleMAKALA YA SHERIA: KUPOTELEWA NA NYARAKA INAYOHITAJIKA MAHAKAMANI KAMA USHAHIDI
Na Bashir Yakub.Inaweza kuwa nyaraka muhimu kama hati ya nyumba, mkataba wa mauziano au mkataba mwingine wowote, wosia, kadi ya gari au ya mashine yoyote,hati ya kusimamia mirathi, cheti cha ndoa au...
View ArticleRIDHIWANI-VITUO VYA AFYA CHALINZE HAVINA VYUMBA VYA KUHIFADHIA MAITI
Na Mwamvua Mwinyi,ChalinzeMBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete ,ameweka wazi kuwa vituo vya afya katika jimbo hilo vinakabiliwana na ukosefu wa vyumba vya kuhifadhia maiti .Amesema changamoto...
View ArticleECOBANK TANZANIA KUFADHILI WANAFUNZI SHULE ZA SERIKALI
Ecobank nchini Tanzania kuanzia mwaka huu inaanzisha mpango wa kutoa zawadi ya ufadhili kwa wasichana wanaofanya vyema katika masomo yao kwenye shule za serikali. Aidha pamoja na ufadhili huo ili...
View ArticleUPANDE WA MASHITAKA WAUANDIKIA BARUA UBALOZI WA MSUMBIJI KESI YA UTAKATISHAJI...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiUPANDE wa mashtaka katika kesi ya utakatishaji fedha wa dola za Marekani 150,000 inayomkabili Mhasibu wa Ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji Joyce Moshi, umeieleza...
View ArticleDC MSHAMA ATANGAZA BINGO KWA ATAKAEWAFICHUA WAUZA VIROBA
Mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumter MshamaNa Mwamvua Mwinyi,KibahaMKUU wa wilaya ya Kibaha Assumter Mshama ametoa ahadi ya fedha kiasi cha sh. 100,000 kwa mtu atakayetoa taarifa na kuwafichua...
View ArticleKAMPUNI BINAFSI ZA ULINZI KUWA NA SARE MOJA
Na. Jeshi la Polisi.Kampuni binafsi za ulinzi zinazoendesha shughuli zake hapa nchini zimetakiwa kuvaa sare za aina moja ifikapo Januari Mosi mwakani kwa lengo la kuondoa sare ambazo zimekuwa...
View ArticleDK. SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI, MAKATIBU WAKUU NA NAIBU KATIBU WAKUU ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw.Joseph Abdalla Meza kuwa Kamishna wa Bodi ya Mapato ya Zanzibar (ZRB) wakati wa hafla iliyofanyika leo katika...
View ArticleDC SINYAMULE ATAKA WANAWAKE SAME WAANDALIWE KUSHIKA NAFASI ZA JUU ZA UONGOZI
Mwandishi wetu ,SameMKUU wa Wilaya ya Same Rosemary Sinyamule amesema Makundi ya wanaweke kuanzia shule ya msingi, sekondari, vyuo, wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima, wanasiasa, viongozi katika...
View ArticleMJUMBE BARAZA KUU UVCCM PWANI AAHIDI KUSHUGHULIKIA MGOGORO HIFADHI ZA BAHARI...
Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa UVCCM Mkoa wa Pwani,Ramadhani Mlao,akizungumza na wajumbe wa baraza la UVCCM wa Wilaya ya Mafia kuhusu kupeleka sehemu husika mgogoro wa wananchi na hifadhi ya bahari pamoja...
View ArticleVIDEO : MBUNGE ROSE TWEVE ACHANGIA MAENDELEO YA UWT MKOA WA IRINGA
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Rose Tweve akiongea wakati wa baraza la (UWT) manispaa ya Iringa lililofanyika katika ukumbi wa sabasaba mkoani Iringa na...
View ArticlePOLISI DAR WABAINI MWANAFUNZI ALIYEDAI KUTEKWA KUMBE ALIKUWA KWA MPENZI WAKE
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa.*Mambosasa asema watamchukulia hatua za kisheria, atoa onyo kaliNa Said Mwishehe, Globu ya jamiiKAMANDA wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,...
View ArticleHiki ndio kikosi cha Yanga kuelekea Botswana
KIKOSI Cha Mabingwa wa soka nchini na ambao wapo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu Vodacom Tanzania bara, Yanga SC , kimeondoka leo saa 10:15 alfajiri kikielekea Nchini Botswana kuwafuata Township...
View ArticleMFANYABIASHARA AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 81
Na Karama Kenyunko,Globu ya jamiiMFANYABISHARA Timotheo Wandiba amehukumiwa kifungo cha miaka 81 jela baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka 27 yaliyokuwa yakimkabili ya kujipatia Sh.bilioni...
View ArticleMATUMIZI DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME SASA RUKSA, WIZARA YA AFYA YATAJA...
Said Mwishehe,Globu ya jamii WIZARA ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto imetaja baadhi ya sababu zinazochangia kupungua kwa nguvu za kiume kwa wanaume wengi nchini. Akizungumza leo...
View Article
More Pages to Explore .....