MNEC SALIM ASAS BADO ANAUMIZWA NA USHINDI WA MBUNGE MSIGWA WA MWAKA 2015
Na Fredy Mgunda,Iringa.MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Asas bado anaumizwa na matokeo ya ubunge wa jimbo la Iringa mjini baada ya wapinzani kushinda kwa...
View ArticleRC SHIGELLA:WANAWAKE WANA MCHANGO MKUBWA KWA JAMII
Sehemu ya wanawake wakiwa kwenye maandamano wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Kange Jijini Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella...
View Article‘OLE WENU WEZI WA MAJI’-NAIBU WAZIRI AWESO
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso ametoa onyo kali kwa wezi wa maji na wahujumu wa miundombinu ya maji na kuwataka waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Serikali imechoka kuingia gharama...
View ArticleWADAU WA ELIMU TANGANYIKA WACHANGA MIL 152/- KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU
Na Ripota Wetu,TanganyikaSHILINGI zaidi ya milioni 152 zimetolewa na wadau wa elimu wilayani Tanganyika,ili kutatua matatizo ya miundombinu ya elimu wilayani humo.Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali...
View ArticleMWENYEKITI UWT AMZUNGUMZIA MWANAFUNZI CHUO KIKUU DAR ANAYEDAI AMETEKWA
*Amtaka aache kutafuta kiki kwa staili hiyo,awapa somo vijana wa kitanzaniaNa Said Mwishehe,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania(UWT) Gaudentia Kabaka amewataka vijana wote nchini...
View ArticleSORING WOMEN INTERNATIONAL WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2018
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Wanawake wanaweza kuleta mabadiliko ya maendeleo katika jamii ikiwa watasimama imara kwa pamoja na kuwezesha wenzao ambao hawana elimu ya kutosha. Hayo yamesemwa na...
View ArticleRAIS MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA CHUMA NA PLASTIKI KAHAMA MKOANI SHINYANGA,...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kagongwa Kahama mkoani Shinyanga wakati akielekea mkoani Singida Wananchi wa Kagongwa Kahama...
View ArticleTANZIA: Munga Shabani Mtengeti afariki dunia
Bi Mwatumu Jasmine Malale wa Regent Estate Mikocheni Dar es Salaam anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Munga Shabani Mtengeti kilichotokea nyumbani kwake Mlingotini Close Regent Estate jijini Dar...
View ArticleKUBENEA AWASILISHA MUSWADA WA KUTAKA MABADILIKO YA KATIBA BUNGENI
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMBUNGE wa Ubungo Mhe. Saed Kubenea, amewasilisha bungeni hoja binafsi, kutaka kufanyika mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano, ili kuruhusu kuundwa kwa “Tume Huru...
View ArticleTANO LADIES YASHEREHEKEA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE BURTONSVILLE,...
Meza kuu toka kushoto ni Janet Kisyombe, Harriet Shangarai, Dr. Sylvia Dasi ambaye ndio mwanzilishi wa Color of Roses Foundation na mwaka 2015 alishiriki na kujitolea kwenda Tanzania kutoa huduma za...
View ArticleProf. Palamagamba Kabudi akutana na watendaji wa Wizara na Taasisi zinazounda...
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali imefanyia mabadiliko Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuanzisha Ofisi nyingine mbili mpya kwa lengo la kuongeza Tija na...
View ArticleMtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), kuanza kuuza mananasi hai...
Na Richard MwaikendaTangazo la uuzaji wa mananasi limetolewa na Mkurugenzi Mtandaji wa Mkikita, Adam Ngamange, ambaye hivi karibuni ameingia mkataba wa kuuza matunda hayo ndani na nje ya nchi.Ngamange...
View ArticleMAZIKO YA MZEE KWACHA YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA PAJE LEO
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk.Abdulla Juma Saadalla ‘Mabodi’, ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya Kada wake marehemu Mzee Abdulrazaq Mussa Simai 'Kwacha'...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA KUSINDIKA NA KUZALISHA MAFUTA YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifunua pazia kuashiria ufunguzi wa kiwanda kikubwa cha Kusindika na kuzalisha mafuta ya Alizeti cha Mount Meru Millers...
View Article
More Pages to Explore .....