WANAWAKE WA BENKI YA TIB WASHEHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.
Keki ya siku ya wanawake katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani.Kwa mwaka huu kauli mbiu ni Kuelekea Uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa kijinsia na Uwezeshaji waWanawake Vijijini.Wafanyakazi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA UNIDO JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) Bw. Li Yong...
View ArticleMNYETI AWAPOKEA WANACHAMA 3,500 WALIOTOKA CHADEMA NA KUJIUNGA CCM SIMANJIRO
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti akizungumza na wananchi wa kijiji cha Narakauwo Wilayani Simanjiro juu ya mgogoro wa uongozi na kumuagiza mkuu wa Wilaya hiyo mhandisi Zephania Chaula aitishe...
View ArticleSPORTPESA KUWAFUTA MACHOZI WASHINDI WA TIKETI
Kampuni ya michezo ya kubashiri nchini ya SportPesa imekabidhi kiasi cha TZS 12,000,000/= kwa washindi 12 wa promosheni za Zali la Mwanaspoti na Shinda na SportPesa. Washindi hawa 12 walijishindia...
View ArticleJAJI KIONGOZI AWAAPISHA IGP SIRRO NA KAMISHNA CHOGERO KUWA WAJUMBE WA TUME YA...
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akiapa mbele ya Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya...
View ArticleMBOZI KUPATIWA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 1.2 KWA AJILI YA UJENZI WA VITUO VYA...
Na WAMJW. SongweHalmashauri ya Mbozi imekubaliwa kupatiwa mkopo wa shilingi bilioni 1.2 toka Mfuko wa Bima ya Taifa (NHIF) kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa maboma yapatayo 49 ya huduma za wagonjwa...
View ArticleMbunge Chatanda amuomba Mkurugenzi Mji Korogwe kuwaokoa wanafunzi.
Na Yusuph Mussa, KorogweMBUNGE wa Jimbo la Korogwe Mjini mkoani Tanga Mary Chatanda amemuomba Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe Jumanne Shauri, kutafuta fedha haraka ili kukamilisha ujenzi wa...
View ArticleMAMA JANETH MAGUFULI MGENI RASMI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA...
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli leo ameongoza maelfu ya wanawake wa mkoa wa Dar es salaam kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani huku akiziomba asasi za kiraia, na watu binafsi kushirikiana...
View ArticleHIVI NDIVYO WIZARA ZA NISHATI, MADINI ZILIVYOSHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Wafanyakazi wa Wizara za Nishati na Madini walioko Makao Makuu mjini Dodoma, leo Machi 8 wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.Sherehe za Maadhimisho hayo zimefanyika ki-Mkoa katika...
View ArticleKAIMU MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA STAMICO KANALI SYLIVESTER DAMIAN GHULIKU...
Na Koleta Njelekela, Stamico Dar Es Salaam.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mpya wa STAMICO Kanali Sylivester Damian Ghuliku amekabidhiwa rasmi Ofisi na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi John...
View ArticleMradi wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi II unaotarajia kuzalisha megawati 240
Na Ismail Ngayonga. WAWEKEZAJI wa ndani na nje ya Tanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwekeza katika miradi mikubwa ya ujenzi wa viwanda nchini kwani kwa sasa mradi wa kuzalisha umeme wa...
View ArticleRAIS SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA ZTE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein(kulia) akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya ZTE wakati alipofika Ikulu Zanzibar leo ukiongozwa na Makamo Mkuu wa Rais wa...
View ArticleLINDI-KITUNDA WAPATA HUDUMA YA KIVUKO
Abiria wakishuka kutoka kwenye kivuko cha MV. Kitunda baada ya kuwasili kutokea Lindi mjini wakati kivuko hicho kikifanyiwa majaribio. Kivuko hicho cha tani 50 kina uwezo wa kubeba abiria 100 na...
View ArticleCelebrating women in Tanzania and beyond. #PressforProgress.
8 March 2018Dar es Salaam, 8 March 2018: International Women’s Day is a time dedicated to reflect on progress made, to call for change and to celebrate acts of courage and determination by ordinary...
View ArticleWANAWAKE WATUMIA MASHIRIKA KUPIGANIA 50 KWA 50 KWA KATIKA NAFASI ZA UAMUZI
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiMASHIRIKA mbalimbali nchini yametumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake kuungana kujadili nafsi ya mwanamke kwa lengo la kuleta matokeo chanya hasa yanayohusu usawa wa...
View ArticleAirtel yashirikiana na Polisi kikosi cha usalama barabarani katika ukaguzi ya...
Mkaguzi wa magari Sagenti, Jackson Mafuru akikagua gari la Afisa Masoko wa Kampuni ya Airtel Prosper Mwanda wakati wa ukaguzi katika maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Dar es Salaam jana.Kampuni...
View ArticleBenki ya Kilimo yaazimisha Siku ya Wanawake Kimtindo
Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) imeazimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kuendesha mafunzo ya kilimo kwa wanawake wakulima wa Chama cha Ushirika Ruvu (CHAURU) ili kuwajengea uwezo ili...
View ArticleMWENYEKITI WA UWT GAUDENCIA KABAKA ATEMBELEA HOSPITALI YA MBAGALA KUADHIMISHA...
. "Haya Mama chukua kichana chetu.." akasema Mama Kabaka wakati akirejesha mtoto kwa Mariamu Salum baada ya kumkabidhi zawadi ya kanga. Mama Gaudentia Kabaka akitoa zawadi za juisi kwa kina mama...
View ArticleKABAKA AWAPONGEZA WANAWAKE KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIKAMILIFU, AFANYA USAFI...
Na Said Mwishehe,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania(UWT), Gaudentia Kabaka ametumia Siku ya Wanawake Duniani kuwapongeza wanawake wote nchini kwa kutekeleza majukumu yao wakiwamo...
View Article
More Pages to Explore .....