DR MPOKI AWATAKA WATU KUACHA KUPOTOSHA JUU YA TIBA YA USINGIZI
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Katibu Mkuu wa Wizara Afya, Jinsia , Wazee na Watoto Dk . Mpoki Lusubisya amesema taaluma ya tiba ya usingizi ni moja ya kiungo muhimu katika matibabu hasa upasuaji...
View ArticleGATI YA LINDI YAKAMILIKA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kwa kukamilisha ujenzi wa gati ya Lindi na kuwataka kutafuta masoko ili bandari...
View ArticleMdahalo Wakuwania Uongozi wa Urais Jumuiya ya Watanzania DMV, Marekani
Huu ni Mdahalo wa Sehemu ya kwanza kati ya mbili zijazo, wa kugombania kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Urais kupitia Jumuiya ya Watanzania waishio DMV, ulioandaliwa na Tume ya Uchaguzi, Siku ya Jumamosi...
View ArticleAHMED ALBAITY AWASILI NA KUPOKELEWA BEIJING- CHINA
Hatimaye yule mtanzania aliyesaidiwa kupata ufadhili wa matibabu na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mhe Paul Makonda amewasili leo hii majira ya saa 9:20 alasiri katika Uwanja wa kimataifa wa Beijing...
View ArticleShilingi Trilioni 1 Zatengwa Kulipa Madeni Mbalimbali Mwaka wa Fedha 2017/2018
Na: Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.Serikali imetenga jumla ya shilingi Trilioni 1 mwaka wa fedha 2017/2018 kwa ajili ya kulipa madeni mbalimbali ya watoa huduma, wazabuni na watumishi wa...
View ArticleUFARANSA YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUPAMBANA NA RUSHWA
SERIKALI ya Ufaransa imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mapambano dhidi ya rushwa na inaamini fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali zitatumika kama ilivyokusudiwa.Kauli...
View ArticleRais Dkt. Magufuli atoa kibali cha kuendelezwa ujenzi wa msikiti wa...
Uongozi wa Waislamu Mkoani Rukwa umepokea kwa furaha mchango wa Shilingi Milioni 5.7 uliotolewa na uongozi wa serikali ya Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo katika...
View ArticleCHIRWA, KAMOSOKU KAMILI GADO KUWAVAA WABOTSWANA KESHO
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kwamba kikosi chao kimejiandaa vyema kuwakabili Township Rollers ya Botswana hapo kesho katika mchezo wao wa klabu bingwa barani Afrika...
View ArticleNHIF, Waratibu wajadili uboreshaji wa huduma zake
Na Grace Michael, Morogoro KATIKA kuhakikisha Watanzania wanakuwa na uhakika wa kupata huduma za matibabu kupitia Mfumo wa Bima ya Afya, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekutana na waratibu wake kutoka...
View ArticleCHIRWA,KAMOSOKU KAMILI GADO KUWAVAA WABOTSWANA KESHO
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kwamba kikosi chao kimejiandaa vyema kuwakabili Township Rollers ya Botswana hapo kesho katika mchezo wao wa klabu bingwa barani Afrika...
View ArticleNAMNA YA KUOMBA HATIMILIKI YA ARDHI YA KIMILA.
Na Bashir Yakub1. HATIMILIKI YA KIMILA NI IPI.Hati ya ardhi ya kimila ni nyaraka ya umiliki wa ardhi ambayo inatoa utambuzi maalum wa umiliki wa ardhi. Hizi ni sawa na hati miliki zile...
View ArticleBarclays Bank launches a study skills programme for UDSM students.
24 Barclays Scholarship recipients from UDSM to take part in a training program to equip them with much needed skills. Dar es Salaam, Saturday 3 March 2018, Barclays Bank Tanzania Ltd has today...
View Article
More Pages to Explore .....