Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110129 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA WIKI YA ELIMU KWA MLIPAKODI

Na: Veronica Kazimoto,Dar es Salaam,Wito umetolewa kwa wafanyabiashara na wananchi wote kwa ujumla kujitokeza kwa wingi katika vituo ambavyo vimepangwa rasmi kwa ajili ya wiki ya elimu kwa mlipakodi...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbio za Tigo Kili Half Marathon zafana mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro

Mshindi wa kwanza wa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon upande wa wanaume,  Gefrey Kipchumba kutoka Kenya akimaliza mbio kwa kutumia saa 1:03 kwenye uwanja wa ushirika mjini Moshi. Mshindi wa kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPA MTWARA WAPEWA MIEZI MITATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA UJENZI WA GATI

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, ametoa miezi mitatu kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA), kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazokwamisha mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CONGRATS MR. & MRS FELIX MREMA ON YOUR SPECIAL DAY. GOD BLESS YOU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA WANAWAKE TANESCO LACHANGIA DAMU HOSPITALI YA TUMBI KIBAHA

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiWafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kupitia jukwaa la wanawake wa shirika hilo leo kwa umoja wao wamekusanyika katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Pwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE CHATANDA ATAKA UKAGUZI TSH. MILIONI 230, UJENZI SHULE YA JOEL BENDERA SEC

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini mkoani Tanga Mary Chatanda amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe Jumanne Shauri kupeleka wakaguzi kwenye Shule ya Sekondari Joel Bendera iliyopo Kijiji cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNEC SALIM ASAS AMPONGEZA MBUNGE ROSE TWEVE KUINUA UCHUMI WA WANAWAKE WILAYA...

Na Fredy Mgunda -Iringa.MJUMBE wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi (CCM) MNEC Salimu Asas amempongeza mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Rose Tweve kwa kuinua uchumi wa wananchi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjaro Marathon 2018 funsters huffing and puffing their way up to the...

 Energetic participating in finishing up the remaining 5km of the Game Dr Dennis Katundu (left) and the cheering team from  the International School of Moshi and KCMC Hospital strike back on the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA BIL. 1.4 KUBORESHA VITUO VYA AFYA RUANGWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa sh. bilioni 1.4 kwa ajili ya uboreshaji wa vituo vitatu vya afya katika wilaya Ruangwa mkoani Lindi.Ameyasema hayo leo (Jumapili, Machi 04, 2018)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BASI NEW FORCE NA BASI DOGO TOYOTA HIACHE YASABABISHA VIFO VYA WATU...

Na John Nditi wa Globu ya Jamii, MorogoroWATU watano wakiwemo wanawake wanne na mwanaume mmoja ambaye ni dereva basi ndogo aina ya Toyota Hiache yenye namba za usajili T 962 BSE aliyetambuliwa kwa jina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI KITAIFA MKOANI DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa tatu kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Japhet Hasunga (kushoto) wakiongoza maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanyamapori Duniani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZOEZI YA KUIMARISHA VIUNGO KWA MAZOEZI LAINI KUTOKA KWA SENSEI RUMADHA FUNDI

"IMARISHI VIUNGO, TOA MAUMIVU KWA MAZOEZI LAINI" Imeandaliwa na Sensei Rumadha Fundi mwalimu wa Karate na Yoga wa kimataifa  Mwili hautofautiani na chombo au mashine, na huitaji sana kuangaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JUMATATU LEO MARCH 5,2018

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKATIBU WAKUU 15 KUTAFUTA SULUHU ZA CHANGAMOTO ZINAZOKABILI ZIWA MANYARA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akitoa neno la ukaribisho kwa Makatibu Wakuu kutoka Wizara mbalimbali katika kikao cha Mawasilisho ya Taarifa ya Tishio la kutoweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KUKARIBISHWA KATIKA SHEREHE ZA MAULID SEGEREA MWISHO

Siku ya Jumamosi 10-Machi 2018ASALAAM ALAIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUUngozi wa Al Madrasat Rahman na Masjid Qubah Segerea mwisho,Dar unawakumbusha waumini kuwa ile sherehe ya Maulid ya Kumswalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AKABIDHI PIKIPIKI MBILI KWA JESHI LA POLISI

Waziri Mkuu, Kassim.Majaliwa akikabidhi pikipiki mbili kwa Kamanda Mkoa wa Lindi, ACP. Pudensiana Protas, zilizotolewa na kampuni ya WU ZHOU Investment Company kwa Jeshi la Polisi, wakati alipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YABAINI UJENZI WA NYUMBA KATIKATI YA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA...

Na Munir Shemweta, Mkinga TangaNaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amebaini uwepo ya nyumba za watanzania zilizojengwa katikati ya mpaka wa Tanzania na Kenya huku eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASSEMBLY COMMENCES ITS SITTING IN ARUSHA

ASSEMBLY COMMENCES ITS SITTING IN ARUSHAEast African Legislative Assembly, Arusha, March 5, 2018: The East African Legislative Assembly (EALA) resumes its Sitting in Arusha, Tanzania, this week. The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM KIGOMA WAHAMASISHWA KUBUNI MIRADI YA MAENDELEO

Na Rhoda Ezekiel, KigomaUMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapindizi(UVCCM), Mkoa wa Kigoma wametakiwa kubuni miradi ya kimaendeleo kwa lengo la kupunguza kuomba misaada na kubwa zaidi kujiimarisha kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABWENI MAWILI SEKONDARI YA WASICHANA KOROGWE YATEKETEA KWA MOTO

Na Ripota Wetu, Globu ya JamiiMABWENI mawili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.Moto huo ulianza kuunguza mabweni hayo saa tatu usiku na chanzo...

View Article
Browsing all 110129 articles
Browse latest View live




Latest Images