MADIWANI NAMTUMBO WAMKATAA MKUU WA WILAYA HIYO,WAMUOMBA RAIS AMWAMISHE
Balaza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya NAMTUMBO mkoani RUVUMA, limefikia maamuzi ya kumkataa mkuu wa wilaya hiyo LUCKNESS AMLIMA na kumuomba rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John...
View ArticleCHAMWINO YAJIPANGA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI
Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma imejipanga kupambana na kutokomeza mimba za utotoni katika Wilaya hiyo.Akizungumza katika uzinduzi wa Kapeni ya Kutokomeza Mimba za Utotoni katika Shule za Msingi na...
View ArticleKUNDI LINALOJIITA "WAKOREA" LAKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUJIHUSISHA UHALIFU MJINI...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya...
View ArticleBITEKO: TUFANYE SIASA ZA MAENDELEO KWA WANANCHI
Na Mathias Canal, GeitaWanasiasa hasa wasomi na wale wenye ushawishi mkubwa nchini wametakiwa kuacha kulalamika na kutoa kauli ambazo hazitawasaidia wananchi katika kuwatatulia matatizo na kero zao...
View ArticleSEED trust yapokea vitabu1000 vya Malengo ya Dunia kwa wasioona
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez (katikati) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Mambo na Sheria, Mh. Amon Anastazi Mpanju (wa pili...
View ArticleWAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA ZIARANI MTWARA
Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amekabidhi mradi wa SIDO kujenga Industrial sheds kwa Mkandarasi SUMA JKT. Katika Makabidhiano hayo Waziri Mwijage ametoa miezi 2 kwa...
View ArticleINTRODUCING "SAULA" BY SUPER NYAMWELA
Brand New Video from Tanzanian Artist/Dancer called SUPER NYAMWELA, Song name SAULA.Video Link - https://youtu.be/QITtcf6JTWkVideo Directed by O-KeySocial media:Instagram: @nyamwelasuperFacebook: Super...
View ArticleDSM KUANZA KUTUMIA GESI MATUMIZI YA NYUMBANI
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amelitaka na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania( TPDC) kuharakisha uunganishaji wa huduma ya gesi asilia katika baadhi ya nyumba za wananchi kwenye maeneo...
View ArticleMKATABA WA MAKUBALIANO KUTEKELEZA MRADI WA MAJI WILAYANI LUSHOTO
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Aram Phares na Mkandarasi Justice Kato kutoka kampuni ya Juin Company Limited...
View ArticleCHUMVI, CHOKAA ZINAWEZA KUITAJIRISHA KIGOMA - NYONGO
Na Veronica Simba – Kigoma Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo, amesema kwamba ikiwa wananchi wa Kigoma watatumia vyema fursa za upatikanaji wa Madini ya Chumvi na Chokaa, zilizopo katika Mkoa huo,...
View ArticleIntroducing "Furaha Yangu" by Farida Music, CBH & Teacher Oliver - Official...
Introducing to you a young Tanzanian talented girl Farida Saidi Katungaye named Farida Music. Her talent was found and is being trained by a Traditional Musician Teacher Oliver who is now living in...
View ArticleBODI YA MFUKO WA FIDIA YA ARDHI YAZINDULIWA
Bodi ya Mfuko wa Fidia ya Ardhi imezinduliwa rasmi mjini Dar es Salaam, ikishuhudiwa na wadau mbalimbali wa sekta ya Ardhi.Akizindua Mfuko huo kwa niaba ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...
View ArticleTRA YAWAPA SOMO WANAHABARI JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Richard Kayombo (aliyesimama mbele) akiwaelimisha baadhi ya Waandishi wa habari waliohudhuria Semina Maalum...
View ArticleWAZIRI UMMY AIKABIDHI TIMU YA COASTAL UNION KIWANJA,AWAHIDI NEEMA
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameipongeza Kampuni ya City Plan kwa kuunga mkono juhudi zao za kutaka kuimarisha klabu ya Coastal Union “Wagosi wa Kaya” kwa...
View ArticleMNEC IDDI AFANIKISHA HARAMBEE UJENZI MADARASA KANISA LA AIC KALANGALALA
Na,Joel Maduka,Geita.Mjumbe wa halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi(CCM) Mkoani Geita Iddi Kassim Iddi,amefanikisha upatikanaji wa kiasi cha shilingi milioni 13.2 ,mifuko ya seruji 70 na...
View Article
More Pages to Explore .....