UONGOZI ACT WAZALENDO WATANGAZA KUJITOA KATIKA CHAMA HICHO
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiUongozi wa wa Chama Cha Act Wazalendo wa mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na katibu wao Ernest Kalumuna wameamua kujitoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha...
View ArticleMAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA YATOA ONYO KALI KWA MATAPELI WA BIMA.
Na. Vero Ignatus, Dodoma.Mamlaka ya usimamizi wa Bima nchini (TIRA) imetoa onyo kali kwa watu wanaowatapeli wananchi kwa kuwauzia bima za kugushi na hivyo kuwasababishia hasara na kuikosesha Serikali...
View ArticleTUTAENDELEZA UTALII WA PICHA KATIKA PORI LA AKIBA BURIGI - DK. KIGWANGALLA
Baadhi ya Twiga wanaopatikana katika Pori la Akiba Burigi. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Malmlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori...
View ArticleMAVUNDE AKITOZA FAINI YA SHILINGI MILIONI 35 KIWANDA CHA NYUZI CHA PPTL...
NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde amekitoza faini ya shilinhgi milioni 35 (milioni thelathini na tano), kiwanda cha kusokota nyuzi cha PPTL...
View ArticleJUKWAA LA WANAWAKE SOMANGILA, KIGAMBONI, LAZINDULIWA
Na Bashir Nkoromo, Kigamboni.Wanawake wajasiariliamali wametakiwa kutengeneza au kuuza bidhaa zenya ubora wa viwango vinavokubalika ili kuvutia wateja kununua bidhaa zao na kuongeza masoko ndani na nje...
View Article:RC RUVUMA AWAONYA WATAKAO KWAMISHA MIRADI YA MAENDELEO
Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA...
View ArticleDKT MWIGULU AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA POLISI ARUSHA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba ametembelea kukagua ujenzi wa nyumba za polisi wilaya ya Arusha ambazo ziliungua kwa ajali ya moto uliyotokea mwaka jana umefikiaje mpaka sasa na...
View ArticleRPC MWANZA AWASISITIZA ASKARI KUEPUKA UBAMBIKAJI KESI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Naibu Kamishina wa Polisi Ahmed Msangi amewasisitiza askari kuepuka ubambikaji kesi kwa wananchi, rushwa na ubabaishaji pia akiwataka askari kufanya kazi kwa utii,...
View ArticleHATUJAWAKATAA WADAU WA AFYA TUNATAMBUA MCHANGO WAO, TUNAOMBA WAZINGATIE...
Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amesema Serikali Mkoani humo haijawakataa wadau wa Afya kutoka katika Mashirika mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa wanaofanya kazi...
View ArticleSERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI WAKANDARASI WOTE WALIOHUJUMU MIRADI YA MAJI
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso ameitaka Bodi ya Usajili ya Wakandarasi nchini (CRB) kuwachukulia hatua kali wakandarasi wote walioihujumu Serikali katika miradi ya maji inayotekelezwa...
View ArticleWasanii wa Filamu Nchini Waaswa Kuzingatia Maadili
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (KBF), Joyce Fissoo akionyesha Leseni inayotolewa na bodi hiyo kwa ajili ya waendeshaji wa vibanda vya kuonyeshea filamu wakati wa kikao kazi cha wadau wa...
View ArticleMABINGWA TIMU YA IRINGA UNITED KUUWAKISHA MKOA WA IRINGA KWENYE LIGI YA...
Na Fredy Mgunda,Iringa. TIMU ya Soka ya Iringa United imefanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi ya Mkoa wa Iringa baada ya kuibuka na ushindi penati 3 - 1 dhidi ya Mtwivila Fc.Katika mchezo huo uliopigwa...
View ArticleTAHLISO YATOA TAMKO WANAFUNZI WANAOTAKA MWIGULU AJIUZULU KWA KIFO CHA AKWILINA.
JUMUIYA YA TAASISI ZA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA(TAHLISO)OFISI YA MWENYEKITI TAHLISONdugu waandishi wa habari tunawashukuru sana kwa kukubali wito wetu wa kuja kujumuika pamoja na sisi. Leo tarehe...
View ArticleMSIUZE UFUTA WENU MASHAMBANI PELEKENI MINADANI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakulima wa ufuta katika mikoa inayolima zao hilo nchini kuuza kwa kutumia njia ya minada na si mashambani.Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Machi 03, 2018) wakati...
View ArticleMBUNGE LUCY MAYENGA AMWAGA MABATI UJENZI WA ZAHANATI KATA YA CHADEMA KITANGIRI
Mbunge wa viti Maalum mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Lucy Mayenga (CCM) ametoa msaada wa mabati 128 kwa ajili ya kuezeka zahanati ya Kitangiri iliyopo katika kata ya Kitangiri manispaa ya Shinyanga...
View ArticleSIMBA YATAJA KIINGILIO CHA MECHI YAO DHIDI YA AL-MASRY MICHUANO YA KOMBE LA...
Klabu ya Simba inatarajia kucheza mchezo wake wa Kombe la Shirikisho dhidi ya klabu ya Al Masry kutoka nchini Misri siku ya Jumatano ya tarehe 7/3/2018 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es...
View Article
More Pages to Explore .....