SERIKALI YAOMBWA KUENDELEA KUTENGA BAJETI KWA AJILI YA WANAWAKE NCHINI
Na Dotto MwaibaleSERIKALI imeombwa kuendelea kutenga bajeti kubwa katika bajeti zake kwa ajili ya kumuendeleza mwanamke wa Tanzania.Ombi hilo limetolewa na Mbunge wa Jimbo la Hanang, Dk.Mary Nagu...
View ArticleTANZANIA YADHAMIRIA KUONDOA TATIZO LA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA...
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imedhamiria kupambana na Saratani ya mlango wa kizazi nchini kwa kuwapa kinga wasichana kuanzia umri wa miaka 9 mpaka 14...
View ArticleWAFANYAKAZI JNIA,TAA WAMLILIA MAREHEMU SWAI
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) na wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wamesikitishwa na kifo cha Bw. Jerome Swai (58) aliyekuwa fundi bomba mahiri...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA ARDHI ATEMBELEA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA NAMANGA ARUSHA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akielekea kukagua mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Namanga wilaya ya Longido mkoa wa Arusha. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MTWARA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi mashine ya kubangulia korosho, Aziza Juma, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
View ArticleSERIKALI YASHAURIWA KUISHIRIKISHA MAHAKAMA KWENYE UANZISHWAJI WA MIKOA NA WILAYA
Na Lydia Churi-Mahakama, KigomaJaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma ameishauri Serikali kuishirikisha Mahakama ya Tanzania kwenye mipango yake ya uanzishaji wa maeneo mapya ya kiutawala...
View ArticleWATANZANIA SASA WAFIKIA MILIONI 54.2, NUSU YA WATU WOTE NI WATOTO
*Serikali yapiga marufuku mashirika kutoa takwimu ambazo hazina uthibitisho wa ofisi ya TakwimuNa Said Mwishehe,Globu ya JamiiWAZIRI wa Fedha na Mipango,Dk. Philip Mpango amesema Tanzania inakadiriwa...
View ArticleFARM AFRICA YAHAMASISHA WAKULIMA WADOGO WA NAFAKA KUTUMIA MITANDAO KUPATA...
Na Mwandishi Wetu, ArushaShirika la Kimataifa la Farm Africa limewataka wakulima wadogo wa mazao ya nafaka hapa nchini kutumia mifumo ya mitandao kupitia simu za mkononi kutangaza bei ya mazao ya...
View ArticleKESI YA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA INAYOMKABILI TIDO MHANDO KUANZA...
Na Karama Kenyunko, Globu ya JamiiKESI ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando kuanza kusikilizwa Machi 28,...
View ArticleUAE kuwajengea nyumba waliopata maafa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohammed Aboud Mohammed kulia akizungumza na Ujumbe wa Mwezi Mwekundu wa Emarates kuhusiana na utiliaji saini Ujenzi wa Nyumba za msaada...
View ArticleANGELINA MABULA ATEMBELEA MRADI WA NYUMBA WA SAFARI CITY ARUSHA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akipokewa na Meneja Mradi wa Safari City. James Kisarika alipotembelea mradi huo kujionea nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba...
View ArticleNEWS ALERT: TAARIFA KUTOKA NEC KUHUSU SHUTUMA ZA MBOWE
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIATUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITume ya Taifa ya Uchaguzi imesikia malalamiko yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama cha...
View ArticleLUNDENGA ATANGAZA KUBWAGA MANYANGA KUANDAA MASHINDANO MISS TANZANIA
Na Leandra Gabriel , Globu ya Jamii MKURUGENZI wa Kampuni inayoandaa mashindano ya Miss Tanzania ya Lino International Agency LTD Hashim Lundenga ametangaza rasmi kuacha shughuli za kuendesha...
View ArticleIGP SIRRO AKUTANA NA KIKOSI MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU WA KUTUMIA SILAHA...
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na askari wa kikosi maalum cha kupambana na uhalifu hususani katika barabara kuu ya mkoa wa Shinyanga, inayounganisha mikoa ya...
View ArticleRAIS SHEIN AKUTANA NA VIONGOZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R) Semistocles Kaijage akiwa na ujumbe...
View ArticleJAFO AZITAKA HALMASHAURI KUANZISHA MADUKA YA DAWA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo amezitaka Halmashauri kuanzisha maduka ya dawa katika wilaya zao ili kuondokana na tatizo la ukosefu wa...
View Article