DCC LUSHOTO YASITISHA MPANGO WA UJENZI WA JENGO LA HALMASHAURI YA BUMBULI
Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Lushoto (DCC) imeamua kusitisha mpango wa ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Bumbuli lilokuwa lijengwe kwenye eneo jipya la Kwehangala hadi hapo suluhu ya mgogoro baina ya...
View ArticleDKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BODI YA UTALII (TTB)
Waziri wa Maliasili na Utaliii, Dkt. Hamisi Kigwangalla leo Februari 20, 2018, amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Makao makuu ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jijini Dar es Salaam na kuitaka...
View ArticleMWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MISUNGWI NA MWANASHERIA WAKAMATWA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) mkoani hapa imemkamata Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Anthony...
View ArticleMVUA, UPEPO WALETA TAFRANI NAMTUMBO
NA YEREMIAS NGERANGERAUpepo mkali ulioambatana na mvua umeleta tafrani katika kijiji cha Njalamatata kata ya Mkongo Nakawale wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma .Tafrani hiyo ilitokea siku ya jumatatu...
View ArticleWATANZANIA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA DAWA ZA KULEVYA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wakiwemo wakazi wa mkoa wa Mwanza kuachana na biashara ya dawa za kulevya.Pia Waziri Mkuu amegiza vijana nchini waelimishwe madhara mbalimbali...
View ArticleRAIS MAGUFULI AWASILI UGANDA, AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS YOWERI MUSEVEN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Museveni mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Entebe nchini...
View ArticleUJENZI WA BARABARA YA NYAHUA-CHAYA KM 85.4 KWA KIWANGO CHA LAMI WAANZA RASMI
Serikali imeanza ujenzi wa barabara ya Nyahua-Chaya yenye urefu wa KM 85.4 inayojengwa kwa kiwango cha lami na mkandarasi wa kampuni ya CHICO kutoka China, ili kuweza kuufungua mkoa wa Tabora na mikoa...
View ArticleWAZIRI MKUU AKUTANA NA WADAU WA PAMBA JIJINI MWANZA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda (TCCIA) mkoa wa Mwanza, Christopher Mwita Gachuma wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Benki Kuu...
View ArticleMKUTANO WA MAKAMU WA RAIS MWANDOYA JIMBO LA KISESA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Mwandoya jimbo la Kisesa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)Makamuwa Rais...
View ArticleBenki ya CRDB yazindua TemboCard Credit cards
Benki ya CRDB kwa kushirikiana MasterCard International leo wamezindua rasmi kadi mbili zenye mfumo wa “Credit-Card” zijulikanazo kama “TemboCard World Rewards na TemboCard Gold Credit-Card, katika...
View ArticleSERIKALI YAICHAMBUA BAJETI YA MAZISHI YA AQWILINA
*Baadhi ya matumizi hayatawezekana kwasababu za kisheriaNa Said Mwishehe,Globu wa JamiiSERIKALI imesema imepokea bajeti ya gharama ya mazishi ya aliyekuwa Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo cha...
View ArticleJALADA KESI YA MHASIBU TAKUKURU ANAYEDAIWA KUMILIKI MALI ZA BILIONI 3/-BADO...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.JALADA la kesi inayomkabili Mhasibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), Godfrey Gugai anayedaiwa kumiliki mali zenye thamani ya Sh.bilioni 3...
View ArticleMASAUNI AONGOZA KIKAO BARAZA LA TAIFA USALAMA BARABARANI KUJADILI UPUNGUZAJI...
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati wa kikao cha kujadili mikakati ya kupunguza tatizo la...
View ArticleUHAMIAJI YAWASHIKILIA WATANZANIA TISA KWA KUKWAMISHA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIU
Na Leandra Gabriel,Globu ya JamiiIDARA ya Uhamiaji nchini inawashikilia watanzania 9, ambao ni wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala(KIU) jijini Dar es Saalam kwa madai ya kuzuia...
View ArticleMWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MISUNGWI NA MWANASHERIA WAKAMATWA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) mkoani hapa imemkamata Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Anthony...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU NA UCHUMI WA VIWANDA SIMIYU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Elimu ya Juu na Uchumi wa Viwanda lililoandaliwa na Chuo Kikuu Huria Tanzania...
View ArticleKaimu Mkurugenzi wa STAMICO akutana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo
Na Koleta Njelekela, STAMICOKaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi John Nayopa amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dk. Hassan Abbas, ambaye alifika...
View ArticleYanga, StLous nani kuibuka mbabe leo?
Na Agness Francis Globu ya jamii MABINGWA watetezi Tanzania Bara Yanga SC wanashuka dimbani Stade Linite kufuana na mabingwa wa Shelisheli St Lous kwenye Michuano ya klabu Bingwa Barani Afrika....
View Article
More Pages to Explore .....