DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BODI YA UTALII (TTB)
Waziri wa Maliasili na Utaliii, Dkt. Hamisi Kigwangalla leo Februari 20, 2018, amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Makao makuu ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jijini Dar es Salaam na kuitaka...
View ArticleMHE BITEKO AWAHAKIKISHIA WANANCHI WALIOWAHI KUWA WAFANYAKAZI WA MGODI WA...
Na Mathias Canal, SongweNaibu Waziri wa Wizara ya Madini Mhe Doto Mashaka Biteko amewahakikishia baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe na Wilaya ya Rungwe na Kyela Mkoani Mbeya kuwa...
View ArticleRUVUMA TV: RTO RUVUMA KUFANYA OPARESHENI YA MADEREVA WASIO NA SIFA
Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mratibu Abeli Swai amewataka madereva pikipiki na magari mkoani ruvuma kufuata sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea ambazo chanzo chake...
View ArticleTHE LAUNCH PAD YATUMIA TASISI TATU KUWAELEZA VIJANA UMUHIMU WA NIDHAMU MAHAA...
-- Mkurugenzi na Mwanzilishi mwenza wa Tasisi ya Launch Pad Tanzania, Henry Kulaya, akizungumza na Vijana waliofika katika mafunzo ya siku mbili ya Ujasiliamali na Kuongeza Maarifa ya kuweza kuajirika...
View ArticleMBUNGE WA LONGIDO,DK STEVEN KIRUSWA AAHIDI KUWATUMIA WANANCHI WOTE
Mbunge wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Dk Steven Kiruswa akizungumza na wananchi mjini Longido katika sherehe aliyoindaa kuwashukuru kufuatia kuchaguliwa kwake mwezi uliopita. Ameahidi kuwatumikia...
View ArticleWaziri Mwakyembe akutana na wasanii wa sanaa ya uchongaji kutatua changamoto...
Na Genofeva Matemu – WHUSMWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa tasnia ya sanaa ya uchongaji haiwezi kuendelea kama mgogoro wa umiliki wa eneo la Mwenge...
View ArticleMAKATIBU MEZANI WA BUNGE WAPEWA MAFUNZO
Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akifungua mafunzo ya Makatibu mezani wa Bunge, Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo ya wiki moja yanatolewa chini ya ufadhili wa Shirika la...
View ArticleDakika 30 ZA Huzuni wakati ASLAY ALIVYOWALIZA WATU ESCAPE ONE
Na Humphrey Shao , Globu ya JamiiIlikuwa Usiku wa February 17 mwaka huu msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Aslay Isihaka alibadilisha historia ya muziki katika Maisha yake kwa kufanya shoo kubwa ya...
View ArticleWALIMU WASTAAFU SONGEA WAASA VIJANA WAFANYE KAZI WA WALEDI
Walimu wastafu katika manispaa ya Songea wamewataka vijana kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kuliboresha chama hicho kiweze kuwa imara na kuzaa matunda mema hayo wameyasema hayo wakati walipokabidhiwa...
View ArticleSIKU SABA ALIZOTOA WAZIRI KIGWANGALLA ZAZAA MATUNDA.
Wiki chache zilizopita Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamisi Kigwangalla alitoa siku saba kwa polisi kukamata watuhumiwa wa mauaji ya mwanaharakati dhidi ya mauaji tembo Wayne Lotter, pia alitaka...
View ArticleFahamu Makundi Mbalimbali ya Magonjwa ya Mbwa - Sehemu ya Pili
Picha/Makala na Josephat Lukaza.Siku ya Leo tutaangalia Makundi mawili yaliyobaki katika makundi mbalimbali ya Magonjwa ya Mbwa, Siku zilizopita Katika makala ya Fahamu Makundi Mbalimbali ya Magonjwa...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AONDOKA DAR ES SALAAM KUELEKEA KAMPALA NCHINI UGANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda wakati akeielekea kwenye ndege yake tayari kwa safari ya kuelekea nchini...
View ArticleUPEPELEZI KESI YA MAUAJI MKURUGENZI PALMS BADO HAUJAKAMILIKA
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, upelelezi wa kesi ya mauaji ya Mkurugenzi na Mwanzilishi-Mwenza wa Shirika lisilo la kiserikali la PALMS Foundation,...
View ArticleWAMILIKI WA LESENI ZA MADINI WAASWA UONGEZAJI THAMANI YA MADINI
Na Mathias Canal, MbeyaWamiliki wa leseni za madini ya dhababu, vito na mengineyo kote nchini wametakiwa kuiga mfano wa Ndg Salim Jesa mmiliki wa kiwanda cha Marmo E. Granite Mines (T) Ltd...
View Article
More Pages to Explore .....