HESLB YAWAKUMBUSHA WAAJIRI KUZINGATIA SHERIA
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imewakumbusha waajiri nchini kote kuzingatia matakwa ya Sheria ya bodi hiyo inayowataka kuwasilisha orodha ya majina...
View ArticleMuhimbili Yaanza Kutumia Teknolojia ya Kisasa Kutoa Majibu kwa Wagonjwa
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeanza majaribio ya utumiaji wa teknolojia ya kisasa katika Idara ya Radiolojia ili kuharakisha utoaji wa majibu ya wagonjwa ambao wanafika katika idara hiyo kwa...
View ArticleRais wa FIFA kufanya majadiliano na waandishi wa habari za Michezo
Na Anitha Jonas – WHUSMRais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Duniani (FIFA) Bw.Gianni Infantino atafanya mkutano wa majadiliano na vyombo vya habari kumi na mbili vya ndani ya nchi.Taarifa hiyo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AWAHAKIKISHIA WANANCHI UPATIKANAJI WA DAWA ZA KUUWA WADUDU...
Na Stella Kalinga, SimiyuMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Simiyu kuwa Serikali itamaliza kabisa tatizo la uhaba wa dawa za...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE AZITAKA MAMLAKA KUTOA HAKI KWA WANAWAKE WALIOTELEKEZWA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya nne na Mbunge wa kuteuliwa, Mama Salma Kikwete amezitaka mamlaka zinazojihusisha na utoaji haki, kuwasaidia wanawake kupata haki zao...
View ArticleTHE LAUNCH PAD YAWANOA VIJANA MABALIMBALI JUU YA MAHARIFA YA KAZI NA...
Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw Makbel akizungumza juu ya mpango wa uanagenzi ulivyoweza kuwasaidia Vijana wengi kuingia katika sekta rasmi na kuweza kushindana na wasomi wengine ambao walipata...
View ArticleMASAUNI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI...
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza wakati akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Lengo la baraza hilo ni...
View ArticleMWANASHERIA WA MISUNGWI ASIMAMISHWA KAZI
*Ni baada ya kuisababishia halmashauri hasara ya sh. milioni 279.WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Alphonce Sebukoto na kuagiza...
View ArticleSITA WAJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI
Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akimkabidhi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa aliyekuwa Katibu wa Chama cha Wananchi (CUF) Kata ya Mwalusembe, Abass...
View ArticleMGIMWA ATOA BATI 590,MIFUKO YA SARUJI 220 UJENZI MADARASA KATA YA IHALIMBA
Na Fredy Mgunda,Mufindi Kaskazini.Mbunge wa jimbo la Mufindi Kaskazini ametoa jumla ya bati mia tano tisini (590) na saruji mifuko mia mbili ishirini (220) kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa...
View ArticleTAKUKURU TANGA YAPOKEA TAARIFA 204 ZA VITENDO YA RUSHWA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Tanga (Takukuru) imepokea taarifa 204 za vitendo vya rushwa kutoka kwa wananchi wakizilalamikia idara mbalimbali za serikali na sekta binafsi.Hayo...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA KUTIKISA KANDA YA ZIWA, KUFANYIKA APRILI 1 UWANJA WA CCM...
Kampuni ya Msama Promotiosn Ltd inaandaa tamasha la Pasaka kanda ya ziwa likalofanyika mwanzoni mwa mwezi Aprili,litakalohusisha waimbaji wa nyimbo za injili mbalimbali hapa nchini,na kwamba litakuwa...
View ArticleDAWASA,DAWASCO ZATAKIWA KUPELEKA HUDUMA ZA MAJI PEMBEZONI MWA JIJI LA DAR
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Juma Aweso (wa pili toka kulia) akiwa na katibu tawala wa Wilaya ya Temeke, Edward Mpogolo wakati wakipatiwa maelezo machache juu ya uharibifu wa miundo mbinu ya...
View ArticleWAZIRI JAFO KUWAVALIA NJUGA WAWEKEZAJI WENYE MASHAMBA PORI AMBAYO...
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo amesema hawezi kuwavumilia hata kidogo baadhi ya wawekezaji ambao wamekuwa na tabia ya kufanya udang’anyifu kwa wananchi kutokana na kuchukua...
View Article
More Pages to Explore .....