DED UKEREWE APEWA SIKU TATU KUELEZA MATUMIZI YA SH. MIL. 350 ZA MIRADI YA...
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Frank Bahati akijibu maswali aliyoulizwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika mkutano kati ya Waziri Mkuu na watumishi wa Halmashauri hiyo Waziri...
View ArticleFahamu Makundi Mbalimbali ya Magonjwa ya Mbwa - Sehemu ya Kwanza
Picha na Makala na Josephat Lukaza- Dog Tips TanzaniaMbwa ni mnyama kama wanyama wengine na pindi unapofikiria kufuga mbwa basi kwanza Jiulize Maswali yafuatayo. Moja Upo tayari kumuhudumia mbwa wako...
View ArticleTaswa FC yang'ara Media Day ya DSTV
Timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC imewafundisha soka timu ya MultiChoice Tanzania (DSTV) baada ya kushinda katika mchezo maalum wa ‘Media Day’ uliofanyika kwenye uwanja wa...
View Articledaraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika
Hali ya "Sanda Mkobani" ilivyokuwa wakati wa kuvuka mto Kilombero mkoani Morogoro kabla ya ujenzi wa daraja.Ujenzi wa Daraja la Mto Kilombero uliopangwa kukamilika mwezi Februari 2017, sasa umekamilika...
View ArticleMSAADA UNAHITAJIKA KWA KIJANA JONES MBWAMBO.
KIJANA JONES MBWAMBO ANASUMBULIWA NA TATIZO LA UVIMBE KATIKA UTI WA MGONGO AMBALO LIMESABABISHA KUPOOZA KWA MWILI WOTE. ANATAKIWA KUPELEKWA NCHINI INDIA KWA MATIBABU. GHARAMA ZA MATIBABU NI SHILINGI...
View ArticleBARAZA LA MADIWANI NYASA LASITISHA MKATABA WAKALA WA MAJENGO TBA
Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, limestisha mkataba na wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuendelea na ujenzi wa ofisi za Halmashauri hiyo kutokana na kushindwa...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA MRADI WA MAJI UKEREWE
*Awataka viongozi wa wilaya wahakikishe unakuwa endelevu.WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Bwasa katika mji wa Nansio wilayani Ukerewe na kuuagiza uongozi wa wilaya...
View ArticleTAXIFY YAZINDUA HUDUMA MPYA ‘TAXIFY BAJAJ’JIJINI DAR ES SALAAM
Taxify, ambayo imejitanua katika utoaji wa huduma zake barani Ulaya na Afrika, leo imetambulisha huduma yake mpya ya ‘Taxify Bajaj’ ambayo ni App maalum kwa ajili ya Usafiri wa Bajaj huku wakiichagua...
View ArticleBINSLUM ATAKA MSHIKAMANO COASTAL UNION
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Klabu ya Coastal Union,Hafidhi Kidoh kulia akisalimiana na mwandishi wa gazeti la Majira Tanga Mashaka Mhando kwenye halfa hiyo ya kupongeza wachezaji iliyofanyika...
View ArticleTRA YATAIFISHA TENA GARI,BIDHAA MPAKANI NAMANGA
Na: Veronica Kazimoto-ArushaMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa mara nyingine ndani ya wiki mbili imekamata na kutaifisha tani moja ya sukari, mafuta ya kupikia katoni 10 na gari lililotumika...
View ArticleNAIBU WAZIRI DK. NDUGULILE AZINDUA BARAZA LA WATOTO MKOA WA...
Baraza hilo lenye wajumbe 12 likiwa na mwenyekiti,makamu mwenyekiti,katibu na mweka hazina na wajumbe sita mmoja kutoka kila halmashauri na watoto wawili wanaowakilisha watoto wenye ulemavu....
View ArticleTASAF YAOKOA WATOTO KATIKA KAZI ZA UCHIMBAJI MADINI MKOANI KATAVI.
Na estom sanga - katavi.Tatizo lililokuwa linaukabili mkoa wa Katavi la watoto kutoka katika kaya maskini kuacha masomo na kutafuta vibarua kwenye migodi ya machimbo ya madini,limepungua kwa kiwango...
View ArticleWAAJIRI WANAOTUHUMIWA KUTOJISAJILI MFUKO WA FIDIA KORTINI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.WAAJIRI wa kampuni nne tofauti wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na makosa kadhaa yakiwemo ya kushindwa kujisajili na...
View ArticleMAJALIWA ATEMBELEA SHULE YA MSINGI YA MITINDO INAYOLEA NA KUSOMESHA WATOTO...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watoto wakati alipotembelea shule ya msingi ya Mitindo wilayani Misungwi na kufungua bweni la wavulana katika shule hiyo ambayo pia inalea na kusomesha...
View ArticleULEGA AZIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI WA MKURANGA
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega amefanya ziara katika vijiji vya Kise, Kibululu na Kiparang'anda (B) Kata ya Kiparang'nda ili kujua changamoto mbalimbali zinazo wakabili wananchi na...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA MKONI SIMIYU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi wa mkoa wa Simiyu kuhakikisha kila shule ya sekondari inayojengwa inajengwa ikiwa na maabara.Makamu wa Rais...
View Article
More Pages to Explore .....