DMF, MAKJUICE WAWAPA FARAJA WAZAZI WA WATOTO NJITI HOSPITALI YA MWANANYAMALA...
Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), Doris Mollel (wa tatu kulia) akimkabidhi mmoja wa wauguzi wa zamu wa Wadi ya Watoto Njiti katika...
View ArticleWABUNGE CCM WAMIMINIKA KUMUOMBEA KURA MTULIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiCHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kupitia viongozi wake wa ngazi mbalimbali wameendelea kunadi sera za maendeleo na kumuombea kura mgombea wao wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa...
View ArticleTAA YAPEWA WIKI 2 KUKUSANYA MADENI YOTE
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari, kuhusu mipango ya Serikali ya kuendeleza kiwanja cha Ndege Mwanza kwa...
View ArticleWAKAZI WA CHALINZE WATAABIKA NA UKOSEFU WA MAJI SALAMA
Madiwani wa halmashauri ya Chalinze ,Bagamoyo Mkoani Pwani ,wakifuatilia kikao cha bajeti cha baraza la madiwani huko Lugoba. Mwenyekiti wa halmashauri ya Chalinze ,Bagamoyo Mkoani Pwani ,ambae pia ni...
View ArticleMaisha Magic Bongo kufadhili Harusi ya aina yake, Ni ya washindi wa shindano...
Wakazi wawili wa jiji la Dar es Salaam ambao ni wachumba Solomon Mwaigwisa na Magreth Richard wameibuka washindi wa shindano la Harusi ya Ndoto Yako lililokuwa likiendeshwa na chaneli ya Maisha Magic...
View ArticleKIONGOZI WA UPINZANI NCHINI ZIMBABWE AFARIKI DUNIA
Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Zimbabwe na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Morgan Tsvangirai amefariki dunia nchini Afrika kusini.Kwa mujibu wa kiongozi Mwandamizi wa chama cha MDC, Tsvangirai mwenye...
View ArticleWAPIGA DILI,WALA RUSHWA HAWATAKIWI CCM
MWENYENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi Kata ya kiwalani Mathias Kahinga Amesema katika kipindicho chote cha uongozi wake wapigaji, wala rushwa, pamoja na wapiga dili hawana nafasi kwenye utawala wake...
View ArticleWAZIRI KALEMANI AMWASHIA MOTO MKANDARASI ANAYESAMBAZA UMEME VIJIJI
Na Joel Maduka ,ChatoWaziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani amemwagiza mkandarasi shirika la White City Internationala mbaye anasambaza umeme wa rea awamu ya tatu kwenye Vijiji na kata za Iparamasa na...
View ArticleHatimaye Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma aachia ngazi
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amejiuzulu baada ya shinikizo nyingi kutoka kwa chama chake. Kapitia hotuba yake iliyopeperushwa kwa njia ya televisheni alisema anajiuzulu mara moja lakini akaongeza...
View ArticleSHOW YA MIC TATA KURINDIMA DAR LIVE FEBRUARI 24,2018.
Uhuru FM kwa kushirikiana na ukumbi wa Dar Live inakuletea show ya Muziki ijulilikanayo kwa jina la MIC TATA litakalokutanisha miamba wa Muziki hapa nchini litakalofanyika katika ukumbi wa...
View ArticleSIMIYU YAJIPANGA KIMKAKATI KUONGEZA KIWANGO CHA UFAULU KWENYE ELIMU
Na Stella Kalinga, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa SimiyuMkoa wa Simiyu umejipanga kimkakati katika kuhakikisha unaongeza ufaulu kwenye Elimu na kuwa miongoni mwa mikoa inayofanya vizuri Kitaifa kutoka mahali...
View ArticleStarTimes yanogesha Siku ya Wapendanao
Kampuni ya Star Media (T) Ltd inayomiliki chapa ya StarTimes, jana katika Siku ya wapendanao iliwapatia fursa wateja wao kupata chakula cha jioni na wapenzi wao katika mgahawa wa kifahari wa Akemi,...
View ArticleJAPAN YAKABIDHI MRADI WA SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA KASENDA WILAYANI CHATO
Serikali ya watu wa Japan imekabidhi mradi wa Soko la Samaki la kimataifa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chato wenye thamani ya shilingi milioni 320 na kusaini makubaliano ya ukarabati wa barabara ya...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza kuanza ziara ya kikazi mkoani humo Februari 15, 2018. (Picha na...
View ArticleTANZANIA YASHINDA TUZO YA TEKNOLOJIA KATIKA MKUTANO WA DUNIA WA SERIKALI...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshinda Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora...
View ArticleBALOZI WA JAPAN AKABIDHI SOKO LA KIMATAIFA LA SAMAKI KASENDA
Na,Joel Maduka,Chato. Balozi wa Japani nchini Tanzania Masaharu Yoshida kwa kushirikiana na serikali ya mkoa wa Geita amezindua rasmi soko la kimataifa la uuzaji samaki la kasenda lililojengwa kata ya...
View Article
More Pages to Explore .....