RAIS DKT MAGUFULI AHUDHURIA IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU KANISA LA ST. JOSEPH...
Bi Hellen Stephan akisoma somo la pili katika ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo Februari 14, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleNaibu Waziri awasha Umeme Gongolamboto
Na Zuena Msuya, Dar es salaam Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewasha umeme katika kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Gongolamboto chenye uwezo wa MVA 65 na hivyo kuimarisha upatikanaji wa...
View ArticleKWANDKWA: SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA UJENZI NA UCHUKUZI MKOA WA TANGA
Na Ismail Ngayonga -MAELEZO NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa amesema Serikali imekusudia kuimarisha sekta ya ujenzi na uchukuzi katika Mkoa wa Tanga ikiwemo Ujenzi wa...
View ArticleTanzia
Familia ya wanakifungilo wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa na mlezi wao Sr. Mary Fidesta Rimisho C.P.S., aliyepata kuwa mkuu wa shule ya Kifungilo kianzia mwaka 1981 hadi 2000,...
View ArticleBarclays hosts an economic forum for its corporate clients
Barclays Corporate and Investment Banking (CIB) clients were invited for an evening hosted by the bank, whereby the main agenda for the evening was to present the banks 2017 financial performance,...
View ArticleJALADA KESI YA MHASIBU ANAYEDAIWA KUWA NA UTAJIRI WA KUTISHA LAPELEKWA KWA DPP
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, jalada la kesi inayomkabili Mhasibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai...
View ArticleWAHIFADHI WAIOMBA SERIKALI KUCHEPUSHA BARABARA YA LAMI INAYOPITA NDANI YA...
Na Hamza Temba-WMU-Morogoro................................................................Serikali inafikiria namna bora ya kubadilisha uelekeo wa eneo la kilometa hamsini za barabara ya lami...
View ArticleMALAWI YAONESHA NIA KUPATA GESI KUTOKA TANZANIA
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amekutana na Ujumbe wa Mawaziri wawili kutoka Malawi na kuzungumza kuhusu uwezekano wa Malawi kupata Gesi Asilia kutoka Tanzania na Uendelezaji wa pamoja wa...
View ArticleBIL. 161.9 ZIMETUMIKA KUBORESHA VITUO VYA AFYA 170-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetumia sh. bilioni 161.9 kuboresha vituo vya afya 170 nchini pamoja na kugharamia huduma ya Afya ya Mama na Mtoto kwa lengo la kuokoa maisha yao.Amsema...
View ArticleUNACHOSTAHILI BAADA YA KUACHISHWA/KUFUKUZWA KAZI KIMAKOSA.
Na Bashir Yakub .1. NINI MAANA YA KUACHISHWA KAZI KIMAKOSA. Katika ujumla wake kuachishwa au kufukuzwa kazi kimakosa ni hatua ambapo mwajiri anamwachisha au anamfukuza kazi...
View ArticleSERIKALI YAPOKEA ZANA ZITAKAZOTUMIKA KUKUSANYA NA KUTOA TAARIFA ZA WATOTO...
Na Beatrice Lyimo, MAELEZO- DODOMA.Serikali imepokea zana za kukusanya na kutoa taarifa za watoto walio katika mazingira hatarishi kwa ajili ya wasimamizi wa mashauri ya watoto ngazi ya jamii...
View ArticleMAPOKEZI YA VIFAA VYA MATIBABU ZAHANATI YA KOMKONGA
Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe akisaidiana na mganga mkuu katikati na mkuu wa Mkoa kutoa hadubini tayari kwa kuikabidhi kwa viongozi wa Komkonga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martine...
View ArticleGrace Matata @ Sauti za Busara 2018
Another great edition of Sauti za Busara has just ended and this year, the world known music festival 100% live, has seen the debut on its stage of Tanzanian songstress Grace Matata.The Afro Soul/Jazz...
View ArticleSAUTI SOL TEAM UP WITH BURNA BOY ON A NEW HIT AFRIKAN STAR
Sauti Sol are thrilled to announce the release of their 3rd single ‘Afrikan Star’ from the ‘Afrikan Sauce’ LP. The new release features the versatile Nigerian mega star, Burna Boy and is currently...
View ArticleRAIS WA AFRIKA KUSINI, JACOB ZUMA AJIUZULU
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma jana jioni aliamua kujiuzulu wadhifa wake huo kufuatia kuongezeka kwa shinikizo la kumtaka afanye hivyo kutoka kwa chama chake cha ANC (African National Congress) ,...
View ArticleMAANDALIZI YA UCHAGUZI JIMBO LA SIHA YAMEKAMILIKA
Zikiwa zimebakia siku tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mdogo katika Majimbo 2 na Kata 8 za Tanzania Bara, maandalizi kwa ajili ya Uchaguzi wa Ubunge katika Jimbo la Siha na Udiwani katika Kata 3 za...
View ArticleLUKUVI NA KAMPENI YA FUNGUKA NA WAZIRI
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Willium Lukuvi amesema Dar es Salaam ndio inaongoza kwa migogoro mingi ya ardhi nchini. Amesema ili kutafuta ufumbuzi wa...
View Article
More Pages to Explore .....