MAKAMU WA RAIS AFANYA MAJUMUISHO YA ZIARA YAKE MKOANI IRINGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi wa mkoa wa Iringa kushirikiana ili kuweza Kuwasaidia wananchi.Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati wa kutoa...
View ArticleYANGA, MAJIMAJI KUSHUKA DIMBANI KESHO TAIFA
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) Yanga, kesho wanashuka dimbani kuvaana na kikosi cha Majimaji ya Songea " Wanalizombe" katika mchezo wa raundi ya 18...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA MPANGO MKAKATI AFYA MOJA
Na Said Mwishehe, Blogu ya jamiiWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha Tanzania inakuwa mahala salama na penye afya bora huku akielezea jitihada zinazochukuliwa...
View ArticleHOJA YA HAJA: HUU NI UPUUZI MKUBWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Tangu Jumapili tarehe 11/02/2018 nilishtushwa na habari iliyoandikwa na mwandishi aitwaye David Ng’ang’a kupitia mtandao uitwao...
View ArticleIntroducing "Ni Wewe" (Official Video) by Iddi Singer, Landan Balla, Lovince...
Roya Entertainment & Hourglass254 Presents Slay Queen Official VideoAudio Produced by Teknixxby Iddi Singer & Landan BallaStyling & Accessories by HourGlass254Video by Eddie Juma & Elle...
View ArticleKAMATI YA NIDHAMU YAMFUNGIA JUMA NYOSO
Kamati ya Nidhamu iliyokutana Jumamosi Februari 10, 2018 pamoja na mambo mengine pia ilipitia shauri la mchezaji wa Kagera Sugar Juma Nyoso lililofikishwa kwenye kamati akituhumiwa kwa utovu wa nidhamu...
View ArticleTanzania yawa Mwenyeji ya Mkutano wa Baraza la Wakimbizi Duniani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga ametoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa kuisaidia Tanzania kutokana na mchango mkubwa wa kuwahudumia wakimbizi ambao...
View ArticleSerikali na TFF yakutana na Wahariri wa Michezo kujadili Maandalizi ya Ujio...
Mjumbe wa CAF na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa Bw.Leodger Tenga (katikati) akizungumza na Wahariri wa Habari za Michezo kutoka vyombo mbalimbali nchini (hawapo pichani) kuhusu mambo ambayo...
View ArticleDkt. Kalemani afanya ziara Chato, Atoa wiki moja kwa mkandarasi kukamilisha...
Na Greyson Mwase, ChatoWaziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani leo tarehe 13 Februari, 2018 amefanya ziara katika wilaya ya Chato mkoani Geita lengo likiwa ni kukagua miradi ya usambazaji wa umeme...
View ArticleMAENEO YANAYOTUMIKA KUPITISHA DAWA ZA KULEVYA NCHINI YATAJWA
Na Said Mwishehe, Globu ya jamii SERIKALI imebaini kwamba maeneo ya bandari, bahari kuu,vituo vya mabasi na viwanja vya ndege bado yanatumika kupitisha dawa za kulevya nchini. Hata hivyo imeelezwa...
View ArticleJUKWAA LA NISHATI TANZANIA KUTOA SEMINA KWA WABUNGE
Na Mwandishi WetuJUKWAA la Nishati Tanzania linatarajia kutoa semina kwa wabunge ili wapate uelewa wa nishati na changamoto zake, watakapokuwa wanajibu maswali ama kuuliza wafanye hivyo kwa manufaa ya...
View ArticleMKAPA AONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA MFUKO WA UDHAMINI KUDHIBITI UKIMWI
Na Dotto MwaibaleRAIS Mstaafu Benjamin Mkapa amewataka wadau mbalimbali na wananchi kuendelea kuchangia Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti Ukimwi (ATF) kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa huo nchini ambapo...
View ArticleMRADI WACUJENZI MAHAKAMA KUU-KANDA YA MSOMA WAENDELEA,WANANCHI WAUPOKEA KWA...
Na Mary Gwera KAMA ilivyo kwa huduma nyingine katika jamii, huduma ya upatikanaji wa HAKI ni miongoni mwa huduma ambazo wananchi wanahitaji kwa wakati bila longolongo, kufuatia uhitaji huu wa Wananchi,...
View ArticleBIL 23.061 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA PWANI 2018/2019
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani KIASI cha sh. bilioni 23.061 zimepangwa kutumika kutoka mfuko wa barabara kwa ajili ya miradi ya matengenezo mbalimbali ya barabara ,mkoani Pwani, katika kipindi cha mwaka...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo(University of Bagamoyo UB) Profesa Costa Mahalu mara baada ya kufanya...
View ArticleSIXTUS MAPUNDA AMNADI KWA KISHINDO MTULIA, KINONDONI SHAMBA
Mbunge wa Mbinga Mjini, Sixtus Mapunda (kushoto) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni, Said Mtulia katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo Feb 13, 2018, katika Kata ya Kinondoni Shamba...
View ArticleWAKULIMA WA KOROSHO PWANI WANEEMEKA
Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha Wakulima wa zao la korosho Mkoa wa Pwani wamefanikiwa kupata kiasi cha sh. bilioni 57.7 kutokana na mauzo ya zao la korosho ,msimu huu. Mafanikio hayo yametokana na mfumo wa...
View Article
More Pages to Explore .....