MAMA SALMA, BASHE, MSUKUMA, LUSINDE WAMUOMBEA KURA MTULIA KINONDONI
Na Said Mwishehe, Glogu ya jamiiWABUNGE kutoka majimbo mbalimbali nchini kupitia Chama ChaMapinduzi (CCM), wamewaomba wananchi wa jimbo la Kinondoni jijiniDar es Salaam kuhakikisha Februari 17, mwaka...
View ArticleSLIMMING OIL YA KUONDOA KITAMBI & KUPUNGUZA UNENE NA UZITO.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, suala la kitambi, unene na /ama uzito ulizo zidi linasababishwa na uwepo kwa kiasi kikubwa cha mafuta kwenye mishipa ya...
View ArticleMaafisa Habari, TEHAMA ni Mawakala wa Mabadiliko
Na. Atley Kuni OR TAMISEMI.Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mara, Raphael Joseph Nyanda amewataka Maafisa habari na TEHAMA nchini kutekeleza majukumu yao kwakuzingatia Weledi, maarifa na ubunifu kwakuwa wao...
View ArticleARDHI YASABABISHA MGOGORO KATI YA FAMILIA NA SERIKALI MJINI GEITA
Na Joel Maduka ,Geita.Familia ya Bw Mlelemi Mashirungu inayoishi mtaa wa Mkolani Kata ya Nyankumbu wilayani Geita imeilalamikia serikali kwa kuanzisha ujenzi wa shule ya msingi Shinde kwenye shamba la...
View ArticleWakazi Mwananyamala wavutiwa na huduma za 'One Stop Centre' za CRC
BAADHI ya wananchi wanaoishi Mwananyamala 'A' jijini Dar es Salaam wamevutiwa na huza huduma za pamoja kwa waathirika kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ‘One Stop Center’ na msaada wa ushauri kisheria...
View ArticleTIGO YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA NYAKA NYAKA BONUS.
Kampuni inayoongoza kwa mageuzi ya kidigitali ya Tigo Tanzania, leo imewazawadia washindi 36 wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus simu aina ya Tecno R6 zenye uwezo wa 4G. Akitangaza washindi hao wa...
View ArticleDIAMOND,HAMISA MOBETO WAFUNGA JALADA MATUNZO YA MTOTO
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.HATIMAYE jalada la kesi ya madai ya matunzo ya mtoto lililofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa watoto na Mwanamitindo maarufu nchini, Hamisa...
View ArticleAGPAHI YATOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA KISAIKOLOJIA KWA WAHUDUMU WA VITUO VYA TIBA...
Shirika la Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI) limeendesha mafunzo kuhusu msaada na huduma za kisaikolojia kwa wahudumu wa jamii wanaosaidia kazi katika vituo vya tiba na matunzo...
View ArticleKILOMBERO YAWAWEZESHA MAELFU WAZEE WASIOJIWEZA HUDUMA ZA CHF ILIYOBORESHWA
Na John Nditi, Kilombero.HALMASHAURI ya wilaya ya Kilombero , mkoani Morogoro wamewakatia kadi za Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF ) iliyoboreshwa wazee wasiojiweza zaidi ya 7,800 waliopo katika kata...
View ArticleKAMATI YA NIDHAMU TFF YAMFUNGIA JUMA NYOSO, KUKOSA MECHI TANO
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kumfungia Juma Nyoso wa Kagera Sugar kwa kosa la kupiga shabiki baada ya mchezo kati ya timu...
View ArticleBASATA KUZICHUKULIA HATUA BENDI ZISIZOSAJILIWA
Na Agness Francis, Globu ya jamii BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) kutatua kero ya wasanii wa dansi kwa kuwachukulia hatua wanamuziki wa ndondo bendi zisizosajiliwa hapa nchini. Bendi hizo...
View ArticleAWESO ATAKA MIRADI YA MAJI IKAMILIKE KWA WAKATI
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akikagua bomba la DAWASCO linalosambaza Maji ya Ruvu Juu iliyopo maeneo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akikagua Mradi wa...
View ArticleMAHAKAMA YAIPIGA KALENDA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeipiga kalenda kesi ya Uhujumu Uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh.Bilioni 2.4, inayomkabili Mkurugenzi wa Tathmini ya...
View ArticlePROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUIJENGEA HESHIMA TAIFA
Na Anitha Jonas – WHUSM.Serikali yatao Milioni Mia saba kwa ajili ya ukarabati wa Jengo lilokuwa Makao Makuu ya Wanakamati wanaopigania Uhuru wa kulikomboa Bara la Afrika ikiwa ni sehemu ya kuhifadhi...
View Article
More Pages to Explore .....